Kuna jamaa yangu mmoja anapenda sana kufira wanawake, na ndio story zake ukikaa nae. Na pia anawaburuza sana watoto wa ndugu zake wa damu. Ila wiki iliyopita ameshusha Golden Dragon 4 (Bus 4). Kiufupi maisha yamemnyookea.
Laana siyo lazima imkute yeye itamkuta hata mwanae nae atakuwa anafanywa anayoyafanya yeye kwa watoto wa watu.Kuna jamaa yangu mmoja anapenda sana kufira wanawake, na ndio story zake ukikaa nae. Na pia anawaburuza sana watoto wa ndugu zake wa damu. Ila wiki iliyopita ameshusha Golden Dragon 4 (Bus 4). Kiufupi maisha yamemnyookea.
Mungu hutunyeshea wote wema na wabaya Wala habagui kwaiyo uyo jamaa asijifanye mjanja sanaKuna jamaa yangu mmoja anapenda sana kufira wanawake, na ndio story zake ukikaa nae. Na pia anawaburuza sana watoto wa ndugu zake wa damu. Ila wiki iliyopita ameshusha Golden Dragon 4 (Bus 4). Kiufupi maisha yamemnyookea.
Acha ushamba namba 7 itoe1.Ufiraji
2.kulala na wanawake Malaya
3.kupuuza wazazi wko
4.Kudhulumu yatima na wajane,
5.kwenda kwa waganga
6.Kufanya mapenzi na ndugu
7.Ulevi
Kama unafanya Mambo hayo hutofabikiwa na mikosi itakuandama daima
Mwanamke malaya ni SAwa na shimo la taka taka huwezi pata heri kwa kukaa jalalani,utaibuka na maradhi.Kulala na wanawake Malaya, fanya ufafanuzi
namba 1 manaake???1.Ufiraji
2.kulala na wanawake Malaya
3.kupuuza wazazi wko
4.Kudhulumu yatima na wajane,
5.kwenda kwa waganga
6.Kufanya mapenzi na ndugu
7.Ulevi
Kama unafanya Mambo hayo hutofabikiwa na mikosi itakuandama daima
True thus tunapata kizazi kilichouza nafsi yake kwa shetani yaani kizazi kilichopungikiwa na utukufu, kizazi kisichojua jema na baya.Namba mbili si itakuwa kila mtu? Maana sikuizi asilimia 98% ya madem wanauza
Sura yako tu inaashiria stressUpo sawa mtoa mada 👏
Mkuu hapa nimecheka sana japo uko sahihiSasa ukaacha hayo yote, si bora ufe tu..
Kila mmoja kaja peke yake, so kila mmoja aangalie maisha yakeTrue thus tunapata kizazi kilichouza nafsi yake kwa shetani yaani kizazi kilichopungikiwa na utukufu, kizazi kisichojua jema na baya.