Natamani sana huyu jamaa achukue hili kombe na Copa Del lay kabla ya kutimkia anapopafahamu. Nilifurahi sana nilipoona Sagio Ramos amejifunga ata goli la Bernabeu alifungisha yeye, simpendi yfye na Casillas ni wabaguzi sana wamesababisha makundi ya utaifa kwenye timu na hawampendi Mourinho kwa chuki zao binafsi. Wameshasahau kuwa kabla ya Mourinho walishapotea kwenye ramani ya soka mwisho wao kwenye UCL Ni 1ö bora tu.
hata mourinho mwenyewe amekiri kuwa walikuwa na bahati na wala sio kwamba walistahili kushinda...refaree spoiled everything thats all. LIVE LONG MAN UTD.
mkuu mbona huna fair play?
wao wakibebwa na Web huwa wanaona sawa sasa hapohapo kwenu mmeingiziwa lidudu kama Simba ...hiii ndiyo R.Madrid.
Watoto wa web mnakelele.....what gos arnd comes arnd...mlidhan mnacheza na QPR..
![]()
Mkuki kwa nguruwe.....
![]()
Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
CC: Belo, mtotowamjini, BelindaJacob, KASHOROBANA, Idimi, et al....
nenda kalale wewe ule ulikuwa mpira wa miguu au football sio kick boxing
Kwanini Manu wakifungwa hawakubali kuwa wamefungwa hivi nyinyi ndio munaojuwa mpira hakuna timu nyengine?
Babu kaona giza leo hawezi hata kuzungumza na media, mutamuua yule babu kwa pressure
Kama madrid ingepoteza ronaldo ningembebebesha lawama zote.
Umejuaje kama hapa nilipo ni usiku?!
Kufungwa kihalali hakuna atakayelalamika. Lakini kwa uonevu kama ule wa jana, hakika lazima UEFA wampe ban yule refa. Hivi mbona hakumpa kadi Lopez kwa kumpiga ngumi Vidic wakati akiokoa mpira?! Hiyo haukuona eh?! Yule refa wa Uturuki ana rekodi ya kutoa kadi nyekundu za utata kwa wachezaji wa England.
Kadi ya Nani ilibadili kabisa mwelekeo wa game; jamaa wakatumia nafasi hiyo kusawazisha na kufunga la pili.
Hata msaidizi wa refa alivyoulizwa na Mike Phelan kuhusu kadi ile, alisema anashangaa juu ya kilichotokea! 99% of football pundits (except Roy Keane) disagreed with the decision. Even some of the retired referees were shocked about the decision.
Pengine wewe ni mchawi, ndiyo maana unaona ile kadi ni sawa. Angalia replays ukiwa umetoa kondokondo la unazi, na uvae nguo ya upenzi wa soka, naamini utaona yale maamuzi yalikuwa siyo sahihi.
Lakini ndiyo hivyo, chama linasonga mbele, tunajipanga kwa ajili ya double Sijui wewe mwenzangu mnajipanga kwa lipi?!
Oh, nimekumbuka, nyiye mnajipanga kwa quadruple!! Khe khe khe khe! Quadruple my foot!! You just a wee club competing for the 4th spot. You can't be in Man United's level; you are just too wee!! Khe khe khe khe!
SAF aliwastahi waandishi wa habari; alipenda kutunza heshima yake katika ulimwengu wa soka. Alijua akifika kwenye post-match press conference atatoa maneno ambayo yatamvunjia heshima. Hivyo akamwagiza Phelan akazungumze na waandishi.
ile ni footbal sio karate wewe! Povu lanini? Haya refa wenu anachezesha j2 na chelsea machungu yatapungua! Hamuiwez madrid nyie wameshndwa barca mtakuwa nyie wacheza karate?
Nzi
sijui uliangalia mpira au ulisikiliza kwenye radio?
nilisema mwanzo katika post zangu Nani angeliweza kupata yellow card lakini kujifanya mjanja ndiko kulikomponza eti ameumia ndipo ref alitulia kwanza hakutoa uamuzi wa haraka na ndio unavotakiwa alimuangalia na aliangalia treatment yake ndipo alitowa card na ref sifikiri kama atafungiwa utakuja niambia hapa, neno fairplay lina play big part sio kutoa mpira nje wakati mchezaji ameumia au shake hands baada ya gemu, ukifanya foul mbaya na unajuwa kuwa foul halafu wewe ndio una act ndio mbaya
mimi ninampa hongera Ref hata kama Man wangelishinda basi Nani alistahili red card ya ku act
Nzi
sijui uliangalia mpira au ulisikiliza kwenye radio?
nilisema mwanzo katika post zangu Nani angeliweza kupata yellow card lakini kujifanya mjanja ndiko kulikomponza eti ameumia ndipo ref alitulia kwanza hakutoa uamuzi wa haraka na ndio unavotakiwa alimuangalia na aliangalia treatment yake ndipo alitowa card na ref sifikiri kama atafungiwa utakuja niambia hapa, neno fairplay lina play big part sio kutoa mpira nje wakati mchezaji ameumia au shake hands baada ya gemu, ukifanya foul mbaya na unajuwa kuwa foul halafu wewe ndio una act ndio mbaya
mimi ninampa hongera Ref hata kama Man wangelishinda basi Nani alistahili red card ya ku act
Vipi mpira umeisha? Tipeni matokeo jamani mbona wachoyo hivyo .. .... .... ..