Leak
Platinum Member
- Feb 22, 2012
- 52,939
- 43,568
Yaaah mpambano ni mzuri na wa haki bila shaka mwanaume umesha muona hapo!
Salama kabisa...hope umefurahia mpambano mkuu
Salama kabisa...hope umefurahia mpambano mkuu
Mashetani kweli hawashikiki
Asante, it happensPoleni Wapinzani ndio Football tehteh! sio siku zote Refa atakuwa upande wenu. ila kaiuwa game.
Yaaah mpambano ni mzuri na wa haki bila shaka mwanaume umesha muona hapo!
@BelindaJacob & Co pole sana wakuu. Kuvunjka kwa koleo si mwisho wa uhunzi mtajaribu tena 2014.
Thanks BAK, pamoja!! Nashindwa kutwanga like maana natumia simu..J