Huyu jamaa akijenga ukuta hakuna anayeweza kukatiza i see!
Hahahahahahaa, mwosha huoshwa!
Mentor comments zako kuhusu game ya leo ni picha tu???? toa ya moyoni kabla hatujawasambaratisha J2 kwa FA..tutawamalizia hasira!!!
Mtatulia kwa muda tu. Tunandelea na game kwenye ligi
Usku wa fitina katika kandanda.na hatimae mapenz ya refa yameamua katika soka.mikono nayo inacheza mpira na ukosefu umakini ukaamua matokeo. heri ya wajuao ukweli kwa kuwa wataushinda uhalisia.
Kweli malipo yako hapa hapa duniani..... Nakumbuka Jonjoy Shelvey wetu alivyopewa red card badala ya John Evans siku Manure walivyoshinda kiutatanishi dhidi ya Liverpool. Iliuma sana yaani!!Hahahahahahaa, mwosha huoshwa!
![]()
Mkuki kwa nguruwe.....
![]()
Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
CC: Belo, mtotowamjini, BelindaJacob, KASHOROBANA, Idimi, et al....
Heheheheeee umeandika kwa hisia kweli mkuu!!!Usku wa fitina katika kandanda.na hatimae mapenz ya refa yameamua katika soka.mikono nayo inacheza mpira na ukosefu umakini ukaamua matokeo. heri ya wajuao ukweli kwa kuwa wataushinda uhalisia.
Ni ya kujitakiaIangalie tena, mi nadhani ni sahihi.
Nani (RED CARD) Foul on Arbeloa Manchester United Vs. Real Madrid 05-03-2013 - YouTube
his name is Josee Libolo(ro) Mourinho mautinho....Mourinho he made my day bad
Thats what football is all about, sometimes it takes a mistake from the keeper or a defender or a referee to decide a match...all in all good luck to them and because am a huge fan of ronaldo i want real madrid to win the champion league. will be supporting them all the way japokua wametufunga:rockon:
Madrid hana mpinzani, iko juuMadrid atakutana na nani?
Mkuu ile kadi ni halali kabisa. Wanaolalamika ni kutokana na uchungu tu. Wamshukuru CR kwa kuwabeba.