umenena vema ndugu,..tupo duniani,dunia yenye changamoto nyingi sana,.hasa sasa dunia ya utandawazi,ni sahihi ulivyosema watu wanabadilika hata kimavazi,.ni jambo jema ila tukumbuke kuwa sisi tulioamua kumfata YESU(tuliiokoka) lazima tuishi maisha ya tofauti na wamataifa,efeso inasema
WAEFESO 4;17
Kuwa tusienende kama wamataifa waenendavyo katika ubatili wa nia zao,.
lazima tuishi tofauti na wasioamini,.ya kwamba wao waliopotea ikifika kipindi chao cha kuamini na kutubu wakamrudia MUNGU waishi tofauti na walipokuwa,...all in all tuishi tofauti nao katika kila nyanja. hata uvaaji tutafauti nao.
kuhusu kuhukumu ndugu yangu,.hukumu ni ya MUNGU tumeambiwa tusihukumu tusije tukahukumiwa
mathayo 7;1-msihukumu msije mkahukumiwa ninyi
kwenye red pale ndugu,.
hukumu ni ya MUNGU maana sisi pia hatujakamilika.
ila nilichojitahidi kuhainisha ni kwamba watu wamewashutumu sana hao watumishi na kuwakejeli kwa njia tofauti,.nikatoa mabandiko ya kwamba watu kama wanapotoshwa na hao manabii shida nikwamba watu siku hizi wanafuata sana mikumbo hawasomi neno(biblia)maana kupitia biblia tutawajua hao manabii kama ni wa uongo au lah,.na biblia imesema kuwa siku za mwiso watatokea manabii wengi wa uongo na kupoteza wengi,.ila tutawatambua kwa matunda yao,.yakwamba matunda yanayotokana na Uweza wa MUNGU tutayatambua na ya ibilisi tutayatambua pia.ila kuwasema vibaya watumishi wa MUNGU nikitu kibaya sana,.na siwezi kusuport mtu anaepingana na watumishi wa MUNGU hata siku1 ilhali hao watumishi siwajui kabisa maisha yao kiundani,..ila nilichosisitiza wakristo wa sikuhizi hawasomi neno ndo maana nikila siku kuamahama makanisa na kutafuta miujiza na unabii huku na kule.
kuna mmoja anajiita
TheMeek huyu yeye Anatafuta picha za kina shigongo,.akina mc luvanda na wengine na kutangazia watu kuwasingizia hao watu wanadanganya watu kuwa ni wachungaji na ni matapeli,.na kukejeli sana,.wakati ni watu na kazi zao tu za kawaida mitaani,(nani hamjui shigongo na riwaya zake za kidunia).pia kama mtu ni mc ila kaokoka kuna ubaya kushuhudia hata akiwa kazn kwenye maconcert,.
tuepuke kuwasema vibaya watumishi wa MUNGU manabii wa uongo sawa wapo.ila sio wote na hadi leo hii tunawajua kwa kutumia misingi ya MUNGU kuwa hawtendi kaz za MUNGU,ila siwez mimi kama MTU wa MUNGU nije huku niseme mtumishi flani,nabii flani ni hivi na hivi tena nawatangazia wamataifa ambao inabidi tuwahubiri waje kwa YESU,.hapo ntakuwa nimetumiwa na ibilisi bila kujijua Kwa kumkosesha Mungu aliojiandalia..
ila mimi sishangai maana siku za mwisho shetani alali akitumia watu na watu wanaigiza kuwa wanampenda MUNGU ili kuteka watu,huku mambo ya dunia yakiwa mioyoni mwao na hawaelewi mambo wanayofanya,MUNGU akiwabadilisha watakuja kujua kuwa wanatumikishwa na ibilisi.
ndugu nakushukuru sana kwa kunikumbusha pia.......karibu tujadili