Mkereketwa_Huyu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 10,590
- 7,951
Yaani hapa tu, ndipo wameniacha hoi....mi naona bora waendelee tu kujiuza kwa mapedesheee na kuwaachia wenye kujuwa ku-act kazi yao.
Teh teh teh teh teh teh
Ila kweli kioo hakidanganyi ndo huyu kweliBongo bwana, yaani huyu naye ni gaidi ama staa? Nako kaliandamana ili tununue sinema zake uchwara? Hata iweje, sinunui Bongo movie ng'ooo.
Et naye ni komandoBongo bwana, yaani huyu naye ni gaidi ama staa? Nako kaliandamana ili tununue sinema zake uchwara? Hata iweje, sinunui Bongo movie ng'ooo.
Duuuuu..... BAADA YA MIEZI MIWILI BAADAYE.... kazi kwelikweli
Jambazi anashika bastola alafu anasema [HASHTAG]#Nitakuchinja[/HASHTAG] kashasahau kama anabastola ha ha ha ha ha
Then ninunue, labda nimerogwa

...akimaliza kufanya uharamia wake ndani akitoka nje atainama tena na kuvaa viatu vyake ndo asepe.... kazi ipoilimlazimu kunyata mkuu
ndo maana akaamua kuput off shoes....
ila duhh....!!! tunasafari ndefu...
Yani mtu anashikwa kimahaba kabisa kama anapigwa busu vile...