Manabii wanaokwenda na wakati

Manabii wanaokwenda na wakati

Mahmood

Hapo ndio tunapotofautiana kaka. Sisi hatuamini katika Yale ninyi mnayoyaamini!

Tunataratibu zetu, Mungu wetu ni wa utatu mtakatifu, Je ninyi mnalikubali hili? Lah!

Kamwe narudia kamwe huwezi kutumia Quran katika kujustfy NENO.lolote katika Biblia. Tunaamini katika kusamehe ninyi katika kulipiza ni haki!

Hakuna uhusiano wa kiimani Kati yetu kwa MTU aliyeshika sawasawa imani yake. Huwezi Mueleza Muislam swafi Kuwa anaamini katika imani ya kikristo! Never! Na hivyo hivyo kwa wakristo!

Ila ni sisi ambao labda tunakaeli dunia tunajaribu kujenga upatanisho ktk dini mbili hizi. Uislam Na Ukristo ni vitu viwili tofauti. ni sawa dunia Na.mbinguni, nyeusi Na nyeusi! kamwe si kitu kimoja!

Tuendelee kuheshimiana kwa "imani" maana kila kitu anachoamini MTU ktk imani yake ni sawa, hatuna haja ya kutofautiana Na kulazimishana Kuwa dini flani ni Bora zaidi ya nyingine.

Shika sana ulichonacho Mkuu, usiruhusu MTU kukutoa ktk imani yako. Lakini kama utajitafutia maarifa Na ukagungua kwa hiari yako Kuwa upo katika wrong tracks using'ang'ania kubaki ulipo. HAMA. Hiii ni kwa wote. sio kwa wakristo au waislam tu!
Yesu ni Mtume wa Mungu.

Yesu kasema wazi kabisa kwamba yeye ni mtu na katumwa na Mungu.


Katika Injili ya (Yohana 8:40), Yesu kasema, "Lakini sasa mnatafuta kuniua mimi mtu ambaye nimewaambia iliyo kweli, niliyoisikia kwa Mungu..."

Yesu anasema wazi kabisa" mnatafuta kuniua mimi mtu ambaye nimewaambia iliyo kweli, niliyoisikia kwa Mungu."

Hapo Yesu anajitambulisha kwamba yeye ni mtu katumwa na Mungu.

Kuiacha dhana ya Mungu mwenye mwili na Utatu hakumwaibishi Yesu, ispokuwa kunamuweka Mungu katika utukufu, upweke,
ukuu na nafasi ya pekee isiyo na mfano ya kuwa yeye ni Mungu wa pekee anayestahiki kuabudiwa.

Yesu si Mungu, ila ni Mtume na Mjumbe `mkuu wa Mungu!

Yesu anasema;

Katika Yohana 20:17

"Mungu wangu naye ni Mungu wenu".

Yafaa hapa ujiulize sana, Yesu alikusudia nini aliposema: "Mungu wangu naye ni Mungu wenu"?

Jiulize je inawezekana kwa kiumbe kumzidi ukuu Mungu wake?


Pia katika John 5:30

Yesu kasema;

" Mimi siwezi kufanya kitu kwa uwezo wangu mwenyewe. Mimi nina hukumu kama ninavyosikia kutoka kwa Mungu, nayo hukumu yangu ni ya haki. Nia yangu si kufanya nipendavyo mwenyewe, bali apendavyo yule aliyenituma."


Tafakarini ndugu zanguni kwa Adam, before it is too late.

Mwenyezi Mungu anasema katika Quran (3-59-91):

"Hakika mfano wa Yesu kwa Mwenyezi Mungu ni kama mfano wa Adam; alimuumba kwa udongo kisha akamwambia: Kuwa! Basi akawa.


Hii ni kweli itokayo kwa Mola wako Mlezi. Basi usiwe miongoni mwa wanao fanya shaka.

Watakao kuhoji katika haya baada ya kukufikilia ilimu hii waambie: Njooni tuwaite watoto wetu na watoto wenu, na wake zetu na wake zenu, na sisi wenyewe na nyinyi wenyewe, kisha tuombe kwa unyenyekevu tutake laana ya Mwenyezi Mungu iwashukie waongo.

Hakika haya ndiyo maelezo ya kweli. Na hakuna mungu ila Mwenyezi Mungu tu, na hakika Mwenyezi Mungu ndiye Mwenye nguvu na Mwenye hikima.

Na kama wakigeuka basi Mwenyezi Mungu anawajua waharibifu.

Sema: Enyi Watu wa Kitabu! Njooni kwenye neno lilio sawa baina yetu na nyinyi: Ya kwamba tusimuabudu yeyote ila Mwenyezi Mungu, wala tusimshirikishe na chochote; wala tusifanyane sisi kwa sisi kuwa miungu badala ya Mwenyezi Mungu. Na wakigeuka basi semeni: Shuhudieni ya kwamba sisi ni Waislamu.

Enyi Watu wa Kitabu! Mbona mnabishana juu ya Ibrahim, na hali Taurati na Injili hazikuteremshwa ila baada yake? Basi hamzingatii?

Angalieni! Nyinyi mlibishana katika yale mliyo yajua. Mbona sasa mnabishana katika yale msiyo yajua? Na Mwenyezi Mungu ndiye ajuaye, na nyinyi hamjui.

Ibrahim hakuwa Yahudi wala Mkristo, lakini alikuwa mwongofu Muislamu, wala hakuwa katika washirikina.

Watu wanao mkaribia zaidi Ibrahim ni wale walio mfuata yeye na Nabii huyu na walio amini. Na Mwenyezi Mungu ndiye Mlinzi wa Waumini.

Kipo kikundi katika Watu wa Kitabu wanao penda kukupotezeni; lakini hawapotezi ila nafsi zao, nao wenyewe hawatambui.

Enyi Watu wa Kitabu! Mbona mnazikataa Ishara za Mwenyezi Mungu ilhali nyinyi mnashuhudia?

Enyi Watu wa Kitabu! Mbona kweli mnaivisha uwongo, na kweli mnaificha na hali mnajua?

Na kikundi katika Watu wa Kitabu walisema: Yaaminini yale waliyo teremshiwa wenye kuamini mwanzo wa mchana, na yakataeni mwisho wake; huenda wakarejea.

Wala msimuamini ila anaye fuata dini yenu. Sema: Hakika uwongofu ni uwongofu wa Mwenyezi Mungu, kuwa apewe mtu mfano wa mlio pewa nyinyi au wakuhojini mbele ya Mola wenu Mlezi. Sema: Hakika fadhila zimo mikononi mwa Mwenyezi Mungu. Humpa amtakaye. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye wasaa na Mjuzi.

Yeye humchagua kumpa rehema zake amtakaye; na Mwenyezi Mungu ndiye Mwenye fadhila kubwa.

Na miongoni mwa Watu wa Kitabu yupo ambaye ukimpa amana ya mrundi wa mali atakurudishia, na miongoni mwao yupo ambaye ukimpa amana ya dinari moja hakurudishii isipo kuwa ukimsimamia kumdai. Haya ni kwa kuwa wakisema: Hatuna lawama kwa ajili ya hawa wasio jua kusoma. Na wanamzulia uwongo Mwenyezi Mungu, hali nao wanajua.

Sivyo hivyo, bali anaye timiza ahadi yake na akamchamngu basi Mwenyezi Mungu huwapenda wachamngu.

Hakika wanao uza ahadi ya Mwenyezi Mungu na viapo vyao thamani ndogo, hao hawatakuwa na sehemu ya kheri yoyote katika Akhera, wala Mwenyezi Mungu hatasema nao wala hatawatazama Siku ya Kiyama, wala hatawatakasa, nao watapata adhabu chungu.

Na wapo baadhi yao wanao pindua ndimi zao katika kusoma Kitabu ili mdhanie kuwa hayo yanatoka Kitabuni, na wala hayatoki Kitabuni. Na husema: Haya yametoka kwa Mwenyezi Mungu. Na wala hayatoki kwa Mwenyezi Mungu. Na wanamsingizia Mwenyezi Mungu uwongo na wao wanajua.

Haiwezi kuwa mtu aliye pewa na Mwenyezi Mungu Kitabu na hikima na Unabii kisha awaambie watu: Kuweni wa kuniabudu mimi badala ya Mwenyezi Mungu. Bali atawaambia: Kuweni wenye kumuabudu Mola Mlezi wa viumbe vyote, kwa kuwa nyinyi mnafundisha Kitabu na kwa kuwa mnakisoma.

Wala hatakuamrisheni kuwafanya Malaika na Manabii kuwa ni miungu. Je, atakuamrisheni ukafiri baada ya kuwa nyinyi Waislamu?

Na pale Mwenyezi Mungu alipo chukua ahadi kwa Manabii: Nikisha kupeni Kitabu na hikima, kisha akakujieni Mtume mwenye kusadikisha mliyo nayo, ni juu yenu mumuamini na mumsaidie. Akasema: Je, mmekiri na mmekubali kushika agizo langu juu ya hayo? Wakasema: Tumekubali. Akasema: Basi shuhudieni, na Mimi ni pamoja nanyi katika kushuhudia.

Watakao geuka baada ya haya basi hao ndio wapotovu.

Je, wanataka dini isiyo kuwa ya Mwenyezi Mungu, na hali kila kilichomo mbinguni na katika ardhi kimesilimu kwa kumt'ii Yeye kikipenda kisipende, na kwake Yeye watarejeshwa?

Sema: Tumemuamini Mwenyezi Mungu, na tuliyo teremshiwa sisi, na aliyo teremshiwa Ibrahim, na Ismail, na Is-haak na Yaakub na wajukuu zao, na aliyo pewa Musa na Yesu na Manabii wengine kutoka kwa Mola wao Mlezi. Hatubagui baina yao hata mmoja, na sisi ni wenye kusilimu kwake.

Na anaye tafuta dini isiyo kuwa Uislamu haitakubaliwa kwake. Naye Akhera atakuwa katika wenye kukhasiri.

Mwenyezi Mungu atawaongoaje watu walio kufuru baada ya kuamini kwao, na wakashuhudia ya kuwa Mtume huyu ni wa haki, na zikawafikia hoja zilizo wazi? Mwenyezi Mungu hawaongoi watu madhaalimu.

Hao malipo yao ni kuwa ipo juu yao laana ya Mwenyezi Mungu na ya Malaika na ya watu

Humo watadumu. Hawatapunguziwa adhabu wala hawatapewa nafasi.

Isipo kuwa wale walio tubu baada ya hayo na wakatengenea; kwani Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe na Mwenye kurehemu.

Hakika wale walio kufuru baada ya kuamini kwao, kisha wakazidi kukufuru, toba yao haitakubaliwa, na hao ndio walio potea.

Hakika wale walio kufuru, na wakafa hali ni makafiri haitakubaliwa kutoka kwa yeyote wao fidia ya dhahabu ya kujaza dunia nzima lau wangeli itoa. Hao watapata adhabu chungu, wala hawatakuwa na wa kuwanusuru.
 
ok ni jambo zuri kuzidi kuufahamu msimamo wako wa ndani ya moyo wako,.tupo hapa sikubishana na kukejeliana bali tunasaidiana na kuelekezana namna zitupasazo ili tusiikose mbingu..
kwanza wahubiri wetu sisi/wachungaji hawatupotoshi,.wanamuhubiri KRISTO YESU na najua unajua dhumuni la kwenda kanisani,sio kumsikiliza mchungaji,nop ni kumwabudu MUNGU,thats the main point,.mchungaji amewekwa na Mungu kanisani unajua kazi yake??????
WAEFESO 4;11-12-NAYE ALITOA WENGINE KUWA MITUME,NA WENGINE KUWA MANABII,NA WENGINE KUWA WAINJILISTI,NA WENGINE KUWA WACHUNGAJI NA WALIMU,..je mnapoabudu hao watumishi yaani mitume,manabii,wachungaji,walimu wapo????????????,sema ukweli ndugu
12-kwakusudi la kuwakamilisha watakatifu,hata kazi ya huduma itendeke,hata mwili wa Kristo ujengwe..sasa ndugu wahubiri wetu sisi ni wachungaji,.so unapingana na biblia ndugu kuwa wachungaji waliokuwepo kwa misingi ya MUNGU na paul amewagusia hapo,unawapinga,.kanisa lazima linalomuabudu MUNGU WA kweli lazima liwe na hizo huduma nlizoquote kutoka waefeso,.kama kanisani kwenu hamfuati hayo,.jichunguze,.mmepotea ndugu

ok sawa ndugu,.nashukuru kwa fundisho lako ndugu,..ila hayo unayoyasema ni mambo umeyatoa katika bibvlia au umeyatoa akilini mwako,au ndo mapokeo mnayofundishwa kanisani catholics?????
tuishi kama neno linavyosema ndugu,kma tunataka kwenda mbinguni hii njia ya kuokoka haikwepeki.
MARKO 16;16-
Aaminiye na kubatizwa ataokoka,
asiyeamini atahukumiwa,.yaani haijalishi umeokoka lini wala mda gani,.ukiamini kuhusu YESU na ukakubali kubatizwa utaokoka,.the same time.
YESU hakusema hayo mambo unayosema wewe kuwa lazma ukae muda gani sijui ndo uokoke,no sio hivyo ndugu,.kuokoka ni imani,ndomaana unakiri kutoka moyoni,.ila uwe umemaanisha kutoka moyoni.,na tunakombolewa kwa imani.,.
MATENDO 16;31
Wakamwambia,mwamini Bwana YESU ,Nawe utaokoka pamoja na nyumba yako,...
ukimwamini YESU basi unaokoka ndugu.,.sio mpaka ukaemiaka,no sio hivyo mkuu
WARUMI10;9
Kwasababu ukimkiri YESU kwa kinywa chako ya kuwa ni BWANA ,Nakuamini moyoni mwako yakuwa MUNGU Alimfufua katika wafu,utaokoka
sio eti hadi ukae miaka,.haipo hivyo ndugu,..kama ulivyosema MUNGU kukufunulia haya mambo inabidi uwe nae karibu sana,.mmeshindwa kuelewa ni nini mnafanya,kwakuwa mnaamini kusomewa neno,bila wewe mwenyewe kuchukua hatua.
nina hakika ukimtafuta MUNGU kama amekuchagua uje kuwa ktk njia yake,.utajua haya na kukupa uelewa wa neno lake,.na utapojua ukweli ukaja kuokoka,utajiona umechelewa sana.....

nasisi tuliokoka najua tunadharaulika nisahihi sana,.ila unafikiri kwanini YESU alidharauliwa msalabani?na hadi wakamtemea mate????????ni ule ukweli aliowaambia watu washika dini,nawakaona ni kama hadithi za ajabu2,vitu vya ajabu,......soma mathayo 24 uone ndugu......
ndugu akina yohana walitiwa kwenye mapipa ya mafuta ili wafe,.stephano walimpiga mawe kisaa neno la YESU ahhh ndugu,.kama utatudharau ni vizuri sababu mimi napata thawaabu na heshima kwa MUNGU wangu kuwa nadharaulika na kudhihakiwa kisaa neno lake.,......
kuhusu filipo na huyo mwanasheria nisahihi kabisa tena haswa.,........
kusoma biblia inahitaji mafunuo ya MUNGU sio kusoma hovyo2 kama hadithi,.ndomaana biblia ni moja ila madhehebu ni mengi na kila mtu anahubiri na kutafsiri kivyake,.ila namshukuru MUNGU kwakunichagua kuwa upande sahihi na kuona mambo ya ukweli wa MUNGU akinifunulia,............
Ndugu, ukiingia katika njia ya Msalaba katika Kristo Yesu, lazima ukubali yafuatayo ;-

1. Kuteseka (kudharauliwa) 2. Kukataliwa (kutengwa) 3. Kuuliwa ( kunyimwa Haki/ kuonewa/ kusingiziwa) 4. Kufufuka/Kuishi.

Haya yote lazima yafanyike katika Haki, Ukweli na katika Upendo ( in Yeshua Ha-Mashiach)

Nimesema , wanaojiita wameokoka wanadharauliwa sana kutokana na kuishi pasina Haki, Ukweli na Upendo.

Wengi Huwezi kuwatofautisha na watu wanaojiuza mabarabarani, wengi ni wazinzi, Malaya , kuvaa nguo chafu, .... Wamekuwa sio mwanga wa Mazingira yao.

Huwezi kusema umeokoka , halafu unafanana au bado unaishi katika udhaifu.

829f3087c9b854e299e737a371cb7be4.jpg
 
ok ni jambo zuri kuzidi kuufahamu msimamo wako wa ndani ya moyo wako,.tupo hapa sikubishana na kukejeliana bali tunasaidiana na kuelekezana namna zitupasazo ili tusiikose mbingu..
kwanza wahubiri wetu sisi/wachungaji hawatupotoshi,.wanamuhubiri KRISTO YESU na najua unajua dhumuni la kwenda kanisani,sio kumsikiliza mchungaji,nop ni kumwabudu MUNGU,thats the main point,.mchungaji amewekwa na Mungu kanisani unajua kazi yake??????
WAEFESO 4;11-12-NAYE ALITOA WENGINE KUWA MITUME,NA WENGINE KUWA MANABII,NA WENGINE KUWA WAINJILISTI,NA WENGINE KUWA WACHUNGAJI NA WALIMU,..je mnapoabudu hao watumishi yaani mitume,manabii,wachungaji,walimu wapo????????????,sema ukweli ndugu
12-kwakusudi la kuwakamilisha watakatifu,hata kazi ya huduma itendeke,hata mwili wa Kristo ujengwe..sasa ndugu wahubiri wetu sisi ni wachungaji,.so unapingana na biblia ndugu kuwa wachungaji waliokuwepo kwa misingi ya MUNGU na paul amewagusia hapo,unawapinga,.kanisa lazima linalomuabudu MUNGU WA kweli lazima liwe na hizo huduma nlizoquote kutoka waefeso,.kama kanisani kwenu hamfuati hayo,.jichunguze,.mmepotea ndugu

ok sawa ndugu,.nashukuru kwa fundisho lako ndugu,..ila hayo unayoyasema ni mambo umeyatoa katika bibvlia au umeyatoa akilini mwako,au ndo mapokeo mnayofundishwa kanisani catholics?????
tuishi kama neno linavyosema ndugu,kma tunataka kwenda mbinguni hii njia ya kuokoka haikwepeki.
MARKO 16;16-
Aaminiye na kubatizwa ataokoka,
asiyeamini atahukumiwa,.yaani haijalishi umeokoka lini wala mda gani,.ukiamini kuhusu YESU na ukakubali kubatizwa utaokoka,.the same time.
YESU hakusema hayo mambo unayosema wewe kuwa lazma ukae muda gani sijui ndo uokoke,no sio hivyo ndugu,.kuokoka ni imani,ndomaana unakiri kutoka moyoni,.ila uwe umemaanisha kutoka moyoni.,na tunakombolewa kwa imani.,.
MATENDO 16;31
Wakamwambia,mwamini Bwana YESU ,Nawe utaokoka pamoja na nyumba yako,...
ukimwamini YESU basi unaokoka ndugu.,.sio mpaka ukaemiaka,no sio hivyo mkuu
WARUMI10;9
Kwasababu ukimkiri YESU kwa kinywa chako ya kuwa ni BWANA ,Nakuamini moyoni mwako yakuwa MUNGU Alimfufua katika wafu,utaokoka
sio eti hadi ukae miaka,.haipo hivyo ndugu,..kama ulivyosema MUNGU kukufunulia haya mambo inabidi uwe nae karibu sana,.mmeshindwa kuelewa ni nini mnafanya,kwakuwa mnaamini kusomewa neno,bila wewe mwenyewe kuchukua hatua.
nina hakika ukimtafuta MUNGU kama amekuchagua uje kuwa ktk njia yake,.utajua haya na kukupa uelewa wa neno lake,.na utapojua ukweli ukaja kuokoka,utajiona umechelewa sana.....

nasisi tuliokoka najua tunadharaulika nisahihi sana,.ila unafikiri kwanini YESU alidharauliwa msalabani?na hadi wakamtemea mate????????ni ule ukweli aliowaambia watu washika dini,nawakaona ni kama hadithi za ajabu2,vitu vya ajabu,......soma mathayo 24 uone ndugu......
ndugu akina yohana walitiwa kwenye mapipa ya mafuta ili wafe,.stephano walimpiga mawe kisaa neno la YESU ahhh ndugu,.kama utatudharau ni vizuri sababu mimi napata thawaabu na heshima kwa MUNGU wangu kuwa nadharaulika na kudhihakiwa kisaa neno lake.,......
kuhusu filipo na huyo mwanasheria nisahihi kabisa tena haswa.,........
kusoma biblia inahitaji mafunuo ya MUNGU sio kusoma hovyo2 kama hadithi,.ndomaana biblia ni moja ila madhehebu ni mengi na kila mtu anahubiri na kutafsiri kivyake,.ila namshukuru MUNGU kwakunichagua kuwa upande sahihi na kuona mambo ya ukweli wa MUNGU akinifunulia,............
Ayubu wakati anadanganywa na marafiki zake na kukatishwa Tamaa, baadae Mungu alianza kumuuliza maswali, mfano , " Je unafahamu foundation ya kuumbwa kwa Dunia?

Nami nakuuliza, Je unafahamu foundation ya "Wokovu" ? Unajua mageti yake? Au unaona rahisi tu kutamka hapa.

Do I look like a Catholic? Na Je umewahi kukutana na Mkatoliki mwenye maandiko kama Haya?
 
Mungu ni Mmoja tu.

Biblia inasema Yohana17:3...wakufahamu wewe ambaye pekee ni Mungu wa kweli,nakumfahamu Yesu Kristo ambaye umemtuma.

1 Timotheo 6:16 inasema, Yeye peke yake anaishi milele katika mwanga usioweza kukaribiwa na mtu. Hakuna mtu aliyepata kumwona au awezaye kumwona. Kwake iwe heshima na uwezo wa milele! Amina.

Quran Inasema, Macho hayamfikilii bali Yeye anayafikilia macho. Naye ni Mjuzi, Mwenye khabari. (Quran 6:103)

Quran Inasema, Mwenyezi Mungu, hakuna mungu ila Yeye Aliye Hai, Msimamizi wa yote milele. (Quran 3:2)

Quran Inasema, Yeye ndiye anaye kuundeni ndani ya matumbo ya wazazi kwa namna apendayo. Hapana mungu ila Yeye, Mwenye nguvu na Mwenye hikima. (Quran 3:6)

Quran Inasema, Mwenyezi Mungu, na Malaika, na wenye ilimu, wameshuhudia kuwa hakika hapana mungu ila Yeye, ndiye Mwenye kusimamisha uadilifu; hapana mungu ila Yeye Mwenye nguvu na Mwenye hikima. (Quran 3:18)
Mungu ni Mmoja tu.

Biblia inasema Yohana17:3...wakufahamu wewe ambaye pekee ni Mungu wa kweli,nakumfahamu Yesu Kristo ambaye umemtuma.

1 Timotheo 6:16 inasema, Yeye peke yake anaishi milele katika mwanga usioweza kukaribiwa na mtu. Hakuna mtu aliyepata kumwona au awezaye kumwona. Kwake iwe heshima na uwezo wa milele! Amina.

Quran Inasema, Macho hayamfikilii bali Yeye anayafikilia macho. Naye ni Mjuzi, Mwenye khabari. (Quran 6:103)

Quran Inasema, Mwenyezi Mungu, hakuna mungu ila Yeye Aliye Hai, Msimamizi wa yote milele. (Quran 3:2)

Quran Inasema, Yeye ndiye anaye kuundeni ndani ya matumbo ya wazazi kwa namna apendayo. Hapana mungu ila Yeye, Mwenye nguvu na Mwenye hikima. (Quran 3:6)

Quran Inasema, Mwenyezi Mungu, na Malaika, na wenye ilimu, wameshuhudia kuwa hakika hapana mungu ila Yeye, ndiye Mwenye kusimamisha uadilifu; hapana mungu ila Yeye Mwenye nguvu na Mwenye hikima. (Quran 3:18)
Mungu wa wakristo yupo katika philosophy ya utatu mtakatifu! .. Mnaamini katka haya?
 
Yesu ni Mtume wa Mungu.

Yesu kasema wazi kabisa kwamba yeye ni mtu na katumwa na Mungu.


Katika Injili ya (Yohana 8:40), Yesu kasema, "Lakini sasa mnatafuta kuniua mimi mtu ambaye nimewaambia iliyo kweli, niliyoisikia kwa Mungu..."

Yesu anasema wazi kabisa" mnatafuta kuniua mimi mtu ambaye nimewaambia iliyo kweli, niliyoisikia kwa Mungu."

Hapo Yesu anajitambulisha kwamba yeye ni mtu katumwa na Mungu.

Kuiacha dhana ya Mungu mwenye mwili na Utatu hakumwaibishi Yesu, ispokuwa kunamuweka Mungu katika utukufu, upweke,
ukuu na nafasi ya pekee isiyo na mfano ya kuwa yeye ni Mungu wa pekee anayestahiki kuabudiwa.

Yesu si Mungu, ila ni Mtume na Mjumbe `mkuu wa Mungu!

Yesu anasema;

Katika Yohana 20:17

"Mungu wangu naye ni Mungu wenu".

Yafaa hapa ujiulize sana, Yesu alikusudia nini aliposema: "Mungu wangu naye ni Mungu wenu"?

Jiulize je inawezekana kwa kiumbe kumzidi ukuu Mungu wake?


Pia katika John 5:30

Yesu kasema;

" Mimi siwezi kufanya kitu kwa uwezo wangu mwenyewe. Mimi nina hukumu kama ninavyosikia kutoka kwa Mungu, nayo hukumu yangu ni ya haki. Nia yangu si kufanya nipendavyo mwenyewe, bali apendavyo yule aliyenituma."


Tafakarini ndugu zanguni kwa Adam, before it is too late.

Mwenyezi Mungu anasema katika Quran (3-59-91):

"Hakika mfano wa Yesu kwa Mwenyezi Mungu ni kama mfano wa Adam; alimuumba kwa udongo kisha akamwambia: Kuwa! Basi akawa.


Hii ni kweli itokayo kwa Mola wako Mlezi. Basi usiwe miongoni mwa wanao fanya shaka.

Watakao kuhoji katika haya baada ya kukufikilia ilimu hii waambie: Njooni tuwaite watoto wetu na watoto wenu, na wake zetu na wake zenu, na sisi wenyewe na nyinyi wenyewe, kisha tuombe kwa unyenyekevu tutake laana ya Mwenyezi Mungu iwashukie waongo.

Hakika haya ndiyo maelezo ya kweli. Na hakuna mungu ila Mwenyezi Mungu tu, na hakika Mwenyezi Mungu ndiye Mwenye nguvu na Mwenye hikima.

Na kama wakigeuka basi Mwenyezi Mungu anawajua waharibifu.

Sema: Enyi Watu wa Kitabu! Njooni kwenye neno lilio sawa baina yetu na nyinyi: Ya kwamba tusimuabudu yeyote ila Mwenyezi Mungu, wala tusimshirikishe na chochote; wala tusifanyane sisi kwa sisi kuwa miungu badala ya Mwenyezi Mungu. Na wakigeuka basi semeni: Shuhudieni ya kwamba sisi ni Waislamu.

Enyi Watu wa Kitabu! Mbona mnabishana juu ya Ibrahim, na hali Taurati na Injili hazikuteremshwa ila baada yake? Basi hamzingatii?

Angalieni! Nyinyi mlibishana katika yale mliyo yajua. Mbona sasa mnabishana katika yale msiyo yajua? Na Mwenyezi Mungu ndiye ajuaye, na nyinyi hamjui.

Ibrahim hakuwa Yahudi wala Mkristo, lakini alikuwa mwongofu Muislamu, wala hakuwa katika washirikina.

Watu wanao mkaribia zaidi Ibrahim ni wale walio mfuata yeye na Nabii huyu na walio amini. Na Mwenyezi Mungu ndiye Mlinzi wa Waumini.

Kipo kikundi katika Watu wa Kitabu wanao penda kukupotezeni; lakini hawapotezi ila nafsi zao, nao wenyewe hawatambui.

Enyi Watu wa Kitabu! Mbona mnazikataa Ishara za Mwenyezi Mungu ilhali nyinyi mnashuhudia?

Enyi Watu wa Kitabu! Mbona kweli mnaivisha uwongo, na kweli mnaificha na hali mnajua?

Na kikundi katika Watu wa Kitabu walisema: Yaaminini yale waliyo teremshiwa wenye kuamini mwanzo wa mchana, na yakataeni mwisho wake; huenda wakarejea.

Wala msimuamini ila anaye fuata dini yenu. Sema: Hakika uwongofu ni uwongofu wa Mwenyezi Mungu, kuwa apewe mtu mfano wa mlio pewa nyinyi au wakuhojini mbele ya Mola wenu Mlezi. Sema: Hakika fadhila zimo mikononi mwa Mwenyezi Mungu. Humpa amtakaye. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye wasaa na Mjuzi.

Yeye humchagua kumpa rehema zake amtakaye; na Mwenyezi Mungu ndiye Mwenye fadhila kubwa.

Na miongoni mwa Watu wa Kitabu yupo ambaye ukimpa amana ya mrundi wa mali atakurudishia, na miongoni mwao yupo ambaye ukimpa amana ya dinari moja hakurudishii isipo kuwa ukimsimamia kumdai. Haya ni kwa kuwa wakisema: Hatuna lawama kwa ajili ya hawa wasio jua kusoma. Na wanamzulia uwongo Mwenyezi Mungu, hali nao wanajua.

Sivyo hivyo, bali anaye timiza ahadi yake na akamchamngu basi Mwenyezi Mungu huwapenda wachamngu.

Hakika wanao uza ahadi ya Mwenyezi Mungu na viapo vyao thamani ndogo, hao hawatakuwa na sehemu ya kheri yoyote katika Akhera, wala Mwenyezi Mungu hatasema nao wala hatawatazama Siku ya Kiyama, wala hatawatakasa, nao watapata adhabu chungu.

Na wapo baadhi yao wanao pindua ndimi zao katika kusoma Kitabu ili mdhanie kuwa hayo yanatoka Kitabuni, na wala hayatoki Kitabuni. Na husema: Haya yametoka kwa Mwenyezi Mungu. Na wala hayatoki kwa Mwenyezi Mungu. Na wanamsingizia Mwenyezi Mungu uwongo na wao wanajua.

Haiwezi kuwa mtu aliye pewa na Mwenyezi Mungu Kitabu na hikima na Unabii kisha awaambie watu: Kuweni wa kuniabudu mimi badala ya Mwenyezi Mungu. Bali atawaambia: Kuweni wenye kumuabudu Mola Mlezi wa viumbe vyote, kwa kuwa nyinyi mnafundisha Kitabu na kwa kuwa mnakisoma.

Wala hatakuamrisheni kuwafanya Malaika na Manabii kuwa ni miungu. Je, atakuamrisheni ukafiri baada ya kuwa nyinyi Waislamu?

Na pale Mwenyezi Mungu alipo chukua ahadi kwa Manabii: Nikisha kupeni Kitabu na hikima, kisha akakujieni Mtume mwenye kusadikisha mliyo nayo, ni juu yenu mumuamini na mumsaidie. Akasema: Je, mmekiri na mmekubali kushika agizo langu juu ya hayo? Wakasema: Tumekubali. Akasema: Basi shuhudieni, na Mimi ni pamoja nanyi katika kushuhudia.

Watakao geuka baada ya haya basi hao ndio wapotovu.

Je, wanataka dini isiyo kuwa ya Mwenyezi Mungu, na hali kila kilichomo mbinguni na katika ardhi kimesilimu kwa kumt'ii Yeye kikipenda kisipende, na kwake Yeye watarejeshwa?

Sema: Tumemuamini Mwenyezi Mungu, na tuliyo teremshiwa sisi, na aliyo teremshiwa Ibrahim, na Ismail, na Is-haak na Yaakub na wajukuu zao, na aliyo pewa Musa na Yesu na Manabii wengine kutoka kwa Mola wao Mlezi. Hatubagui baina yao hata mmoja, na sisi ni wenye kusilimu kwake.

Na anaye tafuta dini isiyo kuwa Uislamu haitakubaliwa kwake. Naye Akhera atakuwa katika wenye kukhasiri.

Mwenyezi Mungu atawaongoaje watu walio kufuru baada ya kuamini kwao, na wakashuhudia ya kuwa Mtume huyu ni wa haki, na zikawafikia hoja zilizo wazi? Mwenyezi Mungu hawaongoi watu madhaalimu.

Hao malipo yao ni kuwa ipo juu yao laana ya Mwenyezi Mungu na ya Malaika na ya watu

Humo watadumu. Hawatapunguziwa adhabu wala hawatapewa nafasi.

Isipo kuwa wale walio tubu baada ya hayo na wakatengenea; kwani Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe na Mwenye kurehemu.

Hakika wale walio kufuru baada ya kuamini kwao, kisha wakazidi kukufuru, toba yao haitakubaliwa, na hao ndio walio potea.

Hakika wale walio kufuru, na wakafa hali ni makafiri haitakubaliwa kutoka kwa yeyote wao fidia ya dhahabu ya kujaza dunia nzima lau wangeli itoa. Hao watapata adhabu chungu, wala hawatakuwa na wa kuwanusuru.
Kaka Mahmood

Unaweza nionesha popote katika Biblia Takatifu ambapo inamtambua au hata kuandika jina la Mtume Mohamed (SWA)?
 
mkuu asante sana hapo umenielewesha tofauti ya mtume na nabii,nashukuru kwa kuniongezea uelewa aisee
What is the difference between Rasool (mtume) and Nabi ?


After knowing the terminological meanings of Rasul and Nabi, it is also important to understand the difference of these two great positions.

The Quran has used both the words, Nabi and Rasul, which shows that there were two kinds of messengers.Some of the messengers were Nabi only.Some messengers were both Nabi and Rasool.The difference between Rasul and Nabi is that,A Rasul was a messenger of Allah who was given a new Shariat (codes of law) from Him. And a Nabi was also the messenger of Allah, but he was not given any new Shariat and followed the shariat of earlier Rasul. Sheikh Mufid, a great scholar of Islam writes in his book, Awa’il al-Maqalat, “every messenger is a prophet [Nabi], but not every Prophet is a Rasul [Apostle]. All Rasules were Nabi but all Nabis were not Rasuls.A Prophet is always a Nabi by birth, but a prophet become Rasul when he officially receives the post and declares it. For example, our Prophet Muhammad (sws) was Nabi by birth, but became Rasul when he officially got and delivered the message of Risalat at the age of 40.The Rasul [Apostle] receives the message from Allah Taala in many different manners such as, vision during sleep, direct communication with angels when he is awake. i.e., he can see and speak to the angels during communication of Divine message. But the Nabi [prophet] differs from the Rasul in that he does not see the angels when
awake but sees during sleep.The Rasul is higher in rank than a Nabi.Out of 25 Prophets mentioned in the Holy Quran, or among 124000 Nabis, Five were Rasul, and are called Ulu l-azm prophets, meaning those who possess a quality of determination and firmness.
The five Rasuls and Ulul-azm Prophets are:
1 - Hazrat Nooh (as)
2 - Hazrat Ibrahim (as)
3 - Hazrat Musa (as)
4 - Hazrat Jesus (as)
5 - Hazrat Muhammad (sws)Prophet Nooh(as) was given a Shari’ah which was followed by other prophets up to the time of Hazrat Ibrahim(as).Prophet Ibrahim(as) was given a Shari’ah which remained in force up to the time of Hazrat Musa. i.e., Hazrat Yaqub, Hazrat Lut, Hazrat Yousuf (as) etc. followed the Shariat of Ibrahim.Prophet Musa(as) was given a new Shari’ah which was followed by all the prophets of Bani Israel until the time of Hazrat Isa (as).Prophet Isa (as) was given a new Shariat which remained in force upto the time of the Holy Prophet.Prophet Muhammad (sws) was given the last and the most perfect Shariat which will remain in force up to the last working day of the world.The Shariat -e- Muhammadi can never be changed as Prophet Muhammed (sws) is the last prophet and no prophet will come after him. Our Prophet, Hazrat Muhammad (sws) has the highest position and rank among all the Prophets.
 
Naona umeanza kupata motto, Na mie siwezi kubishana juu ya Neno lenye UZIMA. Hujajibu swali unauliza swahi!

Naondoka. Asante kwa muda wako.
Kumbuka unachokisoma hapa ni pumzi Takatifu. Sishangai kuona unaondoka! Huwezi kamwe kusimama kwenye the level ground. Lazima ukubali kuvua viatu vyako kwanza.

Bila hivyo , utakua unaona marue rue , au kuyageuza maandishi haya kua upande wa Uovu.

Amani na iwe juu yako!
 
Mahmood

Hapo ndio tunapotofautiana kaka. Sisi hatuamini katika Yale ninyi mnayoyaamini!

Tunataratibu zetu, Mungu wetu ni wa utatu mtakatifu, Je ninyi mnalikubali hili? Lah!

Kamwe narudia kamwe huwezi kutumia Quran katika kujustfy NENO.lolote katika Biblia. Tunaamini katika kusamehe ninyi katika kulipiza ni haki!

Hakuna uhusiano wa kiimani Kati yetu kwa MTU aliyeshika sawasawa imani yake. Huwezi Mueleza Muislam swafi Kuwa anaamini katika imani ya kikristo! Never! Na hivyo hivyo kwa wakristo!

Ila ni sisi ambao labda tunakaeli dunia tunajaribu kujenga upatanisho ktk dini mbili hizi. Uislam Na Ukristo ni vitu viwili tofauti. ni sawa dunia Na.mbinguni, nyeusi Na nyeusi! kamwe si kitu kimoja!

Tuendelee kuheshimiana kwa "imani" maana kila kitu anachoamini MTU ktk imani yake ni sawa, hatuna haja ya kutofautiana Na kulazimishana Kuwa dini flani ni Bora zaidi ya nyingine.

Shika sana ulichonacho Mkuu, usiruhusu MTU kukutoa ktk imani yako. Lakini kama utajitafutia maarifa Na ukagungua kwa hiari yako Kuwa upo katika wrong tracks using'ang'ania kubaki ulipo. HAMA. Hiii ni kwa wote. sio kwa wakristo au waislam tu!

MUHAMMAD (PBUH) PROPHESISED IN THE BOOK OF DEUTERONOMY:


Almighty God speaks to Moses in Book of Deuteronomy chapter 18 verse 18:

"I will raise them up a Prophet from among their brethren, like unto thee, and I will put my words in his mouth; and he shall speak unto them all that I shall command him."

The Christians say that this prophecy refers to Jesus (pbuh) because Jesus (pbuh) was like Moses (pbuh). Moses (pbuh) was a Jew, as well as Jesus (pbuh) was a Jew. Moses (pbuh) was a Prophet and Jesus (pbuh) was also a Prophet.

If these two are the only criteria for this prophecy to be fulfilled, then all the Prophets of the Bible who came after
Moses (pbuh) such as Solomon, Isaiah, Ezekiel, Daniel, Hosea, Joel, Malachi, John the Baptist, etc. (pbut) will
fulfill this prophecy since all were Jews as well as prophets.

However, it is Prophet Muhammad (pbuh) who is like Moses (pbuh):


i)


Both had a father and a mother, while Jesus (pbuh) was born miraculously without any male intervention.

[Mathew 1:18 and Luke 1:35 and also Al-Qur'an 3:42-47]


ii)
Both were married and had children. Jesus (pbuh) according to the Bible did not marry nor had children.
iii)
Both died natural deaths. Jesus (pbuh) has been raised up alive. (4:157-158)


Muhammad (pbuh) is from among the brethren of Moses (pbuh). Arabs are brethren of Jews. Abraham (pbuh) had two sons: Ishmail and Isaac (pbut). The Arabs are the descendants of Ishmail (pbuh) and the Jews are the descendants of Isaac (pbuh).

Words in the mouth:

Prophet Muhammad (pbuh) was unlettered and whatever revelations he received from Almighty God he repeated them verbatim.

"I will raise them up a Prophet from among their brethren, like unto thee, and will put my words in his mouth; and he shall speak unto them all that I shall command him."

[Deuteronomy 18:18]


iv)
Both besides being Prophets were also kings i.e. they could inflict capital punishment. Jesus (pbuh) said, "My kingdom is not of this world." (John 18:36).
v)
Both were accepted as Prophets by their people in their lifetime but Jesus (pbuh) was rejected by his
people. John chapter 1 verse 11 states, "He came unto his own, but his own received him not."
iv)
Both brought new laws and new regulations for their people. Jesus (pbuh) according to the Bible did not bring any new laws. (Mathew 5:17-18).
2.
It is Mentioned in the book of Deuteronomy chapter 18:19


"And it shall come to pass, that whosoever will not harken unto my words which he shall speak in my name, I will require it of him."


3.
Muhammad (pbuh) is prophesised in the book of Isaiah:


It is mentioned in the book of Isaiah chapter 29 verse 12:

"And the book is delivered to him that is not learned, saying, Read this, I pray thee: and he saith, I am not learned."

When Archangel Gabrail commanded Muhammad (pbuh) by saying Iqra - "Read", he replied, "I am not learned".


4.
prophet Muhammad (pbuh) mentioned by name in the old testament:


Prophet Muhammad (pbuh) is mentioned by name in the Song of Solomon chapter 5 verse 16:

"Hikko Mamittakim we kullo Muhammadim Zehdoodeh wa Zehraee Bayna Jerusalem."

"His mouth is most sweet: yea, he is altogether lovely. This is my beloved, and this is my friend, O daughters
of Jerusalem."

In the Hebrew language im is added for respect. Similarely im is added after the name of Prophet Muhammad
(pbuh) to make it Muhammadim. In English translation they have even translated the name of Prophet Muhammad (pbuh) as "altogether lovely", but in the Old Testament in Hebrew, the name of Prophet Muhammad (pbuh) is yet present.


Prophet Muhammad (pbuh) in the New Testament:

Al-Qur'an Chapter 61 Verse 6:

"And remember, Jesus, the son of Mary, said, 'O Children of Israel! I am the messenger of Allah (sent) to you, confirming the Law (which came) before me and giving glad tidings of a messenger to come after me, whose name shall be Ahmed.' But when he came to them with clear signs, they said, 'This is evident sorcery!' "

All the prophecies mentioned in the Old Testament regarding Muhammad (pbuh) besides applying to the Jews also hold good for the Christians.


1.
John chapter 14 verse 16: "And I will pray the Father, and he shall give you another Comforter, that he may abide with you forever."
2.
Gospel of John chapter 15 verse 26:
"But when the Comforter is come, whom I will send unto you from the Father, even the Spirit of truth, which
proceedeth from the Father, he shall testify of me."
3.
Gospel of John chapter 16 verse 7:


"Nevertheless I tell you the truth; it is expedient for you that I go away: for if I go not away, the Comforter will not
come unto you; but if I depart, I will send him unto you".

"Ahmed" or "Muhammad" meaning "the one who praises" or "the praised one" is almost the translation of the
Greek word Periclytos. In the Gospel of John 14:16, 15:26, and 16:7. The word 'Comforter' is used in the English translation for the Greek word Paracletos which means advocate or a kind friend rather than a comforter.
Paracletos is the warped reading for Periclytos. Jesus (pbuh) actually prophesised Ahmed by name. Even the
Greek word Paraclete refers to the Prophet (pbuh) who is a mercy for all creatures.

Some Christians say that the Comforter mentioned in these prophecies refers to the Holy Sprit. They fail to realise
that the prophecy clearly says that only if Jesus (pbuh) departs will the Comforter come. The Bible states that the
Holy Spirit was already present on earth before and during the time of Jesus (pbuh), in the womb of Elizabeth, and again when Jesus (pbuh) was being baptised, etc. Hence this prophecy refers to none other than Prophet
Muhammad (pbuh).


4.
Gospel of John chapter 16 verse 12-14:
"I have yet many things to say unto you, but ye cannot bear them now. Howbeit when he, the Spirit of truth is
come, he will guide you unto all truth: for he shall not speak of himself; but whatsoever he shall hear, that shall he speak: and he will shew you things to come. He shall glorify me".
The Sprit of Truth, spoken about in this prophecy referes to none other than Prophet Muhammad (pbuh)

NOTE: All quotations of the Bible are taken from the King James Version.
 
Huwezi ukaaujua ukristo halisi kwa kupitia mafundisho kutoka imani nyingine!

Ni propaganda tu, kama uongo mwingine wowote! Ukristo utaujua kiundani kwa kufundishwa Na wakristo Na kama ilivyo uislam huwezi kuujua kwa kufundishwa mafundisho ya kikristo! Ni doctrine mbili tofauti!
Yesu ni Mtume wa Mungu.

Yesu kasema wazi kabisa kwamba yeye ni mtu na katumwa na Mungu.


Katika Injili ya (Yohana 8:40), Yesu kasema, "Lakini sasa mnatafuta kuniua mimi mtu ambaye nimewaambia iliyo kweli, niliyoisikia kwa Mungu..."

Yesu anasema wazi kabisa" mnatafuta kuniua mimi mtu ambaye nimewaambia iliyo kweli, niliyoisikia kwa Mungu."

Hapo Yesu anajitambulisha kwamba yeye ni mtu katumwa na Mungu.

Kuiacha dhana ya Mungu mwenye mwili na Utatu hakumwaibishi Yesu, ispokuwa kunamuweka Mungu katika utukufu, upweke,
ukuu na nafasi ya pekee isiyo na mfano ya kuwa yeye ni Mungu wa pekee anayestahiki kuabudiwa.

Yesu si Mungu, ila ni Mtume na Mjumbe `mkuu wa Mungu!

Yesu anasema;

Katika Yohana 20:17

"Mungu wangu naye ni Mungu wenu".

Yafaa hapa ujiulize sana, Yesu alikusudia nini aliposema: "Mungu wangu naye ni Mungu wenu"?

Jiulize je inawezekana kwa kiumbe kumzidi ukuu Mungu wake?


Pia katika John 5:30

Yesu kasema;

" Mimi siwezi kufanya kitu kwa uwezo wangu mwenyewe. Mimi nina hukumu kama ninavyosikia kutoka kwa Mungu, nayo hukumu yangu ni ya haki. Nia yangu si kufanya nipendavyo mwenyewe, bali apendavyo yule aliyenituma."


Tafakarini ndugu zanguni kwa Adam, before it is too late.

Mwenyezi Mungu anasema katika Quran (3-59-91):

"Hakika mfano wa Yesu kwa Mwenyezi Mungu ni kama mfano wa Adam; alimuumba kwa udongo kisha akamwambia: Kuwa! Basi akawa.


Hii ni kweli itokayo kwa Mola wako Mlezi. Basi usiwe miongoni mwa wanao fanya shaka.

Watakao kuhoji katika haya baada ya kukufikilia ilimu hii waambie: Njooni tuwaite watoto wetu na watoto wenu, na wake zetu na wake zenu, na sisi wenyewe na nyinyi wenyewe, kisha tuombe kwa unyenyekevu tutake laana ya Mwenyezi Mungu iwashukie waongo.

Hakika haya ndiyo maelezo ya kweli. Na hakuna mungu ila Mwenyezi Mungu tu, na hakika Mwenyezi Mungu ndiye Mwenye nguvu na Mwenye hikima.

Na kama wakigeuka basi Mwenyezi Mungu anawajua waharibifu.

Sema: Enyi Watu wa Kitabu! Njooni kwenye neno lilio sawa baina yetu na nyinyi: Ya kwamba tusimuabudu yeyote ila Mwenyezi Mungu, wala tusimshirikishe na chochote; wala tusifanyane sisi kwa sisi kuwa miungu badala ya Mwenyezi Mungu. Na wakigeuka basi semeni: Shuhudieni ya kwamba sisi ni Waislamu.

Enyi Watu wa Kitabu! Mbona mnabishana juu ya Ibrahim, na hali Taurati na Injili hazikuteremshwa ila baada yake? Basi hamzingatii?

Angalieni! Nyinyi mlibishana katika yale mliyo yajua. Mbona sasa mnabishana katika yale msiyo yajua? Na Mwenyezi Mungu ndiye ajuaye, na nyinyi hamjui.

Ibrahim hakuwa Yahudi wala Mkristo, lakini alikuwa mwongofu Muislamu, wala hakuwa katika washirikina.

Watu wanao mkaribia zaidi Ibrahim ni wale walio mfuata yeye na Nabii huyu na walio amini. Na Mwenyezi Mungu ndiye Mlinzi wa Waumini.

Kipo kikundi katika Watu wa Kitabu wanao penda kukupotezeni; lakini hawapotezi ila nafsi zao, nao wenyewe hawatambui.

Enyi Watu wa Kitabu! Mbona mnazikataa Ishara za Mwenyezi Mungu ilhali nyinyi mnashuhudia?

Enyi Watu wa Kitabu! Mbona kweli mnaivisha uwongo, na kweli mnaificha na hali mnajua?

Na kikundi katika Watu wa Kitabu walisema: Yaaminini yale waliyo teremshiwa wenye kuamini mwanzo wa mchana, na yakataeni mwisho wake; huenda wakarejea.

Wala msimuamini ila anaye fuata dini yenu. Sema: Hakika uwongofu ni uwongofu wa Mwenyezi Mungu, kuwa apewe mtu mfano wa mlio pewa nyinyi au wakuhojini mbele ya Mola wenu Mlezi. Sema: Hakika fadhila zimo mikononi mwa Mwenyezi Mungu. Humpa amtakaye. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye wasaa na Mjuzi.

Yeye humchagua kumpa rehema zake amtakaye; na Mwenyezi Mungu ndiye Mwenye fadhila kubwa.

Na miongoni mwa Watu wa Kitabu yupo ambaye ukimpa amana ya mrundi wa mali atakurudishia, na miongoni mwao yupo ambaye ukimpa amana ya dinari moja hakurudishii isipo kuwa ukimsimamia kumdai. Haya ni kwa kuwa wakisema: Hatuna lawama kwa ajili ya hawa wasio jua kusoma. Na wanamzulia uwongo Mwenyezi Mungu, hali nao wanajua.

Sivyo hivyo, bali anaye timiza ahadi yake na akamchamngu basi Mwenyezi Mungu huwapenda wachamngu.

Hakika wanao uza ahadi ya Mwenyezi Mungu na viapo vyao thamani ndogo, hao hawatakuwa na sehemu ya kheri yoyote katika Akhera, wala Mwenyezi Mungu hatasema nao wala hatawatazama Siku ya Kiyama, wala hatawatakasa, nao watapata adhabu chungu.

Na wapo baadhi yao wanao pindua ndimi zao katika kusoma Kitabu ili mdhanie kuwa hayo yanatoka Kitabuni, na wala hayatoki Kitabuni. Na husema: Haya yametoka kwa Mwenyezi Mungu. Na wala hayatoki kwa Mwenyezi Mungu. Na wanamsingizia Mwenyezi Mungu uwongo na wao wanajua.

Haiwezi kuwa mtu aliye pewa na Mwenyezi Mungu Kitabu na hikima na Unabii kisha awaambie watu: Kuweni wa kuniabudu mimi badala ya Mwenyezi Mungu. Bali atawaambia: Kuweni wenye kumuabudu Mola Mlezi wa viumbe vyote, kwa kuwa nyinyi mnafundisha Kitabu na kwa kuwa mnakisoma.

Wala hatakuamrisheni kuwafanya Malaika na Manabii kuwa ni miungu. Je, atakuamrisheni ukafiri baada ya kuwa nyinyi Waislamu?

Na pale Mwenyezi Mungu alipo chukua ahadi kwa Manabii: Nikisha kupeni Kitabu na hikima, kisha akakujieni Mtume mwenye kusadikisha mliyo nayo, ni juu yenu mumuamini na mumsaidie. Akasema: Je, mmekiri na mmekubali kushika agizo langu juu ya hayo? Wakasema: Tumekubali. Akasema: Basi shuhudieni, na Mimi ni pamoja nanyi katika kushuhudia.

Watakao geuka baada ya haya basi hao ndio wapotovu.

Je, wanataka dini isiyo kuwa ya Mwenyezi Mungu, na hali kila kilichomo mbinguni na katika ardhi kimesilimu kwa kumt'ii Yeye kikipenda kisipende, na kwake Yeye watarejeshwa?

Sema: Tumemuamini Mwenyezi Mungu, na tuliyo teremshiwa sisi, na aliyo teremshiwa Ibrahim, na Ismail, na Is-haak na Yaakub na wajukuu zao, na aliyo pewa Musa na Yesu na Manabii wengine kutoka kwa Mola wao Mlezi. Hatubagui baina yao hata mmoja, na sisi ni wenye kusilimu kwake.

Na anaye tafuta dini isiyo kuwa Uislamu haitakubaliwa kwake. Naye Akhera atakuwa katika wenye kukhasiri.

Mwenyezi Mungu atawaongoaje watu walio kufuru baada ya kuamini kwao, na wakashuhudia ya kuwa Mtume huyu ni wa haki, na zikawafikia hoja zilizo wazi? Mwenyezi Mungu hawaongoi watu madhaalimu.

Hao malipo yao ni kuwa ipo juu yao laana ya Mwenyezi Mungu na ya Malaika na ya watu

Humo watadumu. Hawatapunguziwa adhabu wala hawatapewa nafasi.

Isipo kuwa wale walio tubu baada ya hayo na wakatengenea; kwani Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe na Mwenye kurehemu.

Hakika wale walio kufuru baada ya kuamini kwao, kisha wakazidi kukufuru, toba yao haitakubaliwa, na hao ndio walio potea.

Hakika wale walio kufuru, na wakafa hali ni makafiri haitakubaliwa kutoka kwa yeyote wao fidia ya dhahabu ya kujaza dunia nzima lau wangeli itoa. Hao watapata adhabu chungu, wala hawatakuwa na wa kuwanusuru.
"Yesu si Mungu" ni kweli kwa mujibu wa Imani na mafundisho yako. Ndio maana nikakwambia Uislam Na Ukristo ni vitu viwili tofauti kabisa. Inawezekana uislamu upo ndani ya ukristo, lakini kamwe ukristo haupo Na hautakuwepo ndani ya Uislam. Tutalazimisha kwa mafunzo ya dini yetu kuonesha ukristo upo ndani ya Uislam.lakini haitaweza tokea.
 
What is the difference between Rasool (mtume) and Nabi ?


After knowing the terminological meanings of Rasul and Nabi, it is also important to understand the difference of these two great positions.

The Quran has used both the words, Nabi and Rasul, which shows that there were two kinds of messengers.Some of the messengers were Nabi only.Some messengers were both Nabi and Rasool.The difference between Rasul and Nabi is that,A Rasul was a messenger of Allah who was given a new Shariat (codes of law) from Him. And a Nabi was also the messenger of Allah, but he was not given any new Shariat and followed the shariat of earlier Rasul. Sheikh Mufid, a great scholar of Islam writes in his book, Awa’il al-Maqalat, “every messenger is a prophet [Nabi], but not every Prophet is a Rasul [Apostle]. All Rasules were Nabi but all Nabis were not Rasuls.A Prophet is always a Nabi by birth, but a prophet become Rasul when he officially receives the post and declares it. For example, our Prophet Muhammad (sws) was Nabi by birth, but became Rasul when he officially got and delivered the message of Risalat at the age of 40.The Rasul [Apostle] receives the message from Allah Taala in many different manners such as, vision during sleep, direct communication with angels when he is awake. i.e., he can see and speak to the angels during communication of Divine message. But the Nabi [prophet] differs from the Rasul in that he does not see the angels when
awake but sees during sleep.The Rasul is higher in rank than a Nabi.Out of 25 Prophets mentioned in the Holy Quran, or among 124000 Nabis, Five were Rasul, and are called Ulu l-azm prophets, meaning those who possess a quality of determination and firmness.
The five Rasuls and Ulul-azm Prophets are:
1 - Hazrat Nooh (as)
2 - Hazrat Ibrahim (as)
3 - Hazrat Musa (as)
4 - Hazrat Jesus (as)
5 - Hazrat Muhammad (sws)Prophet Nooh(as) was given a Shari’ah which was followed by other prophets up to the time of Hazrat Ibrahim(as).Prophet Ibrahim(as) was given a Shari’ah which remained in force up to the time of Hazrat Musa. i.e., Hazrat Yaqub, Hazrat Lut, Hazrat Yousuf (as) etc. followed the Shariat of Ibrahim.Prophet Musa(as) was given a new Shari’ah which was followed by all the prophets of Bani Israel until the time of Hazrat Isa (as).Prophet Isa (as) was given a new Shariat which remained in force upto the time of the Holy Prophet.Prophet Muhammad (sws) was given the last and the most perfect Shariat which will remain in force up to the last working day of the world.The Shariat -e- Muhammadi can never be changed as Prophet Muhammed (sws) is the last prophet and no prophet will come after him. Our Prophet, Hazrat Muhammad (sws) has the highest position and rank among all the Prophets.
Yes, ni muhimu kuelewa Foundation ya Prophet na Apostle. Tofauti na hapo, imani yako itakuwa haba; ni sawa na MTU anayesoma shuleni kukariri


Dhima ya Mungu, ni kutaka sisi tufike mahali tuelewe wenyewe ili tuwe mashaidi kwa wengine..., sio kukariri kila siku, ; Je kama hao watu wanadanganya?

Mungu hupendezwa na shahidi
 
MUHAMMAD (PBUH) PROPHESISED IN THE BOOK OF DEUTERONOMY:


Almighty God speaks to Moses in Book of Deuteronomy chapter 18 verse 18:

"I will raise them up a Prophet from among their brethren, like unto thee, and I will put my words in his mouth; and he shall speak unto them all that I shall command him."

The Christians say that this prophecy refers to Jesus (pbuh) because Jesus (pbuh) was like Moses (pbuh). Moses (pbuh) was a Jew, as well as Jesus (pbuh) was a Jew. Moses (pbuh) was a Prophet and Jesus (pbuh) was also a Prophet.

If these two are the only criteria for this prophecy to be fulfilled, then all the Prophets of the Bible who came after
Moses (pbuh) such as Solomon, Isaiah, Ezekiel, Daniel, Hosea, Joel, Malachi, John the Baptist, etc. (pbut) will
fulfill this prophecy since all were Jews as well as prophets.

However, it is Prophet Muhammad (pbuh) who is like Moses (pbuh):


i)


Both had a father and a mother, while Jesus (pbuh) was born miraculously without any male intervention.

[Mathew 1:18 and Luke 1:35 and also Al-Qur'an 3:42-47]


ii)
Both were married and had children. Jesus (pbuh) according to the Bible did not marry nor had children.
iii)
Both died natural deaths. Jesus (pbuh) has been raised up alive. (4:157-158)


Muhammad (pbuh) is from among the brethren of Moses (pbuh). Arabs are brethren of Jews. Abraham (pbuh) had two sons: Ishmail and Isaac (pbut). The Arabs are the descendants of Ishmail (pbuh) and the Jews are the descendants of Isaac (pbuh).

Words in the mouth:

Prophet Muhammad (pbuh) was unlettered and whatever revelations he received from Almighty God he repeated them verbatim.

"I will raise them up a Prophet from among their brethren, like unto thee, and will put my words in his mouth; and he shall speak unto them all that I shall command him."

[Deuteronomy 18:18]


iv)
Both besides being Prophets were also kings i.e. they could inflict capital punishment. Jesus (pbuh) said, "My kingdom is not of this world." (John 18:36).
v)
Both were accepted as Prophets by their people in their lifetime but Jesus (pbuh) was rejected by his
people. John chapter 1 verse 11 states, "He came unto his own, but his own received him not."
iv)
Both brought new laws and new regulations for their people. Jesus (pbuh) according to the Bible did not bring any new laws. (Mathew 5:17-18).
2.
It is Mentioned in the book of Deuteronomy chapter 18:19


"And it shall come to pass, that whosoever will not harken unto my words which he shall speak in my name, I will require it of him."


3.
Muhammad (pbuh) is prophesised in the book of Isaiah:


It is mentioned in the book of Isaiah chapter 29 verse 12:

"And the book is delivered to him that is not learned, saying, Read this, I pray thee: and he saith, I am not learned."

When Archangel Gabrail commanded Muhammad (pbuh) by saying Iqra - "Read", he replied, "I am not learned".


4.
prophet Muhammad (pbuh) mentioned by name in the old testament:


Prophet Muhammad (pbuh) is mentioned by name in the Song of Solomon chapter 5 verse 16:

"Hikko Mamittakim we kullo Muhammadim Zehdoodeh wa Zehraee Bayna Jerusalem."

"His mouth is most sweet: yea, he is altogether lovely. This is my beloved, and this is my friend, O daughters
of Jerusalem."

In the Hebrew language im is added for respect. Similarely im is added after the name of Prophet Muhammad
(pbuh) to make it Muhammadim. In English translation they have even translated the name of Prophet Muhammad (pbuh) as "altogether lovely", but in the Old Testament in Hebrew, the name of Prophet Muhammad (pbuh) is yet present.


Prophet Muhammad (pbuh) in the New Testament:

Al-Qur'an Chapter 61 Verse 6:

"And remember, Jesus, the son of Mary, said, 'O Children of Israel! I am the messenger of Allah (sent) to you, confirming the Law (which came) before me and giving glad tidings of a messenger to come after me, whose name shall be Ahmed.' But when he came to them with clear signs, they said, 'This is evident sorcery!' "

All the prophecies mentioned in the Old Testament regarding Muhammad (pbuh) besides applying to the Jews also hold good for the Christians.


1.
John chapter 14 verse 16: "And I will pray the Father, and he shall give you another Comforter, that he may abide with you forever."
2.
Gospel of John chapter 15 verse 26:
"But when the Comforter is come, whom I will send unto you from the Father, even the Spirit of truth, which
proceedeth from the Father, he shall testify of me."
3.
Gospel of John chapter 16 verse 7:


"Nevertheless I tell you the truth; it is expedient for you that I go away: for if I go not away, the Comforter will not
come unto you; but if I depart, I will send him unto you".

"Ahmed" or "Muhammad" meaning "the one who praises" or "the praised one" is almost the translation of the
Greek word Periclytos. In the Gospel of John 14:16, 15:26, and 16:7. The word 'Comforter' is used in the English translation for the Greek word Paracletos which means advocate or a kind friend rather than a comforter.
Paracletos is the warped reading for Periclytos. Jesus (pbuh) actually prophesised Ahmed by name. Even the
Greek word Paraclete refers to the Prophet (pbuh) who is a mercy for all creatures.

Some Christians say that the Comforter mentioned in these prophecies refers to the Holy Sprit. They fail to realise
that the prophecy clearly says that only if Jesus (pbuh) departs will the Comforter come. The Bible states that the
Holy Spirit was already present on earth before and during the time of Jesus (pbuh), in the womb of Elizabeth, and again when Jesus (pbuh) was being baptised, etc. Hence this prophecy refers to none other than Prophet
Muhammad (pbuh).


4.
Gospel of John chapter 16 verse 12-14:
"I have yet many things to say unto you, but ye cannot bear them now. Howbeit when he, the Spirit of truth is
come, he will guide you unto all truth: for he shall not speak of himself; but whatsoever he shall hear, that shall he speak: and he will shew you things to come. He shall glorify me".
The Sprit of Truth, spoken about in this prophecy referes to none other than Prophet Muhammad (pbuh)

NOTE: All quotations of the Bible are taken from the King James Version.
Umeandika vyema. Tatizo uhalisia wake upo vipi? Nimesema kwamba, ukiwa na punje ya Mchele ya kuelewa unachokiona au kusikia kwa hisia, ni rahisi sana Mungu kukukuza katika njia zake , na unaweza kuwa hata zaidi ya Yesu.

Yesu Kristo mwenyewe alisema hivyo; kwamba "Tunaweza kufanya zaidi yake"
 
Kaka Mahmood

Unaweza nionesha popote katika Biblia Takatifu ambapo inamtambua au hata kuandika jina la Mtume Mohamed (SWA)?
Sio lazima awe ameandikwa, but He was the Prophet.

Je unafahamu chimbuko la Biblia? Na Je unafahamu kuna nyaraka nyingi sana zimeachwa katika uandishi wa Biblia?

Unawafahamu Maccabees?
 
Kwenye Biblia Pia Mohammed katajwa zaidi ya mara moja.

Position of Jesus (pbuh) in Islam:

(i)Islam is the only non-Christian faith, which makes it an article of faith to believe in Jesus (pbuh). No Muslim is a Muslim if he does not believe in Jesus (pbuh).

(ii) We believe that he was one of the mightiest Messengers of Allah (swt).

(iii) We believe that he was born miraculously, without any male intervention, which many modern day Christians do not believe.

(iv) We believe he was the Messiah translated Christ (pbuh).

(v) We believe that he gave life to the dead with God’s permission.

(iv) We believe that he healed those born blind, and the lepers with God’s permission.

II) Concept of God in Christianity:

1. Jesus Christ (pbuh) never claimed Divinity

One may ask, if both Muslims and Christians love and respect Jesus (pbuh), where exactly is the parting of ways? The major difference between Islam and Christianity is the Christians’ insistence on the supposed divinity of Christ (pbuh). A study of the Christian scriptures reveals that Jesus (pbuh) never claimed divinity. In fact there is not a single unequivocal statement in the entire Bible where Jesus (pbuh) himself says, "I am God" or where he says, "worship me". In fact the Bible contains statements attributed to Jesus (pbuh) in which he preached quite the contrary. The following statements in the Bible are attributed to Jesus Christ (pbuh):

(i) "My Father is greater than I."
[The Bible, John 14:28]

(ii) "My Father is greater than all."
[The Bible, John 10:29]

(iii) "…I cast out devils by the Spirit of God…."
[The Bible, Mathew 12:28]

(iv) "…I with the finger of God cast out devils…."
[The Bible, Luke 11:20]

(v) "I can of mine own self do nothing: as I hear, I judge: and my judgement is just; because I seek not my own will, but the will of God which hath sent me."
[The Bible, John 5:30]

2. The Mission of Jesus Christ (pbuh) – to Fulfill the Law

Jesus (pbuh) never claimed divinity for himself. He clearly announced the nature of his mission. Jesus (pbuh) was sent by God to confirm the previous Judaic law. This is clearly evident in the following statements attributed to Jesus (pbuh) in the Gospel of Mathew:

"Think not that I am come to destroy the law, or the Prophets: I am not come to destroy, but to fulfil. For verily I say unto you, Till heaven and earth pass, one jot or one tittle shall in no wise pass from the law, till all be fulfilled.

"Whosoever therefore shall break one of these least commandments, and shall teach men so, he shall be called the least in the kingdom of heaven; but whosoever shall do and teach them, the same shall be called great in the kingdom of heaven."

"For I say unto you, That except your righteousness shall exceed the righteousness of the scribes and Pharisees, ye shall in no case enter into the kingdom of heaven."
[The Bible, Mathew 5:17-20]

3. God Sent Jesus' (pbuh)

The Bible mentions the prophetic nature of Jesus (pbuh) mission in the following verses:

(i)"… and the word which ye hear is not mine, but the Father’s which sent me."
[The Bible, John 14:24]

(ii)"And this is life eternal, that they might know thee the only true God, and Jesus Christ, whom thou has sent."
[The Bible, John 17:3]

4. Jesus Refuted even the Remotest Suggestion of his Divinity

Consider the following incident mentioned in the Bible:

"And behold, one came and said unto him, ‘Good Master, what good thing shall I do, that I may have eternal life?’

And he said unto him, ‘Why callest thou me good? There is none good but one, that is, God: but if thou wilt enter into life, keep the commandments.’ "
[The Bible, Mathew 19:16-17]

Jesus (pbuh) did not say that to have the eternal life of paradise, man should believe in him as Almighty God or worship him as God, or believe that Jesus (pbuh) would die for his sins. On the contrary he said that the path to salvation was through keeping the commandments. It is indeed striking to note the difference between the words of Jesus Christ (pbuh) and the Christian dogma of salvation through the sacrifice of Jesus (pbuh).

5. Jesus (pbuh) of Nazareth – a Man Approved of God

The following statement from the Bible supports the Islamic belief that Jesus (pbuh) was a prophet of God.

"Ye men of Israel, hear these words; Jesus of Nazareth, a man approved of God among you by miracles and wonders and signs, which God did by him in the midst of you, as ye yourselves also know."

[The Bible, Acts 2:22]

6. The First Commandment is that God is One

The Bible does not support the Christian belief in trinity at all. One of the scribes once asked Jesus (pbuh) as to which was the first commandment of all, to which Jesus (pbuh) merely repeated what Moses (pbuh) had said earlier:

"Shama Israelu Adonai Ila Hayno Adonai Ikhad."

This is a Hebrew quotation, which means:

"Hear, O Israel; The Lord our God is one Lord."
[The Bible, Mark 12:29]

It is striking that the basic teachings of the Church such as Trinity and vicarious atonement find no mention in the Bible. In fact, various verses of the Bible point to Jesus’ (pbuh) actual mission, which was to fulfill the law revealed to Prophet Moses (pbuh). Indeed Jesus (pbuh) rejected any suggestions that attributed divinity to him, and explained his miracles as the power of the One True God.

Jesus (pbuh) thus reiterated the message of monotheism that was given by all earlier prophets of Almighty God.

NOTE: All quotations of the Bible are taken from the King James Version.

III) Concept of God in Old Testament:

1. God is One

The following verse from the book of Deuteronomy contains an exhortation from Moses (pbuh):

"Shama Israelu Adonai Ila Hayno Adna Ikhad".
It is a Hebrew quotation which means:
"Hear, O Israel: The Lord our God is one Lord"
[The Bible, Deuteronomy 6:4]

2. Unity of God in the Book of Isaiah

The following verses are from the Book of Isaiah:

(i) "I, even I, am the Lord; and beside me there is no saviour."
[The Bible, Isaiah 43:11]

(ii) "I am Lord, and there is none else, there is no God besides me."
[The Bible, Isaiah 45:5]

(iii) "I am God, and there is none else; I am God, and there is none like me."
[The Bible, Isaiah 46:9]

3. Old Testament condemns idol worship

(i) Old Testament condemns idol worship in the following verses:

"Thou shalt have no other gods before me."

"Thou shalt not make unto thee any graven image, or any likeness of anything that is in heaven above, or that is in the earth beneath, or that is in the water under the earth:"

"Thou shalt not bow down thyself to them, nor serve them: for I the Lord thy God am a jealous God."
[The Bible, Exodus 20:3-5]

(ii) A similar message is repeated in the book of Deuteronomy:

"Thou shalt have none other gods before me."

"Thou shalt not make thee any graven image, or any likeness of anything that is in heaven above, or that in the earth beneath, or that is in the water beneath the earth."

"Thou shalt not bow down thyself unto them, nor serve them; for I the Lord thy God am a jealous God."
[The Bible, Deuteronomy 5:7-9]
Not true. You are missing the hidden thing
 
yaani ni sahihi kabisa ndugu.hasa huwa mbaya pale mtu anapoamua kuacha neno la MUNGU halisi na kutumia akili binafsi na kuaminisha kuwa kuwa biblia wameletewa malaika.........
nashukuru sana kwa kuuliza swali zuri ili tujue pumba na ngano.
Kati ya "yai" na "kuku" , kipi kinaanza?
 
Huwezi ukaaujua ukristo halisi kwa kupitia mafundisho kutoka imani nyingine!

Ni propaganda tu, kama uongo mwingine wowote! Ukristo utaujua kiundani kwa kufundishwa Na wakristo Na kama ilivyo uislam huwezi kuujua kwa kufundishwa mafundisho ya kikristo! Ni doctrine mbili tofauti!
"Yesu si Mungu" ni kweli kwa mujibu wa Imani na mafundisho yako. Ndio maana nikakwambia Uislam Na Ukristo ni vitu viwili tofauti kabisa. Inawezekana uislamu upo ndani ya ukristo, lakini kamwe ukristo haupo Na hautakuwepo ndani ya Uislam. Tutalazimisha kwa mafunzo ya dini yetu kuonesha ukristo upo ndani ya Uislam.lakini haitaweza tokea.
Kwani wewe hauamini Biblia?

Yesu kasema wazi kabisa kwamba yeye ni mtu na katumwa na Mungu (Kasema haya ndani ya Biblia).

Katika Injili ya (Yohana 8:40), Yesu kasema, "Lakini sasa mnatafuta kuniua mimi mtu ambaye nimewaambia iliyo kweli, niliyoisikia kwa Mungu..."

Yesu anasema wazi kabisa" mnatafuta kuniua mimi mtu ambaye nimewaambia iliyo kweli, niliyoisikia kwa Mungu."

Hapo Yesu anajitambulisha kwamba yeye ni mtu katumwa na Mungu.

Kuiacha dhana ya Mungu mwenye mwili na Utatu hakumwaibishi Yesu, ispokuwa kunamuweka Mungu katika utukufu, upweke,
ukuu na nafasi ya pekee isiyo na mfano ya kuwa yeye ni Mungu wa pekee anayestahiki kuabudiwa.

Yesu si Mungu, ila ni Mtume na Mjumbe `mkuu wa Mungu!

Yesu anasema;

Katika Yohana 20:17

"Mungu wangu naye ni Mungu wenu".

Yafaa hapa ujiulize sana, Yesu alikusudia nini aliposema: "Mungu wangu naye ni Mungu wenu"?

Jiulize je inawezekana kwa kiumbe kumzidi ukuu Mungu wake?


Pia katika John 5:30

Yesu kasema;

" Mimi siwezi kufanya kitu kwa uwezo wangu mwenyewe. Mimi nina hukumu kama ninavyosikia kutoka kwa Mungu, nayo hukumu yangu ni ya haki. Nia yangu si kufanya nipendavyo mwenyewe, bali apendavyo yule aliyenituma."


Tafakarini ndugu zanguni kwa Adam, before it is too late.

Mwenyezi Mungu anasema katika Quran (3-59-91):

"Hakika mfano wa Yesu kwa Mwenyezi Mungu ni kama mfano wa Adam; alimuumba kwa udongo kisha akamwambia: Kuwa! Basi akawa.


Hii ni kweli itokayo kwa Mola wako Mlezi. Basi usiwe miongoni mwa wanao fanya shaka.

Watakao kuhoji katika haya baada ya kukufikilia ilimu hii waambie: Njooni tuwaite watoto wetu na watoto wenu, na wake zetu na wake zenu, na sisi wenyewe na nyinyi wenyewe, kisha tuombe kwa unyenyekevu tutake laana ya Mwenyezi Mungu iwashukie waongo.

Hakika haya ndiyo maelezo ya kweli. Na hakuna mungu ila Mwenyezi Mungu tu, na hakika Mwenyezi Mungu ndiye Mwenye nguvu na Mwenye hikima.

Na kama wakigeuka basi Mwenyezi Mungu anawajua waharibifu.

Sema: Enyi Watu wa Kitabu! Njooni kwenye neno lilio sawa baina yetu na nyinyi: Ya kwamba tusimuabudu yeyote ila Mwenyezi Mungu, wala tusimshirikishe na chochote; wala tusifanyane sisi kwa sisi kuwa miungu badala ya Mwenyezi Mungu. Na wakigeuka basi semeni: Shuhudieni ya kwamba sisi ni Waislamu.

Enyi Watu wa Kitabu! Mbona mnabishana juu ya Ibrahim, na hali Taurati na Injili hazikuteremshwa ila baada yake? Basi hamzingatii?

Angalieni! Nyinyi mlibishana katika yale mliyo yajua. Mbona sasa mnabishana katika yale msiyo yajua? Na Mwenyezi Mungu ndiye ajuaye, na nyinyi hamjui.

Ibrahim hakuwa Yahudi wala Mkristo, lakini alikuwa mwongofu Muislamu, wala hakuwa katika washirikina.

Watu wanao mkaribia zaidi Ibrahim ni wale walio mfuata yeye na Nabii huyu na walio amini. Na Mwenyezi Mungu ndiye Mlinzi wa Waumini.

Kipo kikundi katika Watu wa Kitabu wanao penda kukupotezeni; lakini hawapotezi ila nafsi zao, nao wenyewe hawatambui.

Enyi Watu wa Kitabu! Mbona mnazikataa Ishara za Mwenyezi Mungu ilhali nyinyi mnashuhudia?

Enyi Watu wa Kitabu! Mbona kweli mnaivisha uwongo, na kweli mnaificha na hali mnajua?

Na kikundi katika Watu wa Kitabu walisema: Yaaminini yale waliyo teremshiwa wenye kuamini mwanzo wa mchana, na yakataeni mwisho wake; huenda wakarejea.

Wala msimuamini ila anaye fuata dini yenu. Sema: Hakika uwongofu ni uwongofu wa Mwenyezi Mungu, kuwa apewe mtu mfano wa mlio pewa nyinyi au wakuhojini mbele ya Mola wenu Mlezi. Sema: Hakika fadhila zimo mikononi mwa Mwenyezi Mungu. Humpa amtakaye. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye wasaa na Mjuzi.

Yeye humchagua kumpa rehema zake amtakaye; na Mwenyezi Mungu ndiye Mwenye fadhila kubwa.

Na miongoni mwa Watu wa Kitabu yupo ambaye ukimpa amana ya mrundi wa mali atakurudishia, na miongoni mwao yupo ambaye ukimpa amana ya dinari moja hakurudishii isipo kuwa ukimsimamia kumdai. Haya ni kwa kuwa wakisema: Hatuna lawama kwa ajili ya hawa wasio jua kusoma. Na wanamzulia uwongo Mwenyezi Mungu, hali nao wanajua.

Sivyo hivyo, bali anaye timiza ahadi yake na akamchamngu basi Mwenyezi Mungu huwapenda wachamngu.

Hakika wanao uza ahadi ya Mwenyezi Mungu na viapo vyao thamani ndogo, hao hawatakuwa na sehemu ya kheri yoyote katika Akhera, wala Mwenyezi Mungu hatasema nao wala hatawatazama Siku ya Kiyama, wala hatawatakasa, nao watapata adhabu chungu.

Na wapo baadhi yao wanao pindua ndimi zao katika kusoma Kitabu ili mdhanie kuwa hayo yanatoka Kitabuni, na wala hayatoki Kitabuni. Na husema: Haya yametoka kwa Mwenyezi Mungu. Na wala hayatoki kwa Mwenyezi Mungu. Na wanamsingizia Mwenyezi Mungu uwongo na wao wanajua.

Haiwezi kuwa mtu aliye pewa na Mwenyezi Mungu Kitabu na hikima na Unabii kisha awaambie watu: Kuweni wa kuniabudu mimi badala ya Mwenyezi Mungu. Bali atawaambia: Kuweni wenye kumuabudu Mola Mlezi wa viumbe vyote, kwa kuwa nyinyi mnafundisha Kitabu na kwa kuwa mnakisoma.

Wala hatakuamrisheni kuwafanya Malaika na Manabii kuwa ni miungu. Je, atakuamrisheni ukafiri baada ya kuwa nyinyi Waislamu?

Na pale Mwenyezi Mungu alipo chukua ahadi kwa Manabii: Nikisha kupeni Kitabu na hikima, kisha akakujieni Mtume mwenye kusadikisha mliyo nayo, ni juu yenu mumuamini na mumsaidie. Akasema: Je, mmekiri na mmekubali kushika agizo langu juu ya hayo? Wakasema: Tumekubali. Akasema: Basi shuhudieni, na Mimi ni pamoja nanyi katika kushuhudia.

Watakao geuka baada ya haya basi hao ndio wapotovu.

Je, wanataka dini isiyo kuwa ya Mwenyezi Mungu, na hali kila kilichomo mbinguni na katika ardhi kimesilimu kwa kumt'ii Yeye kikipenda kisipende, na kwake Yeye watarejeshwa?

Sema: Tumemuamini Mwenyezi Mungu, na tuliyo teremshiwa sisi, na aliyo teremshiwa Ibrahim, na Ismail, na Is-haak na Yaakub na wajukuu zao, na aliyo pewa Musa na Yesu na Manabii wengine kutoka kwa Mola wao Mlezi. Hatubagui baina yao hata mmoja, na sisi ni wenye kusilimu kwake.

Na anaye tafuta dini isiyo kuwa Uislamu haitakubaliwa kwake. Naye Akhera atakuwa katika wenye kukhasiri.

Mwenyezi Mungu atawaongoaje watu walio kufuru baada ya kuamini kwao, na wakashuhudia ya kuwa Mtume huyu ni wa haki, na zikawafikia hoja zilizo wazi? Mwenyezi Mungu hawaongoi watu madhaalimu.

Hao malipo yao ni kuwa ipo juu yao laana ya Mwenyezi Mungu na ya Malaika na ya watu

Humo watadumu. Hawatapunguziwa adhabu wala hawatapewa nafasi.

Isipo kuwa wale walio tubu baada ya hayo na wakatengenea; kwani Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe na Mwenye kurehemu.

Hakika wale walio kufuru baada ya kuamini kwao, kisha wakazidi kukufuru, toba yao haitakubaliwa, na hao ndio walio potea.

Hakika wale walio kufuru, na wakafa hali ni makafiri haitakubaliwa kutoka kwa yeyote wao fidia ya dhahabu ya kujaza dunia nzima lau wangeli itoa. Hao watapata adhabu chungu, wala hawatakuwa na wa kuwanusuru.
 
Mungu ni Mmoja tu.

Biblia inasema Yohana17:3...wakufahamu wewe ambaye pekee ni Mungu wa kweli,nakumfahamu Yesu Kristo ambaye umemtuma.

1 Timotheo 6:16 inasema, Yeye peke yake anaishi milele katika mwanga usioweza kukaribiwa na mtu. Hakuna mtu aliyepata kumwona au awezaye kumwona. Kwake iwe heshima na uwezo wa milele! Amina.

Quran Inasema, Macho hayamfikilii bali Yeye anayafikilia macho. Naye ni Mjuzi, Mwenye khabari. (Quran 6:103)

Quran Inasema, Mwenyezi Mungu, hakuna mungu ila Yeye Aliye Hai, Msimamizi wa yote milele. (Quran 3:2)

Quran Inasema, Yeye ndiye anaye kuundeni ndani ya matumbo ya wazazi kwa namna apendayo. Hapana mungu ila Yeye, Mwenye nguvu na Mwenye hikima. (Quran 3:6)

Quran Inasema, Mwenyezi Mungu, na Malaika, na wenye ilimu, wameshuhudia kuwa hakika hapana mungu ila Yeye, ndiye Mwenye kusimamisha uadilifu; hapana mungu ila Yeye Mwenye nguvu na Mwenye hikima. (Quran 3:18)
Unafikiri sababu kubwa ya Yesu kuuliwa nini? Na Je mafahali wawili wanaweza kuishi zizi moja?
 
Back
Top Bottom