Sir_Mimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2013
- 7,152
- 15,604
Dah mwanangu umetisha ....
Dah mwanangu umetisha ....
Series gani inabamba sasa hivi? Nishaachana na huo ujinga siku nyingi sanaHalafu angalia macho yake kwa umakini,kweli jambazi anamlenga mtu kwa risasi halafu macho yake yanaangalia kwingine?
Hahahaaaaaa
Acheni tu nifanye birthday ya kutimiza miaka 7 ya kuangalia series za Kikorea na siziachi.
Salute sana
Majambazi ya koromije huwa yanaheshima yanakusalimia vizuri tu kabla hayajakukaba yakishakukaba yanakuaga na kukutakia siku njemaSi mchezo jamani jambazi kavua viatu mlangoni View attachment 4
Haya mashudu anaweza kutazama Bashite tu.
Tutakukamata tuu,na tunaanza msako wa nyumba kwa nyumba kusaka hizo video za njee,(in bashite voice).viva koromije vivaaaHalafu angalia macho yake kwa umakini,kweli jambazi anamlenga mtu kwa risasi halafu macho yake yanaangalia kwingine?
Hahahaaaaaa
Acheni tu nifanye birthday ya kutimiza miaka 7 ya kuangalia series za Kikorea na siziachi.
Umemnukuu nani akisema movie zingine zizuiwe
Hahahaha nmecheka sanaUnapozi na mashine! Alikuwa location au?
Weweeee bongo movie wanazingua aisee
Wafanyeje? Ni masharti ya kukodi kwa hizo dk wanazoitumia kwenye hiyo nyumba.Si mchezo jamani jambazi kavua viatu mlangoni View attachment 498832
Jini kavaa ndala