Pemba empire
JF-Expert Member
- Apr 29, 2018
- 467
- 1,333
Manara aendelee na tabia zake za kuchambana na watu Ila madogo alikamwe na Privadinho wapo vizuri na wamempoteza sana.
Sisi kama Yanga hatumtaki Huyu Manara arudi Simba na hata TFF wakimfungulia hatumtaki tena Yanga.
Manara anagombana na kila mtu. Kagombana na Shafii, Kitenge, Jemedari Said, Jeff Lea, Prisca Kishamba na kila mtangazaji akitoa maoni tofauti anatukana.
Angalia vijana wetu now huoni wakitukana mtu zaidi ya utani tu kimpira.
Manara endelea kuchambana na Ma EX zako uliowaacha kwenye mpira hatukutaki Au rudi Kwa makolo.
Sisi kama Yanga hatumtaki Huyu Manara arudi Simba na hata TFF wakimfungulia hatumtaki tena Yanga.
Manara anagombana na kila mtu. Kagombana na Shafii, Kitenge, Jemedari Said, Jeff Lea, Prisca Kishamba na kila mtangazaji akitoa maoni tofauti anatukana.
Angalia vijana wetu now huoni wakitukana mtu zaidi ya utani tu kimpira.
Manara endelea kuchambana na Ma EX zako uliowaacha kwenye mpira hatukutaki Au rudi Kwa makolo.