Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,431
- 96,808
Kushindwa kujijua na kuitendea haki sababu ya Mimi kuwa Mimi.
Eee amekupiga kichwani huponi leo 😀Kichwani![]()
PM si unanifanyia maksudi banaa.. .. uliona vile vifungu nilikutumiaKwahiyo piem nisikujibu?![]()
AMEN. Asante sana mjoli wa Bwana kwa kushea neno la MunguZab 119:9-16 SUV
Jinsi gani kijana aisafishe njia yake? Kwa kutii, akilifuata neno lako. Kwa moyo wangu wote nimekutafuta, Usiniache nipotee mbali na maagizo yako. Moyoni mwangu nimeliweka neno lako, Nisije nikakutenda dhambi. Ee BWANA, umehimidiwa, Unifundishe amri zako. Kwa midomo yangu nimezisimulia Hukumu zote za kinywa chako. Nimeifurahia njia ya shuhuda zako Kana kwamba ni mali mengi. Nitayatafakari mausia yako, Nami nitaziangalia njia zako. Nitajifurahisha sana kwa amri zako, Sitalisahau neno lako..
👆🏻👆🏻👆🏻👆🏻👆🏻👆🏻👆🏻
Samahani kama nimetoka nje ya mada 😎
Hapo mbavuni ndio penyewe tumbo litavimba na kupona ni baada ya miezi 9 🥴Atanipiga na mbavuni nitapona![]()
PM si unanifanyia maksudi banaa.. .. uliona vile vifungu nilikutumia





Hapo mbavuni ndio penyewe tumbo litavimba na kupona ni baada ya miezi 9![]()



si ndio vizuri apatikane member mpya wa JF wa miaka hiyoNjoo kwanza kule tuyajenge.. mie nata kusafiri.. usianze ninyanyapaa kisayansiKwahiyo vipi sasa si unaogopa…?! Vile vifungu tuachane navyo![]()
Bahati mbaya usichotaka kukifanya ndicho ukifanyachoHahaha! dhambi mbaya sanaaa
Mzee National Anthem fanya mpango hii imeenda mpe anachotaka 😆si ndio vizuri apatikane member mpya wa JF wa miaka hiyo
Hiyo imeendaa ngoja nifanye mchakato
Wewe mpelekee Moto tu