Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Msimu uanze manyumbu yakatize mto mara
 

Attachments

  • JamiiForums-176138174.jpeg
    JamiiForums-176138174.jpeg
    54 KB · Views: 10
Hatimae José Luis García Vayá amefikiwa. Kuna wachezaji wanakuwa wanachelewa tu kwenda timu kubwa ila linakuwa suala la Muda PEPELU Huyu ni mja ya kitu Barca wanachohitaji kwa sasa!

ONANA kashtua kwenda VILLA Japo wapo na Project nzuri! Branthwaite kwenda UTD Ndo imeshafutika wakishikilia Bei. Ni nzuri zaidi kwa UTD kuona Plan B zao zinakuwa ni zipi.

LCB+LB Hybrids Options wengi wametoa zao ila kwangu Mimi Wildcard ni Strahinja Pavlović na Castello Lukeba. Timu itayofanikiwa wapata hawa Mabwana imepata wachezaji haswa, Finger Crossed Hiyo timu iwe UTD.
{Hawa hawawezi lalamika kuwa Squad Rotation Players na wako na Uwezo mkubwa sana}
 
Matthijs De Ligt from Bayern to Manchester United Locked and Loaded !

Agreement on £42M payable in installments

Contract ready for £170k per week until 2029.


Hii ni taarifa ya Bwana (Semeraro Nick) 1 ya Source Bora kwa UTD na Juve.
Hizi ni aina ya Dili Timu kubwa huwa inafanya. UTD Kwa sasa inatakiwa iwe na Mishahara yenye wastani huo kwa majina makubwa

LCB, RCB, CM Kwa kuanzia UTD inaweza kaa sawa kiasi chake msimu huu.
Harry Amass, Tobby Collyer na Ethan Williams mmoja kati yao anaweza kuwa Mainoo/Garnacho wa Msimu Huu
 
De Ligt alikua Ajax.

Ronaldo akamshawishi akaenda Juve.

Akaenda Bayern.

Ana miaka 24, kwa nafasi ya CB ana miaka 10 mbele ya kucheza. With Bayern ana uhakika na kombe kila msimu, CL kila msimu.

Kisha kaona ngoja aende United. Make this make sense.
 
Nilichogundua wachezaji wengi wanaokuja utd bila mbwembwe ndio huwa wanafanya vizur. Huyu beki Levy Yoro naona atafuata nyayo za Martinez.
Sajili nyingi za UTD zilikuwa na Mbwembwe sababu zilikaa zaidi kibiashara, Sanchez, Pogba, Ibra, CR7, Di Maria, Lukaku, Falcao, Maguire, Antony, n.k

Timu sasa ina Muundo mzuri zaidi wa kimichezo, Uwiano Mzur wa Umri Zirkzee (23), Yoro (19), Mainoo (19), Hojlund (21), Amad (22), Garnacho (20), Hapa una Msingi wa kuanzia Bado Sancho (24), Mount (25),

Maingizo kwenye timu yanakuwa machache na ya Ubora, Madirisha mengine mawili UTD inakuwa Force haswa!
 
Nilichogundua wachezaji wengi wanaokuja utd bila mbwembwe ndio huwa wanafanya vizur. Huyu beki Levy Yoro naona atafuata nyayo za Martinez.
I'm buzzing. Huyu dogo nilimtaka sana toka mwaka jana mwanzoni kabla hajapewa nafasi kubwa ya kucheza Lille. Msimu wa 22/23 alicheza michezo sawa sawa na Kobbie Mainoo ila alikuwa anaonyesha ana-potential kubwa sana hofu yangu nilijua yatatupata yale yale ya Raphael Varane mwaka 2011.
 
Sajili nyingi za UTD zilikuwa na Mbwembwe sababu zilikaa zaidi kibiashara, Sanchez, Pogba, Ibra, CR7, Di Maria, Lukaku, Falcao, Maguire, Antony, n.k

Timu sasa ina Muundo mzuri zaidi wa kimichezo, Uwiano Mzur wa Umri Zirkzee (23), Yoro (19), Mainoo (19), Hojlund (21), Amad (22), Garnacho (20), Hapa una Msingi wa kuanzia Bado Sancho (24), Mount (25),

Maingizo kwenye timu yanakuwa machache na ya Ubora, Madirisha mengine mawili UTD inakuwa Force haswa!
Sancho muondoe Jombaa siioni future yake.
 
Back
Top Bottom