Na bahati yenu leo ingekua 1-4, semq Ronaldo alikua na agenda flan
Wameshazoea kubebwa
Na bahati yenu leo ingekua 1-4, semq Ronaldo alikua na agenda flan
Uzuri wa mpira kinachomata ni magoli tu.hatuongei sana...anayefahamu mpira na kuangalia leo anajua cha kusema....Viva Man U..
Ushauri mzuri ILA Hebu tupe asilimia ya share zako MU, ndugu mjumbe?Timu dhaifu, Giggs awezi pambana na vijana wa RM, Rooney nje, Nani badala ya Young Ashley n.k. Ni mawazo yangu
Hebu tuondolee upuuzi wako hapa
hatuongei sana...anayefahamu mpira na kuangalia leo anajua cha kusema....Viva Man U..