Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,821
- Thread starter
- #81
Mkuu Balantanda, haya ni makosa ya kibinadamu au umedhamiria kutu-mislead sisi vijana wako?
Mancini nenda, usiogope kamsalimie De Mateo wa Chelsea, Sentifield wa Yanga, Cirkovic wa Simba, Poulsen Sr wa Taifa Stars na watakatifu wote ambao Bwana amependezwa nao tangu kale.
aiseeeeeee babaangu alafu maswla ya ku2danganya upo wanjani kumbe haupo upo kwenye tv
Typo.......
My bad.....
Edited...