Mambo ya dedication, vidume wa zamani njooni

Mambo ya dedication, vidume wa zamani njooni

Miaka hiyo nilkua kadogo shule.Unakuta li bro la f4 au advance linaongea na demu wake alafu anamwambia msalimie mdogo wangu hapo ndo unapewa simu sasa hahahaha
Simu za mobile kulikua hamna ni mwendo wa barua tu. Akipata siku hiyo mtu ambaye hapatagi barua utasiki paredi watu wanalipuka ng'ombe kafa,Mara jogoo amechinjwa .aisee nimekumbuka back in time
 
Tulikuwa na tabia ya kukremu nyimbo kwenye gazeti la lete raha kila jumamos nilikuwa linatoa tafsiri ya nyimbo zinazotamba.hivi lile gazeti bado lipo?
 
I can't sleep baby -R. kelly
I wanna love u forever -JODECI(kama sijakosea)
Money can't buy love -Blackstreet
 
If u could see u (Through my eye) by Kenny latmore mpk Leo ni ring tone kwenye simu.
 
Latifah By MB dog.. niliwahi kuidedicate kwa mke wa mtu. Kilichotokea sitasahau
Dah umenikumbusha mbali Sana. Mpenzi wangu ambaye niko naye mpaka sasa alinitumia huu wimbo Kama dedication siku ya kwanza kabisa.
 
'Siku kama hizi' by T.I.D namiss sana those days
 
Mmmh kitambo xana, if u were mine - Marcos Hernandez, nili u burn kwenye cd huo wimbo peke yake,baada ya kumtokea mtoto mzuri akaxema ngoja akafikilie nikampa na hiyo cd ya huo wimbo,nilikua naogopa kinoma mda wote moyo unaenda pu puu form 1 hiyo 2005
 
Back
Top Bottom