Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 21,838
- 38,729
Ndio timu iliyochukua Ubingwa wa Tanzania mara nyingi zaidi,au kwa kifupi ni Mabingwa wa Kihistoria kama ilivyo Real de Madrid.Anaposema Yanga ni home of champions maana yake nini?
Ndio timu iliyochukua Ubingwa wa Tanzania mara nyingi zaidi,au kwa kifupi ni Mabingwa wa Kihistoria kama ilivyo Real de Madrid.Anaposema Yanga ni home of champions maana yake nini?
Kurukaruka kwa maharage ndio kuiva kwake.Kasema biashara washamaliza, hajasema chama kaisha nunuliwa
Nani asiyejua GSM anauza magodoro?
Sasa hiyo sio biashara?
Hukumu 26 nov subiriHebu tuelezeni kwanza ya Morrison na CAS kabda ya kukimbilia ya Chama. Tena ya Morrison hakua huyo Haji ambaye haaminiki, waliongea kina Mgongwalwa na Bumbuli.
Imeshatolewa hukumu
Mwaga maji ummumuhammad. Weka mambo hadharani. Wakulia walie wakucheka wachekeImeshatolewa hukumu
Naona chama ashatua utopwinyoni hahahah😂😂😂😂😂 wajinga ndio wakiwao.Huu ndiyo mpango mzima kudadadeqView attachment 2019898
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Tofauti ni kuwa anayemtumia Msukule anajulikana, ni Mzee Tozi, ila anayemtafuna huyo dogo hajajulikana badoManara sawa na Kabwili tu..
Huko CAS Morrison ameshawamanuaKwa hiyo wakishampata Chama ndio tayari wamekuwa mabingwa?
Kweli hawa ni Misukule, hawajijui wala kujitambua! Wanavyoswagwa ndipo wapokwenda.
Kama hapa. Mazuzu watabaki kuwa Mazuzu daimaNa Manara anawajulia kwelikweli
WaMeshinda nini..? 😂😂😂😂😂 🚮🚮🚮Yanga hakuna watu kule ni misukule,lazima wafurahie taarifa kama hizi.
Mpaka sasa wameshinda kesi ya Morrison kule CAS engineer anashughulikia nakala ngumu ya kesi!Hao ndio yanga bhana