liikambako
Member
- Feb 26, 2020
- 35
- 116
Ubaya wao wanawapenda sana Dada zetu sijui ni kwa nini,asilimia kubwa ya polisi wa mipakani wameolewa na hawa jama,wanaitwa Guardfrontera,Mimi mwenyewe mabinti wangu watatu wameolewa tena na mabosi.Mabinti hawakuwahi kuwa na ndoto za kupanda pipa sasa hivi ni nyenyerere report Pemba nampula maputo