basi ogopa na wake za watu😂Kuzibuliwa mtaro
mshamba nipo hapa mbona😅upweke
upweke unachosha jamani sio sirimshamba nipo hapa mbona😅
uwe unawasiliana na mshamba😅upweke unachosha jamani sio siri
Sema jf inanisaidia sana😂uwe unawasiliana na mshamba😅
Wewe ni mchungaji wa kanisa gani😂1. Kumkosea Mungu. Yaani inafika wakati nataka kufanya dhambi nakuwa na woga saana...na hakuna dhambi nimefanya kwa kujisahau. Dhambi zote nakuwa conscious kabisaaa halafu nafosi kufanya baada ya kubishana na nafsi kwa muda.
2. kimwi
3.Ukimwi
4.Ukimwi
5. Poverty
Hyo no 31. dini, naona kama dini ni chombo cha kukandamiza watu
2. walimu, nilivokua mdogo kuna mwalimu alinidhalilisha kwa kunivua nguo mbele ya darasa na kunichapa, hii iliniathiri sana kisaikolojia....
3. buibui
4.kifo

