Mambo ya ajabu niliyoyaona Msumbiji (Mozambique)

BLAZA nawe mbishi sana.
Tupe picha ya sare unazozijua

Sent using Jamii Forums mobile app

1583191508213.png
 
Muanzisha thread in this case waweza kuwa hukutizama vizuri. 👇
"Msumbiji wana uhaba wa wanawake weupe. Kama una mwanamke mweupe ukienda naye sahau kurudi naye."
-
Mozambique majority kubwa ya wadada/wanawake ni 'flourish creamy' pure natural labda baadhi ya maeneo Northern Provinces. Kwa kifupi they look like Brazilians!
 
Hahahahha niliwahi kumuona mwanajeshi kajitwika RPG uku mguuni ana ndala


Sent from my iPhone using JamiiForums
Aah hiyo sana tu kwa kabila hapo na ilo RPG sebene likichanganya la jibe mpiana anakula mayenu km kapagawa bana we usiombe kifyatulio kifunguke mtatafuta på kutokea
 
Ndugu Yangu umezidisha chumvi,Niko hapa msumbiji toka 1997 Rais akiwa chissano.naijua vizuri msumbiji,Huku hatuzumgumzii wanawake weupe sema makaradi,mchanganyiko wa Wareno na Waafrika.Kumbuka hapa Mreno amekaa miaka 500 na lengo lake alikuwa anataka akiangamize kizaza cha mtu mweusi,kwa hiyo formula waliokuwa wanaitumia kama wewe mwanaume wa kileno popote ulipo ni kuzalisha tu awe Binti au make wa mtu.Kiasi kwamba kunamakaladi wengi sana,na hawa mabrack bado wanachembechembe za damu nyeupe.Familia nyingi zina undugu pande mbili Ureno na Mozambique,yaani mfano hai mreno aliyekuja mwaka 1900 kuja kufata pembe za ndovu,zahabu na mbao kule ureno aliacha mke na watoto,alipofika hapa akaowa mwanamke wa kiafrica , kwa hiyo unakuta Ureno na mji na Mozambiki ana mji,lakini wengi walibezi kwa wanawake wa kiafrika.Hawa nao wanawake walikuwa wakishapata watoto wanawauwa mabwana zao kwa ushirikina ili wabaki na mali,na upande wa wanaume wa kireno wao w alikuwa wanathamini watoto zao,kuliko mama zao,hata kama ana Mali mfano dhahabu atachimbia chini anamuita kwa siri bila mama yake kujua kwambi nakuachia Mali hii ukiwa mkubwa itakusaidi.nazani naishia hapa niulize chochote kuhusu mozambique
Vipo baadhi ameongea ukweli,Mimi nimefika msumbiji kama Mara nne hivi by road hata kwa angani ila nimeishia miji ya kaskazini yaani msimbwa demplaya,chai,mutipweshi,Pemba hata Nampula.

kuhusu uchumi bado ni maskini sana si ajabu kuona nyumba ya nyasi kwenye jiji kama Nampula,pia mzunguko wa biashara ni mdogo mno,rushwa nje nje kugonga tu passport hapo namoto border lazima ulipe mitkash ya kutosha na ni amri sio hiari nilikomaa kuwa nitoe pesa za kazi gani walinizuia hadi cruiser ikaniacha,pia hawapendi wa Tanzania wanasema ni wezi (bandido)hii ni kwa upande wa polis na uhamiaji,kwa upande wangu sikuipenda msumbiji hata kidogo sijui labda kama yapo mabadiliko maana ni miaka kidogo imepita toka niwe huko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninachopingana na mtoa maada ameiongelea vibaya sana Mozambique,tofauti na jinsi wengine tunavyoujua ukweli,kimaisha kwa upande wangu kumetofautiana sana na Tanzania,huku Elimu bure,upande wa afya nayo tuseme ni kalibu na bure,kitu cha kawaida kwa maradhi yetu kama malaria ukatibiwa kuanzia vipimo mpaka dawa kwa shilingi 200 mia mbili ya Tanzania.Upande wa Magereza nako wako vizuri,huku ukifungwa unatoka umenenepa utapata Milo yote na utalala vizuri,na kama una mke kila jumamosi mke wako anakuja kukuhudumia kwa tendo la ndoa
 
Ninachopingana na mtoa maada ameiongelea vibaya sana Mozambique,tofauti na jinsi wengine tunavyoujua ukweli,kimaisha kwa upande wangu kumetofautiana sana na Tanzania,huku Elimu bure,upande wa afya nayo tuseme ni kalibu na bure,kitu cha kawaida kwa maradhi yetu kama malaria ukatibiwa kuanzia vipimo mpaka dawa kwa shilingi 200 mia mbili ya Tanzania.Upande wa Magereza nako wako vizuri,huku ukifungwa unatoka umenenepa utapata Milo yote na utalala vizuri,na kama una mke kila jumamosi mke wako anakuja kukuhudumia kwa tendo la ndoa
Vipimo na dawa kwa shilingi 200/= au sijakuelewa vizuri ulivyoandika?
 
Hiyo ni kwa matibabu yote kuanzia kumuona dactari,vipimo vyote na kuchukua dawa,unalipa 200 ya Tanzania.Wageni huku hatubaguliwi kwani Viongozi wao kalibu wote wamekaa Tanzania kipindi cha kupigania Uhuru hata huyu Raisi wao amezaliwa Tanzania,Wabongo wengi huku wameolea wanaishi poa tu,ingawa kunachangamoto kubwa sana kuishi na wanawake wa kimozambique,kwanza lazima kuishi kwake sio yeye aje akae kwako.na wanaishi kifamili sana yaani huku kukaa Nyumbani kwa wazazi wako ukao na mwanamke akawa anaaka hapohapo hamna tatizo.
 
Hiyo ni kwa matibabu yote kuanzia kumuona dactari,vipimo vyote na kuchukua dawa,unalipa 200 ya Tanzania.Wageni huku hatubaguliwi kwani Viongozi wao kalibu wote wamekaa Tanzania kipindi cha kupigania Uhuru hata huyu Raisi wao amezaliwa Tanzania,Wabongo wengi huku wameolea wanaishi poa tu,ingawa kunachangamoto kubwa sana kuishi na wanawake wa kimozambique,kwanza lazima kuishi kwake sio yeye aje akae kwako.na wanaishi kifamili sana yaani huku kukaa Nyumbani kwa wazazi wako ukao na mwanamke akawa anaaka hapohapo hamna tatizo.
Mkuu,

Viongozi wao kuzaliwa au kukaa Tanzania wala siyo sababu ya nyinyi kutokubaguliwa kwa maana ubaguzi hufanywa na raia mnaokaa nao mitaani ambao hawajawahi hata kufika Tz.

Hebu angalia SA kwa hiyo hoja yako uone kama ina apply!
 
liikambako naona upo upande wa mazuri tu ya Mozambique,hebu tupe na changamoto za kuishi huko maana kuna matukio mengi tu tumesikia watz kuuwawa huko kwenye miji yenye machmbo!

Halafu hilo la jela zao kuwa nzuri umenishangaza maana kuna jamaa alisota hapo Nampula akadai hakufai wanashindia mlo mmoja tena ugali chumvi.
 
Back
Top Bottom