Leo umekubali enhee kuwa Seven hag ni tapeliit's time nimekubali kuwa hatuna kocha haiwezekaniukawa una ongoza 3 the unabadilisha style yaku park bus unategemea nn hapo
plus Rashford ni very lazy kukaba ni kitu hajuagi
Kama ukimfunga Liverpool, basi tambua kwa mara nyingine tutatangazia ubingwa Old Trafford.Nawahurumia tu liverpool hiyo weekend
Nampenda kocha wa liverpool ni very humble ila when it comes to Manchester United vs liverpool ni story tofauti
We will beat both Liverpool and arsenal
Kikosi Cha Bwenyenye Sir Jim ichi hapa kikishuka kuwakabili vijana wa Bwenyenye Tody ichi hapa.
Watapigwa Sana wale 🤏
Manchester United inacheza Leo na dunia nzima ina furaha
My prediction
Chelsea 1 vs Manchester United 3View attachment 2953967
Man U ni kikundi cha NDONDOCHA wakiongozwa na ARVUmeamka ama tukuletee gari la washawasha 😀😀.
Leo upo South ama Cairo?
Hii ndio Man U sasa
Lazma muitaje Arsenal yani mpka kipigo cha jana nacho kimesababishwa na Arsenal..Tusema ukweli zile peneti angepigiwa chelsea dunia nzima ingeongea kama ile ya dalot ni penati mech ya arsenal gabriel alimdaka kabisa hojlund haikuwa penati sasa ile ya dalot aaaa kituko aiseee ukija ya cucurela nye nye nye
Somtym muwe mnapgaga tu kimya ili tusijue kiwango cha ufikiri wako.Tusema ukweli zile peneti angepigiwa chelsea dunia nzima ingeongea kama ile ya dalot ni penati mech ya arsenal gabriel alimdaka kabisa hojlund haikuwa penati sasa ile ya dalot aaaa kituko aiseee ukija ya cucurela nye nye nye
Leo umekubali enhee kuwa Seven hag ni tapeli
Dalot mwenyewe aliinama chini baada ya foul akijua kuwa kashachomesha wewe unakuja kutetea 😂😂Tusema ukweli zile peneti angepigiwa chelsea dunia nzima ingeongea kama ile ya dalot ni penati mech ya arsenal gabriel alimdaka kabisa hojlund haikuwa penati sasa ile ya dalot aaaa kituko aiseee ukija ya cucurela nye nye nye
Ile penati ya kwanza ya mchongoKama kabeti ni kwa Nyumbu wa Serengeti
Chelsea katika faulu 7 kapewa yellow 3 wakati Nyumba kafanya faulu 15 hakuna hata yellow moja na faulu zingine zilikuwa obvious yellow