Manabii wanaokwenda na wakati

Manabii wanaokwenda na wakati

n
Ndugu, Ufalme wa Mungu unajengwa kupitia Yesu Kristo.

Ukisema wewe ni Mkatoliki na ukasema unamuelewa Mungu utakuwa unajidanganya na ukweli hautakuwa ndani yako...

Kuna baadhi ya madhehebu yana moja kati ya vipande vya mwili wa Yesu na Damu yake... Mfano katoliki, rutheran, sabatho, waislamu n.k

Hawa wote wana vipande vipande.

Kwa MTU anayeutafuta USO wa Mungu kweli , ni lazima akusanye vipande vyote ili ukweli umuweke Huru. Sio kung'ang'ania dini moja na kisha unaanza kuhukumu watu vibaya pasipo kuwa na Imani au uhakika na unachosema.


Hivyo, basi, ninaelewa kwanini umeniuliza swali hilo! Lakini nakwambia kweli, Ni vigumu sana Mwanadamu kuingia mbinguni bila kupitia njia ya Msalaba ( katika Kristo Yesu)
nimeuliza hivyo sababu ni watu wawili tofauti kabisa,...
pili nimeuliza hivyo sababu katoliki huwa mnaishi kwa kukalilishwa mapokeo ni tofauti na walokole ,.....mapokeo na kukalili ni vitu vinavyokuweka mbali na Mungu.,.maana hutamwabudu MUNGU kutoka moyoni ila utakalili na kuishi ya udini,...na huku uko mbali na MUNGU,...
 
Neno la Mungu ni Taa, Andiko ni Giza. Hivyo basi, ili iweze kusoma andiko, na kuona kilichomo, ni lazima kwanza ukubali kuwa na chongo. Then, hilo jicho moja la kulia linalobaki , lazima litahiriwe,

Hapo ndipo mwanga kutoka kwenye jicho lako utatokea na kulimulika andiko vizuri. Hatua hii itakufanya kuliona neno la Mungu vyema.

Kumbuka, andiko pekee, linaua na ni msingi Mkuu wa kutenda dhambi. Ila neno la Mungu linakupa uzima wa milele.

Andiko ( Hisia) ni rahisi sana kupotea, lakini neno la Mungu ( Uhalisia) litasimama milele.
hujajibu,.biblia ni andiko au neno la MUNGU??????
 
hujajibu,.biblia ni andiko au neno la MUNGU??????

Ndugu, Biblia ni Andiko, Ila ndani yake ( ndani ya unachokisoma yaani kutoka kwenye maandiko) kuna neno la Mungu.

Andiko ni sawa na ngozi/mwili wako au Hisia zako ; Neno ni ule uhalisia uliomo ndani ya ngozi au mwili wako au kutoka katika Hisia zako. Mfano, kuna mstari/andiko linasema "The Kingdom of God is at Hand" .. Maana yake nini? Sasa kilichomo ndani ya mstari huo ndio kinaitwa Neno La Mungu, na haupaswi kuutafsiri mstari huo kwa kutumia akili , Hekima au ufahamu wa kibinadamu kama wafanyavyo waalimu mashuleni na vyuoni.

Neno la Mungu maana yake ni Wokovu+ Roho wa Mungu ; Hapa namaanisha, ili MTU alipate Neno la Mungu kutoka katika Maandiko, ni lazima awe amezaliwa mara ya pili (Amekombolewa+ Ameokoka+ Awe na Roho wa Mungu + Awe ameujua na kuuelewa ukweli )

Kuzaliwa mara ya pili maana yake ni kuushinda ulimwengu, ( I mean , kuishinda Hekima au dhambi ) ; Maana nyingine ni hali ya kuwa na UELEWA.

Biblia haipaswi kusomwa kama vitabu vya kawaida. Biblia ni Takatifu, Na ni rahisi kueleweka pale inaposomwa na MTU Mtakatifu. Huwezi kamwe kuielewa Biblia kama hauko msalabani.

Ukiisoma kama ilivyo bila kuwa na Utakatifu ndani yako, maana yake hautaelewa unachokisoma, ; hii inaweza kukuletea hatari juu yako, unaweza kuwa muuwaji, chizi n.k

>>>Proof texts

#Ephesians 6:17,"Take the helmet of salvation and the sword of the Spirit, which is the word of God."


#1John 5:4 ,"for everyone born of God overcomes the world. This is the victory that has overcome the world, even our faith."

0a336749d3534ecc0afb94398e1311d1.jpg
 
n

nimeuliza hivyo sababu ni watu wawili tofauti kabisa,...
pili nimeuliza hivyo sababu katoliki huwa mnaishi kwa kukalilishwa mapokeo ni tofauti na walokole ,.....mapokeo na kukalili ni vitu vinavyokuweka mbali na Mungu.,.maana hutamwabudu MUNGU kutoka moyoni ila utakalili na kuishi ya udini,...na huku uko mbali na MUNGU,...
Ndugu, awali yote napenda kukueleza kuwa Mimi ni Kijana ninaye Muabudu na kumsujudia Mungu muumba wa ardhi na bahari katika Kristo Yesu.

Umeona nimeandika "njia ya Msalaba" - akili yako ikakuaminisha kuwa Mimi ni Mkatoliki; Ukweli ni kwamba, Huwezi kusema upo upande wa Mungu katika Kristo Yesu pasipo kuutaja "Msalaba Mtakatifu".

Umetaja " Ulokole " .. Je unafahamu maana ya andiko hilo? Unaweza kunipa mstari wowote kutoka kwenye Biblia ambao Andishi hilo limetajwa?

Ninavyoelewa Mimi, Biblia imetaja andiko "Wokovu/Kuokoka/Kukombolewa" ; Kulokole au Walokole ni watu gani? Na Je unaweza kunitajia sifa za Walokole?

Kwa upande wangu, mfano wa Walokole maarufu ninaowaelewa mpaka sasa ni Rose Muhando, Bahati Bukuku, Elizabeth Lulu, Kajala, Jokate Mwegelo, Marehemu Kanumba, Masanja Mkandamizaji, Erick Ford, Martha Mlata, n.k

Kwahiyo basi, ni ukweli usiopingika kuwa Mimi na huyo Ndugu , hatuwezi kuelewana kutokana na tofauti ya Imani zetu au hatua za Kiimani tulizonazo.

Kumuabudu Mungu muumba wa mbingu na ardhi sio jambo rahisi hata kidogo kama unavyofikiri ; na wala huwezi kulilinganisha na hatua za kupata Kazi IKULU ( kuwa karibu au kuishi mahala ambako Utukufu wa rahisi upo)

Je unafikiri Rais anafikiwa na kila MTU? Ni mpaka wateule wake tu; Na kwa Mungu iko hivyo. Mpaka uwe umepitia njia ya Msalaba kikamilifu katika Kristo Yesu.

MTU anayemuabudu Mungu utamtambua kwa Tabia yake ( Anachokiabudu, Anachokisujudu, Anachokitukuza, Anochokitii, Anachokinyenyekea, Upendo wake n.k) ,Matendo yake na Matunda yake. n.k
 
Watasema hizo ni baraka za bwana.
Na haleluyah nyingi sana.

We huoni Gwajima anavyo wafanya?
Jamaa anatembelea Hammer ya milion 200 wakati watoa sadaka hata bajaji hawana.
Siku Kondoo wakija shtuka wachungaji wataingia mitini wote lkn hilo haliwezi kutokea.
Mungu yupo njiani kuwaleta vijana wake, ambao watawafumbua macho kwa mambo mengi
 
Hawa wote ni WEZI TU.
Unabii wamepewa na Nani hawa matapeli?

Halafu Kondoo walivyo na busara ndogo wanawapigia magoti na kuwaomba wawasamehe madhambi yao.

Yaani kondoo ni kondoo tu.

Nabii anavaa Jeans na mkewe Mini skirts?
Nabii hawezi kumuondelea MTU dhambi; Kristo anaweza.

Nabii anaweza kumuondelea MTU dhambi iwapo atapata Power na Authority kutoka kwa Yesu Kristo, ambae ndiye Bwana wa Mabwana.
 
Nabii hawezi kumuondelea MTU dhambi; Kristo anaweza.

Nabii anaweza kumuondelea MTU dhambi iwapo atapata Power na Authority kutoka kwa Yesu Kristo, ambae ndiye Bwana wa Mabwana.

Na hio authority anaipata wapi wakati Yesu hayupo?
Na vipi umuite Yesu Bwana wa mabwana wakati yeye mwenyewe ALIOMBA KWA BWANA MKUU kuliko yeye? Huku akilia na Kuwa mnyonge?

Msikilize Hapa Anasema nini.

MATHAYO 26.36-39

36 Kisha Yesu akaenda pamoja nao mpaka bustani iitwayo Gethsemane, akawaambia wanafunzi wake, Ketini hapa, hata niende kule nikaombe.

37 Akamchukua Petro na wale wana wawili wa Zebedayo, akaanza kuhuzunika na kusononeka.

38 Ndipo akawaambia, Roho yangu ina huzuni nyingi kiasi cha kufa; kaeni hapa, mkeshe pamoja nami.

39 Akaendelea mbele kidogo, akaanguka kifulifuli, akaomba, akisema, Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki kiniepuke; walakini si kama nitakavyo mimi, bali kama utakavyo wewe.

SASA nakuuliza wewe. Je! bwana Wa MABWANA huanguka kifulifuli kwa huzuni kuu ya kufa Akiomba AEPUSHWE NA MATESO na KIFO ?

Mnampa Sifa Ya MUNGU kiumbe km wewe. Huu ni Ukafiri ndugu yangu upande wa Adam.

Yesu HAKUWAHI KUJIITA BWANA WA MABWANA wala Hakuwahi KIJIITA MUNGU wala HAKUWAHI KUABUDIWA wakati wa UHAI WAKE.

Ni Baada ya yeye kuondoka ndio Hizi ibada za KUABUDU MTU badala ya MUNGU Zikaanza.

Hii ni SHIRK ambayo adhabu yake ni MOTO WA JAHANNAMU TU.

Na mwisho YESU anatamka wazi ktk YOHANA 14 kuwa BWANA ni mkuu kuliko mimi.

Ogopa MUNGU ewe mkristo. Acha kabisa Kumkufuru kwa kumuita Yesu Kuwa ni BWANA WA MABWANA hali unajua fika kuwa YESU ALITUMWA TU na Mungu km walivyotumwa MITUME WALIOPITA KABLA YAKE.
Mitume km IBRAHIM, MOSES NA SOLOMON.
 
Nami nataka kujua hii.
Si kila mtu anayezaliwa na mwanamke ni mwanamme. Unaweza kuzaliwa mwanamme kwa umbo lakini kiuhalisia ni mwanamke.

Kuna mifano ya watu waliozaliwa wanamme katika Biblia, mfano Yesu Kristo, Yohana Mbatizaji, n.k ... Mwingine alikua Jeremiah ( huyu alitakaswa kuwa mwanamme akiwa tumboni mwa Mama yake )

Nataka kusema hivi, kuna MANABII wanazaliwa kutoka Mbinguni , wakifika hapa lazima wajifunze neno la Mungu kwa kupitia wachungaji ambao tayari Mungu anakuwa amewaandaa katika Maisha yao kwa ajili ya kuwaendeleza kiroho.

MANABII wengine , hupatikana kwa njia ya Utiifu na unyenyekevu baada ya kupitia njia ya Msalaba vyema. Hapa utaona watu kama Paulo, ( ambae alikuwa muuwaji n.k)

Kiufupi, ni mapenzi ya Mungu kupitia Yesu Kristo na Upendo wake ndio vinaweza kumfanya MTU kuwa Nabii.

Cheo kikubwa kuliko vyote ni Ukristo, then Utume, Unabii, na vingine vinafuatia.

Cheo cha kuwa Kristo , Mfalme au Bwana (Lord) ni kikubwa sana. Hapa unakuwa sawa na Mungu; I mean, Nguvu na Mamlaka zote katika ufalme wa Mungu vinakuwa vyako..., Unakuwa Mungu Mwana.
 
TheMeek Na vCTRMA mmeandika mengi mazito ambapo wengi tunajifunza!

Lakini Je ni dhambi gani mhubiri Angel Na Makandiwa kuwataja wachache wao ambacho anadhani hawatend vema mpaka tukawahukumu kwa maneno yetu?

Kati ya watumishi wa aina yao, hawa ndio nawaona wanahubiri sana kwa kufanya references kwenye biblia. Uvaaji wao, fahari walizonazo as long as wamezipata ktk njia sahihi sioni tatizo!

Tujifunze pia Kuwa zama zinabadilika Na hivyo hata njia ya uonekano Na utoaji wa ujumbe wa neno la Mungu hubadilika kutokana Na audience Na wakati pia.

Huwezi kwa zama hizi ukaevaa kama marehemu Kolola Moses ukapata kumbadilisha MTU kama shishi baby!
Ndugu, kuhubiri au kufanya jambo lolote pasipo Upendo ni dhambi. Maana yake ni kwamba, jambo linalofanywa pasipo Upendo haliwezi kumpa MTU prosperity wala success.

Hawa watu hawatendi Upendo, wala hawawafanyi watu kupata mafanikio ya kiuhalisia; Wengi wanaishi katika dhambi kutokana na wao.

Mafanikio wanayohubiri ni ya Hisia tu.

Kuhusu reference, hata shetani anaijua Biblia , anajua mistari ya Biblia vizuri : mfano utaona wakati anamjaribu Yesu pale Jangwani, alimtolea mstari kutoka kitabu cha Zaburi.

Huwezi kuwa Mwana wa Mungu halafu , Yesu au Baba akashindwa kukufundisha namna ya kuvaa , kula, kutembea, n.k Wakina Petro walikuwa wakitembea kama Yesu mpaka kufanana.

Ukiwa ndani ya Mungu , lazima akushape kama Yeye, wala sio kwa image ya Ulimwengu huu. Utakuwa unique.

Ndugu, Dunia itapita na Mbingu zitapita lakini neno la Mungu litasimama, Unafahamu maana yake?

Kwa Mungu hakuna fasheni. Fasheni ni kuishi katika Yeye.

Utaishi kwa kuvaa kama masai ; I mean, MTU anayemuelewa Mungu hutambua kwamba hapa ulimwenguni sio kwake, kwamba yupo kwa Muda tu; Kamwe hawezi kusahau Mila , Tamaduni na Desturi zake , akaiga za Ugenini.


Ni wamasai wachache sana ambao wakifika Dar es Salaam, huanza kuvaa majinsi na mpasuo. The Real Masai hawezi kuikana Culture, Nature na Attitude yake!


Asante
 
Si kila mtu anayezaliwa na mwanamke ni mwanamme. Unaweza kuzaliwa mwanamme kwa umbo lakini kiuhalisia ni mwanamke.

Kuna mifano ya watu waliozaliwa wanamme katika Biblia, mfano Yesu Kristo, Yohana Mbatizaji, n.k ... Mwingine alikua Jeremiah ( huyu alitakaswa kuwa mwanamme akiwa tumboni mwa Mama yake )

Nataka kusema hivi, kuna MANABII wanazaliwa kutoka Mbinguni , wakifika hapa lazima wajifunze neno la Mungu kwa kupitia wachungaji ambao tayari Mungu anakuwa amewaandaa katika Maisha yao kwa ajili ya kuwaendeleza kiroho.

MANABII wengine , hupatikana kwa njia ya Utiifu na unyenyekevu baada ya kupitia njia ya Msalaba vyema. Hapa utaona watu kama Paulo, ( ambae alikuwa muuwaji n.k)

Kiufupi, ni mapenzi ya Mungu kupitia Yesu Kristo na Upendo wake ndio vinaweza kumfanya MTU kuwa Nabii.

Cheo kikubwa kuliko vyote ni Ukristo, then Utume, Unabii, na vingine vinafuatia.

Cheo cha kuwa Kristo , Mfalme au Bwana (Lord) ni kikubwa sana. Hapa unakuwa sawa na Mungu; I mean, Nguvu na Mamlaka zote katika ufalme wa Mungu vinakuwa vyako..., Unakuwa Mungu Mwana.
Asante kwa ufafanuzi
 
Na hio authority anaipata wapi wakati Yesu hayupo?
Na vipi umuite Yesu Bwana wa mabwana wakati yeye mwenyewe ALIOMBA KWA BWANA MKUU kuliko yeye? Huku akilia na Kuwa mnyonge?

Msikilize Hapa Anasema nini.

MATHAYO 26.36-39

36 Kisha Yesu akaenda pamoja nao mpaka bustani iitwayo Gethsemane, akawaambia wanafunzi wake, Ketini hapa, hata niende kule nikaombe.

37 Akamchukua Petro na wale wana wawili wa Zebedayo, akaanza kuhuzunika na kusononeka.

38 Ndipo akawaambia, Roho yangu ina huzuni nyingi kiasi cha kufa; kaeni hapa, mkeshe pamoja nami.

39 Akaendelea mbele kidogo, akaanguka kifulifuli, akaomba, akisema, Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki kiniepuke; walakini si kama nitakavyo mimi, bali kama utakavyo wewe.

SASA nakuuliza wewe. Je! bwana Wa MABWANA huanguka kifulifuli kwa huzuni kuu ya kufa Akiomba AEPUSHWE NA MATESO na KIFO ?

Mnampa Sifa Ya MUNGU kiumbe km wewe. Huu ni Ukafiri ndugu yangu upande wa Adam.

Yesu HAKUWAHI KUJIITA BWANA WA MABWANA wala Hakuwahi KIJIITA MUNGU wala HAKUWAHI KUABUDIWA wakati wa UHAI WAKE.

Ni Baada ya yeye kuondoka ndio Hizi ibada za KUABUDU MTU badala ya MUNGU Zikaanza.

Hii ni SHIRK ambayo adhabu yake ni MOTO WA JAHANNAMU TU.

Na mwisho YESU anatamka wazi ktk YOHANA 14 kuwa BWANA ni mkuu kuliko mimi.

Ogopa MUNGU ewe mkristo. Acha kabisa Kumkufuru kwa kumuita Yesu Kuwa ni BWANA WA MABWANA hali unajua fika kuwa YESU ALITUMWA TU na Mungu km walivyotumwa MITUME WALIOPITA KABLA YAKE.
Mitume km IBRAHIM, MOSES NA SOLOMON.
Ndugu, ni hivi...,

Zipo njia kuu mbili za Msalaba

1. Kuitwa, Kukombolewa, kuokolewa, kuchaguliwa na kuwa Mwana wa Mungu kamili ( njia hii ni ya mafunzo - lazima ufunzwe neno la Mungu/Maisha ya Mungu na Culture yote ya Ufalme wa Mungu- Kuwa na Image ya Mungu) Baada ya hapo, unatumwa kuwakomboa watu wengine.

2. Hii ni njia ya kufanya Kazi za Mungu na kuzikamilisha + Kuitimiza Sheria Takatifu + Kufanya mapenzi ya Mungu ( Hapa unapewa a noble task - ambayo ni ngumu na inatua zake). Ndio maana unaona Yesu Kristo alianza kazi akiwa na miaka 30, Musa akiwa na miaka 80 tena akiwa na Aron (81).

Unavyoona Jeshini , katika ufalme wa Mungu ni zaidi. Ukifuzu...., vyema unakuwa Kristo ; Wengi wanakomea hatua ya pili, kuwa Apostles, Prophets n.k ( I mean, wanabaki kuwa waandalizi wa njia tu kwa watu wengine.

Yesu Kristo ni Bwana wa Mabwana kwasababu alipigana mpaka mwisho mpaka akafia msalabani kwasababu Yetu.

Yesu ni Mfalme na ni Mwanamme wa wanamme kwasababu hakuna aliyewahi kufikia cheo hicho kwa njia kama zake isipokuwa yeye peke yake. Anayefuatia ni Yohana Mbatizaji.

Kumbuka njia ya Msalaba ina vitu vikuu vitatu..., 1. Righteousness 2. Peace. 3 Joy.

Abraham, yeye alikua King of Righteousness & Peace tu, kwenye Joy hakuwa na Alama "A". Yesu Kristo yeye alikua na AAA.

Hivyo basi, ili uweze kuielewa Biblia, ni lazima upitie nyendo zake, maneno yake na kuyaishi... ndipo unaweza kuifikia hatua yake. Tena kasisitiza na kuweka wazi kwamba, yeyote atakaye muamini na kufanya matendo yake, anaweza kufanya zaidi hata ya alichokifanya.

Ulichoandika hapo, ni Upotoshaji, kweli haimo ndani yako. Unatafsiri maandiko kwa akili yako bila kuelewa undani wake.

Asante
 
Ndugu, ni hivi...,

Zipo njia kuu mbili za Msalaba

1. Kuitwa, Kukombolewa, kuokolewa, kuchaguliwa na kuwa Mwana wa Mungu kamili ( njia hii ni ya mafunzo - lazima ufunzwe neno la Mungu/Maisha ya Mungu na Culture yote ya Ufalme wa Mungu- Kuwa na Image ya Mungu) Baada ya hapo, unatumwa kuwakomboa watu wengine.

2. Hii ni njia ya kufanya Kazi za Mungu na kuzikamilisha + Kuitimiza Sheria Takatifu + Kufanya mapenzi ya Mungu ( Hapa unapewa a noble task - ambayo ni ngumu na inatua zake). Ndio maana unaona Yesu Kristo alianza kazi akiwa na miaka 30, Musa akiwa na miaka 80 tena akiwa na Aron (81).

Unavyoona Jeshini , katika ufalme wa Mungu ni zaidi. Ukifuzu...., vyema unakuwa Kristo ; Wengi wanakomea hatua ya pili, kuwa Apostles, Prophets n.k ( I mean, wanabaki kuwa waandalizi wa njia tu kwa watu wengine.

Yesu Kristo ni Bwana wa Mabwana kwasababu alipigana mpaka mwisho mpaka akafia msalabani kwasababu Yetu.

Yesu ni Mfalme na ni Mwanamme wa wanamme kwasababu hakuna aliyewahi kufikia cheo hicho kwa njia kama zake isipokuwa yeye peke yake. Anayefuatia ni Yohana Mbatizaji.

Kumbuka njia ya Msalaba ina vitu vikuu vitatu..., 1. Righteousness 2. Peace. 3 Joy.

Abraham, yeye alikua King of Righteousness & Peace tu, kwenye Joy hakuwa na Alama "A". Yesu Kristo yeye alikua na AAA.

Hivyo basi, ili uweze kuielewa Biblia, ni lazima upitie nyendo zake, maneno yake na kuyaishi... ndipo unaweza kuifikia hatua yake. Tena kasisitiza na kuweka wazi kwamba, yeyote atakaye muamini na kufanya matendo yake, anaweza kufanya zaidi hata ya alichokifanya.

Ulichoandika hapo, ni Upotoshaji, kweli haimo ndani yako. Unatafsiri maandiko kwa akili yako bila kuelewa undani wake.

Asante
Tufupishe maneno hapa.

Kati ya Yesu na MUNGU aliekuwa akimuita BABA nani MKUU?
 
Tufupishe maneno hapa.

Kati ya Yesu na MUNGU aliekuwa akimuita BABA nani MKUU?
Mungu ana nafsi tatu; Baba, Mwana na Roho Mtakatifu.

Mambo mengine yapo sealed, siwezi kuyaandika. #Glory #Honor #Authority , just meditate hivyo vitu ... Huenda vinaweza kukata kiu yako ya kutaka kuelewa "Kwanini Yesu ni Mungu, Kwanini aabudiwe na kutukuzwa "

Ni vigumu sana kuyaelewa Haya kama haujazaliwa mara ya pili.
 
Tatizo la binadamu ni kwamba wanakubali kuwa wajinga hata wakiona alama za nyakati ziko wazi. Utakuta waumini wao wabishi wa kutokubali ukweli na hawana chochote zaidi ya kufanywa vitega uchumi wa hawa manabii feki. Kweli wajinga waliwao.
Sio kweli kwamba ni rahisi kuzielewa Alama za Nyakati na Majira. Wanaozielewa ni wachache sana.
 
nisahihi lakini madhehebu/dini hazitupeleki mbinguni,uEAGT,TAG,ROMA,LUTHERAN NK...chamuhimu ni je unamahusiano gani na MUNGU???????
unafata sheria zake na UMEMKIRI KWAKINYWA BINAFSI KUWA unaamini kuwa YESU ni mwana wa MUNGU na alikufa na siku ya3 akafufuka na akapaa yupo mbinguni?na Kutubu dhambi pamoja na misingi yote tulioachiwa na Y ESU tunaifata,..kujazwa roho mtakatifu,ubatizo wa maji mengi kama wa YESU na aliyotuagiza YESU tunayafanya effective,...hili la madhehebu linakuja baadae,.....maana vitu viko wazi ukiwa njia sahihi ya YESU lazma uwe karibu nae.baadhi ya madhehebu mihuwa naona wanaishi kwa kukariri dini na sikufata misingi ya YESU exactly,.na baadhi ya madhehebu yetu yanaENENDA kinyume na sheria za MUNGU bila wao walopokea mapokeo kuelewa,..maana tukiambiwa tusiabudu sanamu then watu bado wanaabudu sanamu,.hii ni shida,.ila mapokeo ya watu ndo yanawapotosha,.....njia sahihi ya MUNGU ni kufata na kuenenda ktk sheria zake kama tulivyoamriwa ndo best option,zaidi ni kujidanganya tu,,..
Naona umeandika vitu usivyovielewa undani wake. Mpangilio wake, lugha yake.. yaonyesha wazi kuwa unachukulia maandiko ya Mungu kama masomo yale ya kufundishwa shuleni.

Kama ilivyo rahisi mchawi kumuelewa mchawi mwenzake, ndivyo ilivyo kwa upande wa Mungu ; Ufalme wa Mungu lugha ni muhimu sana.

Maandiko uliyoandika hayana maana.,..
 
Mungu ana nafsi tatu; Baba, Mwana na Roho Mtakatifu.

Mambo mengine yapo sealed, siwezi kuyaandika. #Glory #Honor #Authority , just meditate hivyo vitu ... Huenda vinaweza kukata kiu yako ya kutaka kuelewa "Kwanini Yesu ni Mungu, Kwanini aabudiwe na kutukuzwa "

Ni vigumu sana kuyaelewa Haya kama haujazaliwa mara ya pili.
We uliezaliwa mara mbili mbona swali unashindwa kulijibu?
Kati ya MWANA na BABA nani mkubwa?
Hio habari ya Nafsi tatu hakuna mtu ktk huu ulimwengu anaweza kutoa ufafanuzi hatta siku moja.

Km Mungu ana nafsi Tatu Yesu alipokufa msalabani ina maana Nafsi ya Mungu ilikufa?

Nasubiri Jibu.
 
Nisahihi mawazo mazuri,......ila kuingia katika utakatifu unasema uende ktk njia ya msalaba,...YESU alikufa msalabani ili kutukomboa,.ukisema kuwa kukombolewa dhambi kwanjia ya msalaba ni kwamba YESU hakufanya/hakutukomboa msalabani,.....sio sahihi YESU alishakufa msalabani kwa ajili ya dhambi zet,...unavyosema hivyo nisawa nakwamba kuvaa msalaba kuamini kuwa Yesu yupo msalabani na unavyouomba huo msalaba ambao umechongwa na watu ni sawa na ibada ya sanamu,......kusoma biblia ni sahihi lazima uwe na mafunuo ili uweze kuielewa,
kusoma biblia ili mtu ajionyeshe ni sawa na bure
kusoma bible ili kupinga watu ni sawa na bure,.mtu hawez kuelewa iko hivyo
kusoma biblia kama stori=nothing
tukumbuke ya kwamba biblia tunasoma as a guidance,.tu7nasoma tuenende katika njia MUNGU anazozitaka,tujue ya kuishi ktika njia za MUNGU kwa kupitia mafunuo ambayo MUNGU atatupa
kusoma biblia kinyume na matakwa ya MUNGU=Nothing
ila biblia lazima isomwe na wateule na ijae ktk nafsi,mwili na roho ili iwe ni nguzo ya maisha yao kwa kila jambo,.
kwenye red hapo,...mazingira gani hayo labda?
kama biblia MUNGU ananifunulia mwanadamu ni nani hata apinge?
Kila kitu kina muda wake. Kama kweli umedhamiria kuutafuta USO wa Mungu kwa Utiifu , Unyenyekevu na kwa Upendo katika Kristo Yesu, hakika yeye ni Mkuu , atakuonyesha njia zake.

Kila hatua utakayopita, itakupa Uelewa wa mambo mengi; Na utafika hatua ambayo itakufanya uielewe lugha ya Ufalme wa Mungu vyema.

Kama umeweza kuzielewa lugha za makabila, mataifa.. Mfano Kiswahili, English, Kichaga n.k, ndivyo Yesu anaweza kukufundisha ukaielewa lugha Takatifu ya Mbinguni.

Lugha hii itakufanya uelewe kile kinachotamkwa au kuandikwa na watu wanaoongelea Habari za Mungu. Kama ni broken, utawaelewa tu...

Kiufupi; Huelewi ulichoandika!

Asante : Mungu akubariki
 
Back
Top Bottom