Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 15,783
- 24,215
Ni miaka kadhaa iliyopita Baada legendary aliyekuwa msemaji na muhamasishaji Bora Africa wa Simba Haji Manara kuondoka pale msimbazi Baada ya kutoelewana na tendaji Barbara
Haya ndio maneno aliyonena Manara
"Kwa hujuma nilizofanyiwa naondoka ...na Simba haitakuja kubeba makombe Hadi miaka 10 ipite"
So why I'm concerned with this?
Jana Simba alikuwa na sababu, nguvu kifedha + kiufundi na kimbinu + na kikosi full mkoko na Nia ya kubeba Hilo cup lakini ilishindikana
Pia ukifuatilia Toka Manara kuondoka pale Msimbazi...Simba Haina muelekeo wowote wa kubeba kombe ....inaanza vizuri then inapotea as the time increase
NB: Kabla mambo hayajawa mabaya ni vyema kuchutama...mind u ngao ya jamii sio kombe ...Ile ni one day tournament
Haya ndio maneno aliyonena Manara
"Kwa hujuma nilizofanyiwa naondoka ...na Simba haitakuja kubeba makombe Hadi miaka 10 ipite"
So why I'm concerned with this?
Jana Simba alikuwa na sababu, nguvu kifedha + kiufundi na kimbinu + na kikosi full mkoko na Nia ya kubeba Hilo cup lakini ilishindikana
Pia ukifuatilia Toka Manara kuondoka pale Msimbazi...Simba Haina muelekeo wowote wa kubeba kombe ....inaanza vizuri then inapotea as the time increase
NB: Kabla mambo hayajawa mabaya ni vyema kuchutama...mind u ngao ya jamii sio kombe ...Ile ni one day tournament