Mambo ya dedication, vidume wa zamani njooni

Mambo ya dedication, vidume wa zamani njooni

'Age ain't nothing but a number' by the late Aaliyah,kwa wale tulioanza utundu tungali wadogo ilikuwa inatuhusu sana.
 
nimekumbuka nikabaki nikicheka mwenyewe, mimi sijui ni ushamba au nini cjui hata. Ila kuna jamaa alinifatilia muda mrefu nikagoma ila akakopy wimbo moja kwenye simu yake akanitumia through whatsup mbona nililainika? nilifikiri amekaa chini akaandika maneno yote haya jaman mbona ameteseka sana? nikamwonea huruma sanaaaa. Yaan alijikuta ameng'oa mzigo bila kutumia winchi. ila baadaye si unajua tena hizi group mambo ya kufowadiana msg? eti siku moja nikasikiliza clip nikasikia maneno yote niliyo ambiwa na mpenzi wangu. looooh nikajua niliingizwa chaka.
duh huu wimbo nilimtongozea dem mmoja anaitwa Karunde mkuu, nilicopy mashairi kwenye barua,
nakumbuka alinikubali ghafla


nimekumbuka nikabaki nikicheka mwenyewe, mimi sijui ni ushamba au nini cjui hata. Ila kuna jamaa alinifatilia muda mrefu nikagoma ila akakopy wimbo moja kwenye simu yake akanitumia through whatsup mbona nililainika? nilifikiri amekaa chini akaandika maneno yote haya jaman mbona ameteseka sana? nikamwonea huruma sanaaaa. Yaan alijikuta ameng'oa mzigo bila kutumia winchi. ila baadaye si unajua tena hizi group mambo ya kufowadiana msg? eti siku moja nikasikiliza clip nikasikia maneno yote niliyo ambiwa na mpenzi wangu. looooh nikajua niliingizwa chaka.

ndipo nilipogundua ndege mjanja hunaswa kwenye tundu bovu.

Big up kwako wewe Mkuu uliyefanikiwa kwa stail hii maana nina uhakika umo humu.

NB: Ilikuwa zaman kabla sijawa na STUNTER
 
nimekumbuka nikabaki nikicheka mwenyewe, mimi sijui ni ushamba au nini cjui hata. Ila kuna jamaa alinifatilia muda mrefu nikagoma ila akakopy wimbo moja kwenye simu yake akanitumia through whatsup mbona nililainika? nilifikiri amekaa chini akaandika maneno yote haya jaman mbona ameteseka sana? nikamwonea huruma sanaaaa. Yaan alijikuta ameng'oa mzigo bila kutumia winchi. ila baadaye si unajua tena hizi group mambo ya kufowadiana msg? eti siku moja nikasikiliza clip nikasikia maneno yote niliyo ambiwa na mpenzi wangu. looooh nikajua niliingizwa chaka.



nimekumbuka nikabaki nikicheka mwenyewe, mimi sijui ni ushamba au nini cjui hata. Ila kuna jamaa alinifatilia muda mrefu nikagoma ila akakopy wimbo moja kwenye simu yake akanitumia through whatsup mbona nililainika? nilifikiri amekaa chini akaandika maneno yote haya jaman mbona ameteseka sana? nikamwonea huruma sanaaaa. Yaan alijikuta ameng'oa mzigo bila kutumia winchi. ila baadaye si unajua tena hizi group mambo ya kufowadiana msg? eti siku moja nikasikiliza clip nikasikia maneno yote niliyo ambiwa na mpenzi wangu. looooh nikajua niliingizwa chaka.

ndipo nilipogundua ndege mjanja hunaswa kwenye tundu bovu.

Big up kwako wewe Mkuu uliyefanikiwa kwa stail hii maana nina uhakika umo humu.

NB: Ilikuwa zaman kabla sijawa na STUNTER
Sasa jje's hiyo ya wozap si ya juzi kati tu. Kwani we hukijui kizazi cha 'penpal' enzi hizo simu ya mkononi ilikuwa nadra sana, wachache walimiliki.
 
Sasa jje's hiyo ya wozap si ya juzi kati tu. Kwani we hukijui kizazi cha 'penpal' enzi hizo simu ya mkononi ilikuwa nadra sana, wachache walimiliki.
najua ila kipindi hicho na mimi sikuwa na dedicate nyimbo maana wazazi waliniasa nisikae karibu na wanaume.

sasa nikakumbuka cha juzi kati nikaona nishare na nyie. Ndo maana nimesema ni ushamba tu haikuwa kingine.

thanks kwa kunielewesha though nilielewa
 
nimekumbuka nikabaki nikicheka mwenyewe, mimi sijui ni ushamba au nini cjui hata. Ila kuna jamaa alinifatilia muda mrefu nikagoma ila akakopy wimbo moja kwenye simu yake akanitumia through whatsup mbona nililainika? nilifikiri amekaa chini akaandika maneno yote haya jaman mbona ameteseka sana? nikamwonea huruma sanaaaa. Yaan alijikuta ameng'oa mzigo bila kutumia winchi. ila baadaye si unajua tena hizi group mambo ya kufowadiana msg? eti siku moja nikasikiliza clip nikasikia maneno yote niliyo ambiwa na mpenzi wangu. looooh nikajua niliingizwa chaka.



nimekumbuka nikabaki nikicheka mwenyewe, mimi sijui ni ushamba au nini cjui hata. Ila kuna jamaa alinifatilia muda mrefu nikagoma ila akakopy wimbo moja kwenye simu yake akanitumia through whatsup mbona nililainika? nilifikiri amekaa chini akaandika maneno yote haya jaman mbona ameteseka sana? nikamwonea huruma sanaaaa. Yaan alijikuta ameng'oa mzigo bila kutumia winchi. ila baadaye si unajua tena hizi group mambo ya kufowadiana msg? eti siku moja nikasikiliza clip nikasikia maneno yote niliyo ambiwa na mpenzi wangu. looooh nikajua niliingizwa chaka.

ndipo nilipogundua ndege mjanja hunaswa kwenye tundu bovu.

Big up kwako wewe Mkuu uliyefanikiwa kwa stail hii maana nina uhakika umo humu.

NB: Ilikuwa zaman kabla sijawa na STUNTER
Hawakujua thamani yako,
mimi ninayeifahamu wacha nikupende...
 
cupid-112 watoto wadogo hawawezi kuzijua hizi.
Mkuu hii track ni nzuri sana, Ila napenda kukuambia kuwa baada ya 112 kusambaratika hii track ilirudiwa na Q Parker kama solo artist, huyu Q Parker alikuwa ni mmoja wa wanamuziki waliounda kundi la 112. Kusema ukweli jamaa ameiimba vizuri zaidi kuzidi ile original track. Unaweza kuisikiliza hapa chini
 
Back
Top Bottom