Mambo ya dedication, vidume wa zamani njooni

Mambo ya dedication, vidume wa zamani njooni

Khatari sana mambo ya kitambo mbaya zaidi kama ni disco ziro distance halafu tubelight kibao inabidi uwe kauzu tu kubambia maana kona zote jamaa wamewahi mnajifyatua tu akili hapo ukishindwa kuimbisha kama hakuwa mtu wako basi hesabu maumivu.Ndio nyimbo hizo zimekamata chat na ukiwa na uwezo wa kuziimba hapo mtoto hachomoi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] daahh!

acha tu!!
 
Mshana j..kumbe wa juzi tu...mi nlijua O timer...vitu kama cassanova...sexual healing..kumbe ni dot com kabisa...kci& jojo...[emoji3] [emoji3]
[emoji3] [emoji3] [emoji3] juzi mbali sana wa jana[emoji12]
 
Daah..
Ilkua noma sana enzi izo.
Watt wa skuiz hawayajui haya ,vtu flan crazy ila amaizing,vinaleta good memory foreveeeer
Yaah! the good old days tumetoka mbali wakati sijui umeenda wapi! Walikuwepo wakali wa ku dance lazima mfanye mazoezi ili siku hiyo usiaibike.
 
Sitaki hata kuwaza nlipokeaga kichapo sana enzi za barua, sijawahi kusahau....
 
[emoji23] [emoji23] mkuu hii kitu imenifanya nicheke sana! kuna jamaa alikua msumbufu sana ukikutana nae eti njoo nikusikilizishe nyimbo afu kuimba hajui yaani full furugu na kushika zip
Tabu kweli kweli vijana wetu hawa ila hamna namna itabidi twende nao hivyo hivyo tatizo uyanki (umarekani )umekuwa mwingi tayari mtu anajiona kama thumni (50 cent )mwingine kama kanye west basi ni mchanyato wa ajabu.
 
Tevin Campbell -can we talk
Keith sweat -nobody
Mya -fallen
Bertie Higgins -casablanca
Mary j Blige -without you
 
Back
Top Bottom