Ni aibu kuwa Msumbiji wana megawatts 187000 na sisi tuna megawatts 1500

kimsboy

JF-Expert Member
Oct 17, 2016
9,000
17,909
Msumbiji wapo milioni 29 wana umeme mwingi megawatts 187000 (laki moja na elfu 87) sisi tupo milioni 62 tuna megawatts 1500 tu aibu gani hizi?

Miaka 60 ya uhuru megawatts 1500 tu? Angalieni Kenya,Zambia,msumbiji na Ethiopia umeme walio nao

Sisi ony 1500 megawatts ndo ziwashe nchi nzima na nchi iwe ya viwandaWatu wamekaa tu maofisini na Vitambi haki ningekua rais wa hii nchi kuna watu wangefungwa mpaka wangezijua harufu zote za jela!!Hatupo serious

Halafu anaibuka mtu mmoja hatihati huko anajiropekea kuwa eti miaka 60 ccm wamefanya makubwa!!Makubwa yapi hayo?

Only in Tanzania!!Kuna saa najiulizaga watanzania waliumbwaje au walitokea dunia gani nakosa jibu!!Hivi mnajua hapa duniani sisi kama nchi tunasindikiza tu?

We can't be serious hata kidogo. Dira yao 2025 inasema tz itakua nchi ya viwanda na uchumi wa kati mkubwa sio huu wa mchongo wa dola 1037 ambao hata Somalia wakiwa serious miezi 6 tu wanaingia.

Viongozi wa ccm shame on you Guys!!Mnachojua ni kukaa kwenye ma-v8 tu na kutisha wananchi, na kupora mali za umma!! Hii nchi wapewe wazungu tu au race nyingine ccm ni mafailure.....

Megawatts 1500 tu ni uzembe mkubwa ingekua nchi nyingine watu washanyongwa na kupigwa risasi kwa uzembe!! Tena huyo January wenu na mwenzie maharage wangekua ni viongozi wa huko China sahv tungekua na "kumbukumbu ya miaka kadhaa imepita na majina yao tu".

Hii nchi inaitia aibu sana!!
 
Serikali inakua na mchanganyiko wa watu wenye nia njema na wale wenye nia ovu,wanaotaka kuiba tu,matokeo yake ndo haya.CCM na serikali yake,waweke mazingira ya uchaguzi huru na haki,watu wawafurushe,chama kingine mbadala kiingie,kiunde serikali labda tutasonga mbele.Haiwezekani miaka zaidi ya 60 tokea uhuru,wao (CCM),wanafanya makosa,wanasema watajirekebisha,kwani hakuna mbadala?
We are tired bhana,wamehodhi nchi muda mrefu,waondoke,waje wengine,nao wakizingua,waondoshwe pia,lengo liwe maendeleo ya kweli yapatikane.
 
Msumbiji wapo milioni 29 wana umeme mwingi megawatts 187000 (laki moja na 87) sisi tupo milioni 62 tuna megawatts 1500 tu aibu gani hizi?

Miaka 60 ya uhuru megawatts 1500 tu? Angalieni Kenya,Zambia,msumbiji na Ethiopia umeme walio nao

Sisi ony 1500 megawatts ndo ziwashe nchi nzima na nchi iwe ya viwandaWatu wamekaa tu maofisini na Vitambi haki ningekua rais wa hii nchi kuna watu wangefungwa mpaka wangezijua harufu zote za jela!!Hatupo serious

Halafu anaibuka mtu mmoja hatihati huko anajiropekea kuwa eti miaka 60 ccm wamefanya makubwa!!Makubwa yapi hayo?

Only in Tanzania!!Kuna saa najiulizaga watanzania waliumbwaje au walitokea dunia gani nakosa jibu!!Hivi mnajua hapa duniani sisi kama nchi tunasindikiza tu?

We can't be serious hata kidogo. Dira yao 2025 inasema tz itakua nchi ya viwanda na uchumi wa kati mkubwa sio huu wa mchongo wa dola 1037 ambao hata Somalia wakiwa serious miezi 6 tu wanaingia.

Viongozi wa ccm shame on you Guys!!Mnachojua ni kukaa kwenye ma-v8 tu na kutisha wananchi, na kupora mali za umma!! Hii nchi wapewe wazungu tu au race nyingine ccm ni mafailure.....

Megawatts 1500 tu ni uzembe mkubwa ingekua nchi nyingine watu washanyongwa na kupigwa risasi kwa uzembe!! Tena huyo January wenu na mwenzie maharage wangekua ni viongozi wa huko China sahv tungekua na "kumbukumbu ya miaka kadhaa imepita na majina yao tu".

Hii nchi inaitia aibu sana!!
Je, unaamini ulichoandika?
Tuanze hapo kwanza ili tujue mjadala unaishia wapi.
 
Msumbiji wapo milioni 29 wana umeme mwingi megawatts 187000 (laki moja na 87) sisi tupo milioni 62 tuna megawatts 1500 tu aibu gani hizi?

Miaka 60 ya uhuru megawatts 1500 tu? Angalieni Kenya,Zambia,msumbiji na Ethiopia umeme walio nao

Sisi ony 1500 megawatts ndo ziwashe nchi nzima na nchi iwe ya viwandaWatu wamekaa tu maofisini na Vitambi haki ningekua rais wa hii nchi kuna watu wangefungwa mpaka wangezijua harufu zote za jela!!Hatupo serious

Halafu anaibuka mtu mmoja hatihati huko anajiropekea kuwa eti miaka 60 ccm wamefanya makubwa!!Makubwa yapi hayo?

Only in Tanzania!!Kuna saa najiulizaga watanzania waliumbwaje au walitokea dunia gani nakosa jibu!!Hivi mnajua hapa duniani sisi kama nchi tunasindikiza tu?

We can't be serious hata kidogo. Dira yao 2025 inasema tz itakua nchi ya viwanda na uchumi wa kati mkubwa sio huu wa mchongo wa dola 1037 ambao hata Somalia wakiwa serious miezi 6 tu wanaingia.

Viongozi wa ccm shame on you Guys!!Mnachojua ni kukaa kwenye ma-v8 tu na kutisha wananchi, na kupora mali za umma!! Hii nchi wapewe wazungu tu au race nyingine ccm ni mafailure.....

Megawatts 1500 tu ni uzembe mkubwa ingekua nchi nyingine watu washanyongwa na kupigwa risasi kwa uzembe!! Tena huyo January wenu na mwenzie maharage wangekua ni viongozi wa huko China sahv tungekua na "kumbukumbu ya miaka kadhaa imepita na majina yao tu".

Hii nchi inaitia aibu sana!!
Wewe ulikuwa unaota au..
Mozambique wana 2700s megawatts... na hilo bwawa lao kubwaa linatoa megawatts zaidi ya 2000 ni la zamani walijenga wareno wakati wakiwa wakoloni na nia ilikuwa ni kuuza umeme south Africa kwenye migodi ndio wanafanya hivyo kama sikosei..

Ingawabkwenye swala la umeme nikiri tu Tanzania hatupo serious bado. Kazi inahitajika kubwa sana angalau tuwe na megawatts 15,000 ndio tutaona mabadiliko ya kweli kama nchi.

Hivi unazijua megawatts 187,000??
 
Msumbiji wapo milioni 29 wana umeme mwingi megawatts 187000 (laki moja na 87) sisi tupo milioni 62 tuna megawatts 1500 tu aibu gani hizi?

Miaka 60 ya uhuru megawatts 1500 tu? Angalieni Kenya,Zambia,msumbiji na Ethiopia umeme walio nao

Sisi ony 1500 megawatts ndo ziwashe nchi nzima na nchi iwe ya viwandaWatu wamekaa tu maofisini na Vitambi haki ningekua rais wa hii nchi kuna watu wangefungwa mpaka wangezijua harufu zote za jela!!Hatupo serious

Halafu anaibuka mtu mmoja hatihati huko anajiropekea kuwa eti miaka 60 ccm wamefanya makubwa!!Makubwa yapi hayo?

Only in Tanzania!!Kuna saa najiulizaga watanzania waliumbwaje au walitokea dunia gani nakosa jibu!!Hivi mnajua hapa duniani sisi kama nchi tunasindikiza tu?

We can't be serious hata kidogo. Dira yao 2025 inasema tz itakua nchi ya viwanda na uchumi wa kati mkubwa sio huu wa mchongo wa dola 1037 ambao hata Somalia wakiwa serious miezi 6 tu wanaingia.

Viongozi wa ccm shame on you Guys!!Mnachojua ni kukaa kwenye ma-v8 tu na kutisha wananchi, na kupora mali za umma!! Hii nchi wapewe wazungu tu au race nyingine ccm ni mafailure.....

Megawatts 1500 tu ni uzembe mkubwa ingekua nchi nyingine watu washanyongwa na kupigwa risasi kwa uzembe!! Tena huyo January wenu na mwenzie maharage wangekua ni viongozi wa huko China sahv tungekua na "kumbukumbu ya miaka kadhaa imepita na majina yao tu".

Hii nchi inaitia aibu sana!!
Wakati tunaumbwa udongo uliisha ... Tukaokotezwa ukotezwa tu maudongo mbalimbali......
 
Tuanze kwenye currency unajua currency ya Msumbuji iko juu kuliko ya kwetu sisi tunawazidi uganda tuRasouth africa in
Rand ya South Africa ina value kubwa kuliko Japanese yen lakini Japan ina uchumi mkubwa kuliko bara zima la Africa.

Ksh ina value kubwa kuliko Naira ya nigeria 🇳🇬. Lakini uchumi wa nigeria ni mkubwa kuliko Kenya.
Currency value sio economy.
Tuanze kwenye currency unajua currency ya Msumbuji iko juu kuliko ya kwetu sisi tunawazidi uganda tu
 
Hizo data umetoa wapi?
Msumbiji ipi unayo izungumzia?
Japo nchi yetu ina madudu mengi huwezi ifananisha na msumbiji unatukosea heshima.
Msumbiji ilivyo fukara wakutupwa umeme wote huo iutoe wapi???
Ebooooooooh.

Bado unabisha!?? Nyie ndio mnatufanya tuonekane channel ya comedy mbinguni..... Data hizo hapo au nikuongeze!???
 
Back
Top Bottom