Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Anafungia wapi kwa mfano...na nyny mnafungia wapi....kwnza nahangaika kuzungumziq mechi ya pili kutoka mwsho kumaliza ligi ya nn....wacha nilambe watu makonzi kwny hzi mechi zinazofata mpk nikikutqnq na nyny kono la nyani linakuwa activated
mzee acha kujichekesha city bigwa pole sana tukutane next season uzuri mnaweza kushika nafasi ya pili
 
B… Kama tulivyokubaliana nikiwa upande wenu lazima mshinde, leo fanyeni kweli nizuieni huyo Livakuku kunisogelea pale juu.
Mdakuzi
Sawa b..., leo tulifanya kazi kubwa, ila bahati haikuwa kwenye. Bila shaka wakati mwingine tutakamilisha.

Na taarifa njema zaidi ni kwamba msomi huu hatujapoteza mchezo dhidi ya Liverpool.

Ova
 
Nachukizwa sana na aina ya washambuliaji wasioweza kupiga chenga, kumiliki mpira, dribbling na mengineo.

Cha ajabu dunia ya leo washambuliaji aina hiyo wamekuwa wakiongezeka.


Nisingeweza
Vipaji halisi havizalishwi tena wachezaji wanaanza kufundishwa mifumo wakiwa watoto badala ya kucheza mpira.

Football in Europe is no longer art.
 
Huna huo ubavu...beki Kambwala unifunge
...United mna mchezaji mmoja tu wa maana..Kobe Mauno sijui...hawa wengine ni vituko tu....mkicheza mnavyocheza hvi nakuhakikishia hutakaa upate on target hata moja
Naitunza hii post
 
Manjesta bana ,unaongea utadhan una timu basi ya maana

Mm siongei mengi ,tupo hapa

Naimaliza mechi hapo OT ,half time
usi icount man utd out kirahisi hivo its football and sometimes lucky decides who is goin to walk out with 3 points

And as far as Arsenal mkogo na streak of bad luck and good luck sometimes... usishangae huyo unaemuona maiti akaja kufufukia kwenu which its a very decisive math mkaondoka patupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…