Cash Money Forever
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 712
- 1,300
Hatimae José Luis García Vayá amefikiwa. Kuna wachezaji wanakuwa wanachelewa tu kwenda timu kubwa ila linakuwa suala la Muda PEPELU Huyu ni mja ya kitu Barca wanachohitaji kwa sasa!Pepelu.
Huyu ndio analetwa juuTobby Collyer
Sajili nyingi za UTD zilikuwa na Mbwembwe sababu zilikaa zaidi kibiashara, Sanchez, Pogba, Ibra, CR7, Di Maria, Lukaku, Falcao, Maguire, Antony, n.kNilichogundua wachezaji wengi wanaokuja utd bila mbwembwe ndio huwa wanafanya vizur. Huyu beki Levy Yoro naona atafuata nyayo za Martinez.
I'm buzzing. Huyu dogo nilimtaka sana toka mwaka jana mwanzoni kabla hajapewa nafasi kubwa ya kucheza Lille. Msimu wa 22/23 alicheza michezo sawa sawa na Kobbie Mainoo ila alikuwa anaonyesha ana-potential kubwa sana hofu yangu nilijua yatatupata yale yale ya Raphael Varane mwaka 2011.Nilichogundua wachezaji wengi wanaokuja utd bila mbwembwe ndio huwa wanafanya vizur. Huyu beki Levy Yoro naona atafuata nyayo za Martinez.
Sancho muondoe Jombaa siioni future yake.Sajili nyingi za UTD zilikuwa na Mbwembwe sababu zilikaa zaidi kibiashara, Sanchez, Pogba, Ibra, CR7, Di Maria, Lukaku, Falcao, Maguire, Antony, n.k
Timu sasa ina Muundo mzuri zaidi wa kimichezo, Uwiano Mzur wa Umri Zirkzee (23), Yoro (19), Mainoo (19), Hojlund (21), Amad (22), Garnacho (20), Hapa una Msingi wa kuanzia Bado Sancho (24), Mount (25),
Maingizo kwenye timu yanakuwa machache na ya Ubora, Madirisha mengine mawili UTD inakuwa Force haswa!