Mambo ya bongo movie hayo

Muvi inachezwa ndani ya nyumba mpaka mwisho alafu wakati inaanza ushajua mwisho wake kwamba wataachana,atafilisika,atafukuzwa kazi au atakua tajiri aise hizi muvi ata wenyewe wanaoigiza sizani kama wanapata muda wa kuzitazama kazi kweli kweli.
 
Majambazi ya koromije huwa yanaheshima yanakusalimia vizuri tu kabla hayajakukaba yakishakukaba yanakuaga na kukutakia siku njema

Kingene wanachosema kwenye bongo movie jini kama linataka kuvuka barabara linaangalia kushoto na kulia lisije kugongwa na gari
mkuu hiyo kali
 
ndo maana sipendi kuangalia bongo movie, na mheshimiwa ndo anataka tuangalie kwa nguv bila kupenda
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom