GE2025 Mambo muhimu ya kumdai Rais Samia kwa mwaka 2025-2030

GE2025 Mambo muhimu ya kumdai Rais Samia kwa mwaka 2025-2030

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

funaku

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
38,534
Reaction score
31,198
Hii ni thread muhimu ya Mambo muhimu ya kumdai mgombea Urais kupitia CCM tunapoelekea kufanya uchaguzi oktoba 29.

Katika thread hii tuweke bila aibu ni mambo gani muhimu anatakiwa atimize iwapo atachaguliwa kushika kiti adhimu cha Urais mwaka 2025 hadi 2030.

Ni wazi na bila shaka watanzania wengi kupitia CCM watamchagua hivyo sio mbaya kusema kwa uwazi ni maswala yapi anapaswa kuyasimamia pindi atakapopewa ridhaa ya kuongoza.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
 
Arudie upya mchakato wa kumpata mpeperusha kijiti.
 
Hatuna cha kumdai na wala sio chaguo letu yeye aendelee kukopa tu hakuna shida kabisa ikiwezekana ampe abdul u prime minster. na bintiye ampe u minster of fuedhaa we don't care as long as tuna survive
 
Atuambie tu ukweli yeye ni rais urijino au ndo rais kivuli!! Manake haeleweki
 
Hii ni thread muhimu ya Mambo muhimu ya kumdai mgombea Urais kupitia CCM tunapoelekea kufanya uchaguzi oktoba 29.

Katika thread hii tuweke bila aibu ni mambo gani muhimu anatakiwa atimize iwapo atachaguliwa kushika kiti adhimu cha Urais mwaka 2025 hadi 2030.

Ni wazi na bila shaka watanzania wengi kupitia CCM watamchagua hivyo sio mbaya kusema kwa uwazi ni maswala yapi anapaswa kuyasimamia pindi atakapopewa ridhaa ya kuongoza.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Hatumtakiiii
20250729_010133.jpg
 
Huyu mama wa nyumbani hatoruhusiwa kuwa rais tena hapa Tanganyika. Akaendelee kuimba taarabu huko kwao
 
Muda wa kuyasema umefika
 
Hii ni thread muhimu ya Mambo muhimu ya kumdai mgombea Urais kupitia CCM tunapoelekea kufanya uchaguzi oktoba 29.

Katika thread hii tuweke bila aibu ni mambo gani muhimu anatakiwa atimize iwapo atachaguliwa kushika kiti adhimu cha Urais mwaka 2025 hadi 2030.

Ni wazi na bila shaka watanzania wengi kupitia CCM watamchagua hivyo sio mbaya kusema kwa uwazi ni maswala yapi anapaswa kuyasimamia pindi atakapopewa ridhaa ya kuongoza.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Yeye sio mgombea halali.....NRNE
 
Mleta mada jamani, unamdai nini tena , tafuta ilani ya ccm ya 2025 to 2030, majibu yote yako humo, hawezi kwendana na mada zako eti tumdai, hilo halipo. Nionavyo mimi
 
Mleta mada jamani, unamdai nini tena , tafuta ilani ya ccm ya 2025 to 2030, majibu yote yako humo, hawezi kwendana na mada zako eti tumdai, hilo halipo. Nionavyo mimi
Ni deni kwa muktadha wa ahadi ni haki kudaiwa ahadi ni muhimu kutimiza ahadi kwani oktoba 29 ndio alifunga mkataba rasmi na watanzania.
Unafahamu kuhusu lugha ya picha?
 
Back
Top Bottom