THE FIRST BORN
JF-Expert Member
- Apr 24, 2019
- 1,727
- 3,286
Nimeamua kuandika kichwa kirefu ili mtu akisoma tu aelewe kabisa.
Match ya Bayern Vs Aseno UEFA ni match ambayo haina mvuto na hakuna Ntu anawaza maajabu pale anajua Aseno anakufa kwa Aggregate ya 10 tena.
Hii haina tofauti na Match ya Simba Vs Ahly ambayo kila mtu anajua hakuna maajabu lazima Mnyama aliwe na hio ni AMRI.
Ila Match ya Yanga Vs Mamelodi ni Match ambayo inakutanisha Team ambazo zina bori la moto kwa sasa Afrika hilo halina ubishi ukiamua kubisha labda utakua na matatizo ya udumavu wa akili tu...Hii Match ndio match ya hatua hii kila pembe ya Afrika itatazamwa.
Hakuna sehemu Afrika hii Yanga haijulikan Urabuni ishatoa sana Adhabu inajulikana.
Kusini mwa Afrika Yanga wametembeza kipigo.
Afrika ya kati the same.
Afrika Mashariki ndio inajulikana hadi Nachingwea huko ndani ndani.
Mamelodi mziki wake unajulikana huyu kwa miaka ya karibuni ametawala karibia pembe zote ila hajafanya hivo Afrika mashariki ndio anakuja so match lazima ivute attention kama hii ya UEFA ya Man city Vs Madrid ambayo hii itakutanisha Team ambazo kwa soka la Ulaya kwa sasa ndio wababe ukibisha we utakua una matatizo yako ya ugumu wa Maisha.
#SHABIKI LIALIA WA KOLO WAS HERE
Match ya Bayern Vs Aseno UEFA ni match ambayo haina mvuto na hakuna Ntu anawaza maajabu pale anajua Aseno anakufa kwa Aggregate ya 10 tena.
Hii haina tofauti na Match ya Simba Vs Ahly ambayo kila mtu anajua hakuna maajabu lazima Mnyama aliwe na hio ni AMRI.
Ila Match ya Yanga Vs Mamelodi ni Match ambayo inakutanisha Team ambazo zina bori la moto kwa sasa Afrika hilo halina ubishi ukiamua kubisha labda utakua na matatizo ya udumavu wa akili tu...Hii Match ndio match ya hatua hii kila pembe ya Afrika itatazamwa.
Hakuna sehemu Afrika hii Yanga haijulikan Urabuni ishatoa sana Adhabu inajulikana.
Kusini mwa Afrika Yanga wametembeza kipigo.
Afrika ya kati the same.
Afrika Mashariki ndio inajulikana hadi Nachingwea huko ndani ndani.
Mamelodi mziki wake unajulikana huyu kwa miaka ya karibuni ametawala karibia pembe zote ila hajafanya hivo Afrika mashariki ndio anakuja so match lazima ivute attention kama hii ya UEFA ya Man city Vs Madrid ambayo hii itakutanisha Team ambazo kwa soka la Ulaya kwa sasa ndio wababe ukibisha we utakua una matatizo yako ya ugumu wa Maisha.
#SHABIKI LIALIA WA KOLO WAS HERE