Mambo ukifanya kwenye hii dunia utalaanika

Mambo ukifanya kwenye hii dunia utalaanika

1.Ufiraji
2.kulala na wanawake Malaya
3.kupuuza wazazi wko
4.Kudhulumu yatima na wajane,
5.kwenda kwa waganga
6.Kufanya mapenzi na ndugu
7.Ulevi
Kama unafanya Mambo hayo hutofabikiwa na mikosi itakuandama daima
Umeionea sana namba 7 hujaitendea haki naomba itoe Mara moja
 
1.Ufiraji
2.kulala na wanawake Malaya
3.kupuuza wazazi wko
4.Kudhulumu yatima na wajane,
5.kwenda kwa waganga
6.Kufanya mapenzi na ndugu
7.Ulevi
Kama unafanya Mambo hayo hutofabikiwa na mikosi itakuandama daima

Post ina mapungufu mengi, haina reference wala ushahidi Na ushuhuda

2. Utamtambuaje na je ukifanya na asiye malaya wala si mkeo ni sawa?
5. Laana inakujaje unapopata tiba, what if umekwenda kupata dawa ya ugonjwa ulioshindikana hospitali?
6. Mbona baadhi ya watu wanaoana mtu na binamu au mtu na mtoto wa baba au mama mdogo wake
7. Divai aliyotengeneza Yesu watu wakanywa wakafurahi ilikuwa na laana pia?
 
1.Ufiraji
2.kulala na wanawake Malaya
3.kupuuza wazazi wko
4.Kudhulumu yatima na wajane,
5.kwenda kwa waganga
6.Kufanya mapenzi na ndugu
7.Ulevi
Kama unafanya Mambo hayo hutofabikiwa na mikosi itakuandama daima
who are you to feed this kind of mentality to others.

Hoja haijakamilika, umebwatuka tu.
hakuna reference ya vitabu vya dini.

Maada chonganishi
 
1.Ufiraji
2.kulala na wanawake Malaya
3.kupuuza wazazi wko
4.Kudhulumu yatima na wajane,
5.kwenda kwa waganga
6.Kufanya mapenzi na ndugu
7.Ulevi
Kama unafanya Mambo hayo hutofabikiwa na mikosi itakuandama daima
Facts Mkuu.
 
who are you to feed this kind of mentality to others.

Hoja haijakamilika, umebwatuka tu.
hakuna reference ya vitabu vya dini.

Maada chonganishi
Reference za kutosha zipo, nenda katafute
 
Back
Top Bottom