Sadaka za nyumbu zipo kwanini asile bata
Cheki hapa Bushiri hapa chini;-
Kumbuka, "Walitaka kumfanya Yesu kuwa mfalme wao, akakataa , aliyajua mawazo yao" Pia shetani aliwahi kumjaribu Yesu jangwani kwamba atamfanya falme iwapo atamsujudia...Yesu alikataa;
Now cheki ishara za hawa watu wanavyoupenda ulimwengu huu
Hapa chini, mke wa Bushiri na mke wa Eubert Angel
Cheki wengine hawa hapa; Kumbuka hii ni Team, kwahapa Tanzania kuna Nabii anaitwa Frank yupo Tanga, na mwingine Arusha. Ni team moja na hawa; Wanapenda sana uwaite "Baba". Cheki hapa mambo yao....
Huyu hapa chini anaitwa Makandiwa
Huyu hapa chini anaitwa Jeremiah
Check waimbaji wao;-
Awwww...hapo chini , panawasha....eeeishhhhh
Check kivazi hapo chini...,