Aishah2016
JF-Expert Member
- Jun 11, 2016
- 2,225
- 2,482
Haya mashudu anaweza kutazama Bashite tu.
Haya mashudu anaweza kutazama Bashite tu.
Kingereza kilikuja na ndege kwakwel
Toa tujino twako tuchafu alafu hatujapangwa vizuri!!!@#!*#!
SimfahamuBashite
Unapozi na mashine! Alikuwa location au?
Duhh, jamaa alipenda huo mpakato
Alafu tusiangalie wakina Denzel Washington..Mzee Rambo na wakina Tornado...Si mchezo jamani jambazi kavua viatu mlangoni View attachment 498832
Hahaha utasababisha wenzako wafe njaa..Bongo bwana, yaani huyu naye ni gaidi ama staa? Nako kaliandamana ili tununue sinema zake uchwara? Hata iweje, sinunui Bongo movie ng'ooo.
...akimaliza kufanya uharamia wake ndani akitoka nje atainama tena na kuvaa viatu vyake ndo asepe.... kazi ipo
Hapana chezeya kidhunguKingereza kilikuja na ndege kwakwel
Script sasaSi mchezo jamani jambazi kavua viatu mlangoni View attachment 498832
Hahaha kwakwelHapana chezeya kidhungu
mkuu hiyo kaliMajambazi ya koromije huwa yanaheshima yanakusalimia vizuri tu kabla hayajakukaba yakishakukaba yanakuaga na kukutakia siku njema
Kingene wanachosema kwenye bongo movie jini kama linataka kuvuka barabara linaangalia kushoto na kulia lisije kugongwa na gari
mkuu hiyo kali
ndo maana sipendi kuangalia bongo movie, na mheshimiwa ndo anataka tuangalie kwa nguv bila kupenda