Gono na UTI vinatibika hapo Ngoma ndo chakuogopa mkuuNaogopa:
1. UTI
2. Gono
3. Ngoma
subiri wengine waje
Gono na UTI vinatibika hapo Ngoma ndo chakuogopa mkuuNaogopa:
1. UTI
2. Gono
3. Ngoma
subiri wengine waje
Naogopa wanajeshiKatika maisha yangu mambo ambayo kwangu ni hatari na ambayo nayaogopa.
1. Uzinzi (uasherati)
2. Kula jasho la mtu
3. Kumuuzunisha mtu
Sijui nyie wenzengu mambo yepi kwenu mna yaogopa
Intelligent businessman
Poor Brain
mshamba_hachekwi
Extrovert
AminaKatika maisha yangu mambo ambayo kwangu ni hatari na ambayo nayaogopa.
1. Uzinzi (uasherati)
2. Kula jasho la mtu
3. Kumuuzunisha mtu
Wanawake mlio okoka kisawa sawa na waimba kwaya, hiyo namba moja ni mtego.Katika maisha yangu mambo ambayo kwangu ni hatari na ambayo nayaogopa.
1. Uzinzi (uasherati)
2. Kula jasho la mtu
3. Kumuuzunisha mtu
Sijui nyie wenzengu mambo yepi kwenu mna yaogopa
Intelligent businessman
Poor Brain
mshamba_hachekwi
Extrovert
Uwezo wangu nilio barikiwa na mungu ni huo tu 😄
Uwezo wangu nilio barikiwa na mungu ni huo tu![]()



Alafu mbona hukufanya kama ulivyo niahidi tena 😄Dah!! Jitahidi ziwe imethibitishwa bas![]()
Alafu mbona hukufanya kama ulivyo niahidi tena![]()


Uliniahidi 📸 lakn hadi leo 😌Nilikuahidi nini tena raraa wangu jomooni![]()
Naogopa:
1. UTI
2. Gono
3. Ngoma
subiri wengine waje
Unaogopa buibui...??mh🤔1. dini, naona kama dini ni chombo cha kukandamiza watu
2. walimu, nilivokua mdogo kuna mwalimu alinidhalilisha kwa kunivua nguo mbele ya darasa na kunichapa, hii iliniathiri sana kisaikolojia....
3. buibui
4.kifo
Mtego kiaje mkuuWanawake mlio okoka kisawa sawa na waimba kwaya, hiyo namba moja ni mtego.
Msiseme hamkuambiwa
hahaha! 1. MadeniHiyo namba 1 ondowa hapo mkuu.....🤨
Tena ujue nakuheshim sana alooo....☹️