Mambo ya dedication, vidume wa zamani njooni

Mambo ya dedication, vidume wa zamani njooni

why you gonna act like that,hasau ukitoswa chini
Missing you,unamkumbuka bby
Zhali la mentali,unapowatokea watoto mambo safi hasa skuli
Barua,hasa demu akiuza mechi
 
Hahahahahaha yule wa Kifungilo Girls nilimtumia wimbo wa JUDY BOUTCHER CANT BE WITH YOU TONIGH. Nikamjibu Kwa wimbo wa Mr. Dream Maker. Mke wangu yeye wakati tunasoma nilimtumia wimbo wa My Best Firend, alinipenda hadi tukaja kuoana miaka mingi baadae
 
"You're My Best Friend"

You placed gold on my finger
You brought love like I've never known
You gave life to our children
And to me a reason to go on.

You're my bread when I'm hungry
You're my shelter from troubled winds
You're my anchor in life's ocean
But most of all you're my best friend.

When I need hope and inspiration
You're always strong when I'm tired and weak
I could search This whole world over
You'll still be everything that I need.

You're my bread when I'm hungry
You're my shelter from troubled winds
You're my anchor in life's ocean
But most of all you're my best friend.
 
Hivi na wewe ni wa karne yetu Honey Faith, ulikulia kizazi cha kuandikiana barua? Hahaha, eti kiss before you open, umenikumbusha form two enzi hizo..
Hahahahaha na mie ni wa enzi hizo yani full raha kupokea barua kwanza unaangalia stemp ni ya muhuri wa mkoa gani[emoji1] .Ukiona ni Kule kwenye koloni lako furaha inaongezeka[emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
nimekumbuka nikabaki nikicheka mwenyewe, mimi sijui ni ushamba au nini cjui hata. Ila kuna jamaa alinifatilia muda mrefu nikagoma ila akakopy wimbo moja kwenye simu yake akanitumia through whatsup mbona nililainika? nilifikiri amekaa chini akaandika maneno yote haya jaman mbona ameteseka sana? nikamwonea huruma sanaaaa. Yaan alijikuta ameng'oa mzigo bila kutumia winchi. ila baadaye si unajua tena hizi group mambo ya kufowadiana msg? eti siku moja nikasikiliza clip nikasikia maneno yote niliyo ambiwa na mpenzi wangu. looooh nikajua niliingizwa chaka.



nimekumbuka nikabaki nikicheka mwenyewe, mimi sijui ni ushamba au nini cjui hata. Ila kuna jamaa alinifatilia muda mrefu nikagoma ila akakopy wimbo moja kwenye simu yake akanitumia through whatsup mbona nililainika? nilifikiri amekaa chini akaandika maneno yote haya jaman mbona ameteseka sana? nikamwonea huruma sanaaaa. Yaan alijikuta ameng'oa mzigo bila kutumia winchi. ila baadaye si unajua tena hizi group mambo ya kufowadiana msg? eti siku moja nikasikiliza clip nikasikia maneno yote niliyo ambiwa na mpenzi wangu. looooh nikajua niliingizwa chaka.

ndipo nilipogundua ndege mjanja hunaswa kwenye tundu bovu.

Big up kwako wewe Mkuu uliyefanikiwa kwa stail hii maana nina uhakika umo humu.

NB: Ilikuwa zaman kabla sijawa na STUNTER
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] daaahh!
 
Atlantic Starr -always
Ray Charles -I got a woman
James brown -I got you I feel good
Mwinamila -kamnyangalakane
Tongolanga-kila munu avena kwao.
 
Ni kweli kabisa hawa madogo wa siku hizi wasanii wao ni hawa wakina wiz khalifa wavuta bangi .......na mahaba yao siku hizi bila kuvutishana bangi wanakuwa bado kabisa ......tena kwa bahati mbaya wakivuta bangi wanakuwa hawatambuani jinsia zao vizuri matokeo yake wanagegedana jinsia moja halafu wanakuja kujua asubuhi bange zikiwa zimekata....
Bruh [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom