Manabii wanaokwenda na wakati

Manabii wanaokwenda na wakati

Ndugu, na kuelewa vyema sana, tena sana Ndugu yangu.

Kuingia kwenye njia Takatifu ya Msalaba kuna hatua zake ( madaraja). I mean, the more unavyokua mtiifu na humble mbele za Mungu kupitia Yesu ndipo unapanda daraja la uelewa.

Kuna tofauti kubwa sana kati ya kuokoka ( wokovu ) na kukombolewa. Pia kati ya kuokoka na kuchaguliwa. Haya ni madaraja ambayo yanakuwa na hatua zake za Uelewa katika Ufalme wa Mungu.

Ni vyema ukatambua kwamba, Mungu/ Yesu ; yupo interested sana kwenye Mioyo yetu. Kama tukipewa Uelewa kidogo, ni lazima tuutumie kuuliza maswali ili tupate nguvu za kuendelea kuutafuta uso wake mpaka hatua ya mwisho ya kufunguliwa mlango wa mbinguni.

Hapa utaona Uelewa ni muhimu sana katika hatua zote.

Nataka kusema kwamba , daraja la kuokoka ( salvation) ( ambalo ni la pili, si la kwanza kama watu wanavyofikiri - katika ufalme wa Mungu) linaweza kumfanya MTU kuchaguliwa kama itampendeza Mungu ( kupitia Yesu)

Kuna watu wengi sana huwa wanaifikia hatua hii, lakini huwa hawawezi kuchaguliwa kutokana na Tamaa za miili yao pamoja na nguvu zilizopo kwenye Mazingira yao.

Hii ni sehemu ambayo huwaandaa watu kwenda kuvuna walichopanda. Na wengi huishia kula au kuvuna matunda ya miti ya Hisia ( sio ile waliyoipanda). I mean, wanaikana miti yao na kutamani kwenda kuvuna miti ya Ulimwengu huu.

Ushauri; Jichunguze njia zako; Tubu , rudi msalabani. Kumbuka , asiye elewa maana hana maana. Namaanisha, unaweza kuisoma Biblia nzima na kuikariri, lakini usielewe kilichoandikwa. Hili ni tatizo linalikusumbua kwasasa...,

Tafuta mzuri na Mungu/ Yesu ..... Mazingira unayoyatumia kusoma maandiko ya Mungu ndio yanakufanya usilielewe vyema neno lake. Hii itakufanya kuwa mjuaji tu lakini sio Muelewa.

Mungu akubariki sana. Damu ya Yesu ukutakase!
Nisahihi mawazo mazuri,......ila kuingia katika utakatifu unasema uende ktk njia ya msalaba,...YESU alikufa msalabani ili kutukomboa,.ukisema kuwa kukombolewa dhambi kwanjia ya msalaba ni kwamba YESU hakufanya/hakutukomboa msalabani,.....sio sahihi YESU alishakufa msalabani kwa ajili ya dhambi zet,...unavyosema hivyo nisawa nakwamba kuvaa msalaba kuamini kuwa Yesu yupo msalabani na unavyouomba huo msalaba ambao umechongwa na watu ni sawa na ibada ya sanamu,......kusoma biblia ni sahihi lazima uwe na mafunuo ili uweze kuielewa,
kusoma biblia ili mtu ajionyeshe ni sawa na bure
kusoma bible ili kupinga watu ni sawa na bure,.mtu hawez kuelewa iko hivyo
kusoma biblia kama stori=nothing
tukumbuke ya kwamba biblia tunasoma as a guidance,.tu7nasoma tuenende katika njia MUNGU anazozitaka,tujue ya kuishi ktika njia za MUNGU kwa kupitia mafunuo ambayo MUNGU atatupa
kusoma biblia kinyume na matakwa ya MUNGU=Nothing
ila biblia lazima isomwe na wateule na ijae ktk nafsi,mwili na roho ili iwe ni nguzo ya maisha yao kwa kila jambo,.
kwenye red hapo,...mazingira gani hayo labda?
kama biblia MUNGU ananifunulia mwanadamu ni nani hata apinge?
 
hivi nabii ni nani wakuu? inakuwaje mpk mtu anaitwa nabii? mwnye definition ya nabii msaada please
nabii katika biblia ni mtu ambae hupewa mafunuo/maono na MUNGU kwa ajili ya kazi ya MUNGU pekee,huwa wanapewa maono na MUNGU direct kwa ajili ya kazi ya Mungu isongembele,.MUNGU Hutoa nabii kwa purpose ya kazi yake iliyopo mahali flani iende mbele isimame katika njia sahihi....
kwaufupi ni hivyo ndugu
 
WEZI wanawaibia Na Kuishi maisha Ya Juu halafu nyie watoa hizo pesa mnaishi ka Mbuzi zizini.
Halafu hapo hapo mnawaita Manabii na Kuwapigia magoti wawasamehe madhambi yenu.
nani aliyekwambia binadamu anasamehe dhambi????acha fikra potofu ndugu,.
Yule aliyewaita KONDOO aliwapatia sana aisee.
alafu tukiitwa kondoo sio kama unavyofikiri usiyeelewa,....
 
nani aliyekwambia binadamu anasamehe dhambi????acha fikra potofu ndugu,.

alafu tukiitwa kondoo sio kama unavyofikiri usiyeelewa,....
Nyie mnapokwenda kuhungama madhambi kwa Padri na Padri kuwaambia "nenda kwa amani umesamehewa" ina maana yeye alipata Text message kutoka kwa pilato kuwa wewe mzinifu umesamehewa?
 
Nani kampa unabii ?
We unadhani unabii ni km Kondakta wa Daladala?
Hata Konda anapewa kazi hio na mtu.
Hawa Wote ni Wezi tu. Km wale wa Agape tv
Yule mnaemuita Mtume kaja Dar hata Kiswahili hajui. Anaongea kigoa tu.
Kaajiriwa na muislamu alipoona Kuna Biashara ya Kupiga debe kaanzisha Kanisa lake.
Leo.anavaa shati na Tai. Anapiga hela kilainiii.
Kazi kupiga kelele tu na Kurudiarudia maneno yale yale km matangazo ya kifo.
Ovyoo.
kejeli.......ila usihukumu usije ukahukumiwa wewe
 
Nyie mnapokwenda kuhungama madhambi kwa Padri na Padri kuwaambia "nenda kwa amani umesamehewa" ina maana yeye alipata Text message kutoka kwa pilato kuwa wewe mzinifu umesamehewa?
mimi siendi kwa padri,....kwani padri ndonani????????
mimi kuungama/kutubu dhambi natubu kwakumaanisha kutoka moyoni kupitia jina la YESU na kupata ondoleo la dhambi,.
YESU huangalia moyo uliovunjika na kujinyenyekeza mbele zake na kutubu kwa dhati......
kuwa mfuasi wa YESU kuna protocal........
 
mimi siendi kwa padri,....kwani padri ndonani????????
mimi kuungama/kutubu dhambi natubu kwakumaanisha kutoka moyoni kupitia jina la YESU na kupata ondoleo la dhambi,.
YESU huangalia moyo uliovunjika na kujinyenyekeza mbele zake na kutubu kwa dhati......
kuwa mfuasi wa YESU kuna protocal........
Sasa una maana wanao hungama wote ni wapuuzi wasioujua Ukristo?

Kila kanisa kumejengwa vile vibanda mnavyo viita confession box na kazi yake ni Kuhungamia madhambi yenu na Mchungaji anakusikiliza unabwabwaja madhambi yako kisha anakusamehe.

Acheni usanii.

Na Wewe huwezi kuomba Mungu moja kwa moja mpk Upitie kwa Mtu.
Hii ndio imani ya Kikristo.
 
Sasa una maana wanao hungama wote ni wapuuzi wasioujua Ukristo?

Kila kanisa kumejengwa vile vibanda mnavyo viita confession box na kazi yake ni Kuhungamia madhambi yenu na Mchungaji anakusikiliza unabwabwaja madhambi yako kisha anakusamehe.

Acheni usanii.

Na Wewe huwezi kuomba Mungu moja kwa moja mpk Upitie kwa Mtu.
Hii ndio imani ya Kikristo.
hivi unaelewa unachoongea ndugu?
Sasa una maana wanao hungama wote ni wapuuzi wasioujua Ukristo?
huwezi kutubu kwa mtu,..nachozungumzia hapa ni swala mtu kumtajia dhambi zako then huyo mtu akusamehe,.hiko kitu hakipo,.kama kipo ni watu wamebuni,....hizo confession box unazosema ni watu wamebuni tu,.....kutubu kwa MUNGU huwezi kumwambia binadamu akusamehe dhambi wakati yeye mwenyewe ni binadamu anamapungufu yake,.mwenye uwezo wa kusamehe dhambi ni MUNGU/YESU tu pekee.......
Sasa nikiwa porini nATaka kutubu hamna hilo box unalosema,.nafanyaje???????
acha kukalili imani za kukalilishwa baadhi ya watu wewe,.
 
TheMeek Na vCTRMA mmeandika mengi mazito ambapo wengi tunajifunza!

Lakini Je ni dhambi gani mhubiri Angel Na Makandiwa kuwataja wachache wao ambacho anadhani hawatend vema mpaka tukawahukumu kwa maneno yetu?

Kati ya watumishi wa aina yao, hawa ndio nawaona wanahubiri sana kwa kufanya references kwenye biblia. Uvaaji wao, fahari walizonazo as long as wamezipata ktk njia sahihi sioni tatizo!

Tujifunze pia Kuwa zama zinabadilika Na hivyo hata njia ya uonekano Na utoaji wa ujumbe wa neno la Mungu hubadilika kutokana Na audience Na wakati pia.

Huwezi kwa zama hizi ukaevaa kama marehemu Kolola Moses ukapata kumbadilisha MTU kama shishi baby!
 
nabii katika biblia ni mtu ambae hupewa mafunuo/maono na MUNGU kwa ajili ya kazi ya MUNGU pekee,huwa wanapewa maono na MUNGU direct kwa ajili ya kazi ya Mungu isongembele,.MUNGU Hutoa nabii kwa purpose ya kazi yake iliyopo mahali flani iende mbele isimame katika njia sahihi....
kwaufupi ni hivyo ndugu
thanx mkuu hapo nmeelewa,ila nkuulize mkuu nabii huzaliwa,husomea au mtu unaweza kuamua tu kuwa karibu na kanisa then nae akawa nabii?yaan kiufupi nabii anapatkanaje ni something to born with au?.....
 
thanx mkuu hapo nmeelewa,ila nkuulize mkuu nabii huzaliwa,husomea au mtu unaweza kuamua tu kuwa karibu na kanisa then nae akawa nabii?yaan kiufupi nabii anapatkanaje ni something to born with au?.....
Nami nataka kujua hii.
 
Hawa wote ni WEZI TU.
Unabii wamepewa na Nani hawa matapeli?

Halafu Kondoo walivyo na busara ndogo wanawapigia magoti na kuwaomba wawasamehe madhambi yao.

Yaani kondoo ni kondoo tu.

Nabii anavaa Jeans na mkewe Mini skirts?
 
Ndugu, Biblia ni kitabu kikubwa kuliko vyote hapa ulimwenguni. Ni kitabu kilichojaa maandishi ya Mungu , ambamo ndani yake kuna maneno ya Mungu.

Ni kitabu kichoandikwa na Roho wa Mungu kupita Kristo Yesu ( Who was, Who is and Who is to come)

Kitabu hiki ni vigumu sana kukielewa kama haujaalikwa kwenye njia ya msalaba through Repentance.

Kumbuka, Mungu / Yesu hutuelewa sisi kwa kila kitu ; anaelewa MTU aliyetayari kujumuika nae katika njia hiyo; Hakuna MTU anayeweza kujificha mbele zake.

Anawaelewa wale wote wanaotaka kujumuika kwa muda na kutoka; Hakika sisi tu uchi mbele ya kiti chake.

Sasa basi, wale ambao sio wake, ni vigumu kuisikia sauti yake na kuona matendo yake ( I mean, kilichoandikwa kwenye Biblia na kinachoendelea katika Maisha yako+ Mazingira yako)

Kumbuka, Uelewa ni zawadi kutoka kwa Mungu. Uelewa huu ni tofauti na huo unaotumia shuleni kujibia mitihani na kusomea.

Swali la pili;

Ni njia ya msalaba pekee ndio inayoweza kukuondolea dhambi, hakuna njia nyingine kaka. Yesu ndiye njia, kweli na uzima.

Lazima utubu kwanza ( kama utapata nafasi ya kuitwa) , ndipo uingie msalabani, kukombolewa, kuokolewa, kuchaguliwa/ kuteuliwa na kisha unatumwa...

Hii ni process sio ya siku moja, bali ni ya siku tatu.

NB; Faith is not a pressing button
Huu uwongo umetoa WAP?
 
Hawa wote ni WEZI TU.
Unabii wamepewa na Nani hawa matapeli?

Halafu Kondoo walivyo na busara ndogo wanawapigia magoti na kuwaomba wawasamehe madhambi yao.

Yaani kondoo ni kondoo tu.

Nabii anavaa Jeans na mkewe Mini skirts?
Hahaha naona biashara hii inalipa sana, halafu cha ajabu watakuja wengine wanapiga ganja na watakubalika tu maana naona ni aina ya usanii flani
 
Hahaha naona biashara hii inalipa sana, halafu cha ajabu watakuja wengine wanapiga ganja na watakubalika tu maana naona ni aina ya usanii flani
Mkuu mi najipanga nije nifungie Kanisa langu. Nabeba wazungu wawili tu. misalaba kilo 50. Na maji ya azam nayaombea yanakuwa maji ya uzima wa milele.
Ntapiga pesa ka sina akili nzuri.
 
Mkuu mi najipanga nije nifungie Kanisa langu. Nabeba wazungu wawili tu. misalaba kilo 50. Na maji ya azam nayaombea yanakuwa maji ya uzima wa milele.
Ntapiga pesa ka sina akili nzuri.
Halafu uzuri hawakushtukii hata ukinunua meli
 
Halafu uzuri hawakushtukii hata ukinunua meli
Watasema hizo ni baraka za bwana.
Na haleluyah nyingi sana.

We huoni Gwajima anavyo wafanya?
Jamaa anatembelea Hammer ya milion 200 wakati watoa sadaka hata bajaji hawana.
Siku Kondoo wakija shtuka wachungaji wataingia mitini wote lkn hilo haliwezi kutokea.
 
Back
Top Bottom