Mambo mazito CCM Dodoma: Wajivua gamba?

Mambo mazito CCM Dodoma: Wajivua gamba?

Muungwana alisema tutajivua Makamba, watu wakasikia vibaya wakadhani amesema tutajivua magamba!
 
Its a new team for cdm 2015. welcome new ccm bai bai cdm.cdm watabaki na umaarufu kama wa tyson, baiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii. nasikia mnyika hana raha kabisa.
 
hivi hii nayo ni thread kwa ajili ya great thinkers...?
 
Ndugu zangu uimara wa chama unategemea sana uongozi thabiti wa mwenyekiti wa chama.Hawa wote mliowalazimisha kujiuzulu walikuwa wanafanya hayo walioyafanya kwa baraka za mwenyekiti!...

Kumbukeni msemo wetu wa enzi zile "Zidumu fikra za mwenyekiti"...hii ilitokana na uongozi dhabiti wa Mwalimu Nyerere katika kukiongoza chama mpaka watu wakatamani fikra zake zidumu.John Chiligati ana upeo na uwezo mkubwa tu wa kiuongozi kuliko hata hawa mlioteuwa,..George Mkuchika vilevile na hata Makamba ambaye aliyokuwa anayafanya alijua mwenyekiti wake atayafurahia!...

Ninachosema hapa ni kwamba mlichokifanya mmetoa jasho na wala siyo gamba!..Gamba lenyewe ni mwenyekiti ambaye marafiki zake ambao ni manyangumi ya ufisadi yanakiyumbisha chama huku yeye akitabasamu.

Umetoa kitu cha point mkuu, halafu hivyo vigamba wakishavivua wanavipeleka wapi, hilo ni changa la macho tu, kama jk yuko serious tumuone akiwafikisha hao wababe wake mahakamani, ndio tutajua kweli ni mwanamume wa shoka, wameona kelele zimeanza kuwanyima usingizi now they want to fool us, hivi EL amewahi kuhojiwa kuhusiana na tuhuma zilizomfanya aachie ngazi, RA naye vipi mbona anapeta tu kitaa, jk change behave like a really man, heshima yako imeshuka sana, samahani kama nakuboa my president wangu, lakini afadhali sisi tunaokwambia ukweli kuliko hao wanaokupaka chupa kwa mgongo wa ......sorry wanoukapaka mafuta kwa mgongo wa chupa.
 
Siasa bana, toka Makamba ingia Nape kikosini. Thanx kwa kuwa mmeona ukweli uko wapi.
 
kikwete2.jpg
CCM national Chairman Jakaya Kikwete


CCM national Chairman Jakaya Kikwete has appealed to the party’s National Executive Committee to endorse decisions of the Central Committee which saw some of its members and the party’s secretariat resigning their positions.
Opening the NEC meeting here yesterday, Kikwete said in a brief speech that the party had no choice but to make deliberate decisions on key and sensitive matters on the political situation in the country and increasing competition among political parties.

Former secretary for ideology and publicity, John Chiligati said the Central Committee (CC) members who resigned were those from secretariat adding: “The CC members who are not from the secretariat are responsible to the bodies which elected them, such as the Women’s wing (UWT) Youth wing (UVCCM), Parents wing as well as party’s General Assembly, which also elect the Chairperson.

The members of secretariat who resigned on Saturday are the Secretary General Yusuf Makamba, two deputy secretaries George Mkuchika (Mainland) and Saleh Ramadhan Feruz (Zanzibar), the secretary for economy and finance, Amos Makala, Ideology and publicity Chiligati, director of foreign affairs Benard Membe, and director of planning Kidawa Saleh.

However, according to Mkuchika the big shakeup within the party was a result of high level of corruption and poor management leading to unprecedented low performance during last year’s General Election.

“It is evident that accusations against the Secretariat and other people have been increasing especially after the general election, so we have to bring in a new team to take us to another level” said Mkuchika, who also serves as a cabinet Minister for Regional Administration and Local Governments Authorities.

The resignations have come barely 18 months to the Party’s elections, but Mkuchika was confident that the Party would get suitable persons to fill the vacant posts created by the resignations, arguing that CCM had many qualified members to run the Secretariat.

He also confirmed that in a move to improve the secretariat, the Party’s Central Committee had decided that all its positions become full time jobs, to allow its members supervise party duties and implementation of various decisions of superior bodies closely.

Mkuchika maintained that the party had realised that it was facing a stiff challenge from the opposition side, a situation it had never experienced before.
“We are in a new era. The political situation has changed a lot and we had to make key decisions so as to surmount the increased challenge. We had to do this now, otherwise we will be in big trouble,” he noted.

Although he did not mention any party, Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) has been the most conspicuous political challenger to the ruling party.
Though CCM managed to win 186 constituencies and Chadema only 23 last October, the latter triumphed in major and strategic urban areas such as Arusha, Mwanza, Mbeya, Iringa, Ubungo and Kawe, also taking control of the district, town and city councils.
 
We are not buying another UPUUZI/USANII from CCM.
 
ukweli ni kwamba Kikwete alipoteza kiti cha urais na majimbo mengi sana viti vya ubunge (zaidi ya yale yaliotajwa),na hiyo ni baada ya kampeni za dakika ya mwisho za Chadema, hasa na watu wasio na chembe ya siasa kama walio wengi kutoka CCM. Hii imemuuma sana JK na kuwakasirisha sana viongozi na wanachama ambao hawana "uwezo" wa ufisadi kama wakina RA , Chenge etc. Sasa baada yakuona Chadema imeanza kampeni mapema, huku wapigakura wakivutiwa kwa wingi, mbaya zaidi CCM wakishindwa kabisa kupunguza kasi ya Chadema. CCM imeona ni bora kuonyesha wapiga kura kwamba wanajirekebisha kwa kutumia hili "sinema" tunalolishuhudia kutoka dodoma. Ambalo lina husu kinyonga kubadili rangi bila kubadili mwenendo wake wa maisha.
 
We muongo au unaongozwa na hisia zaidi kwa kuwa wote wanatoka arusha labda,lakini tunaomjua kinana yeye na Lowassa ni chui na paka hata Lowassa anajua kwamba Kinana hajawahi kumkubali na ni yeye Kinana Aliekuwa anamshauri JK (without success)Awatose kina EL na R.A.kwenye kampeni asiende majimboni mwao kuwainua mikono kwani watazidi kuiharibia ccm na kuwapa wakati mgumu kumnadi yeye Jk,pia amekuwa ni kinana ndani ya kamati kuu akiongoza upinzani dhini ya kampeni chafu za E.L. na genge lake dhidi ya SAM SITTA wakitaka kamati kuu imvue uanachama wa ccm mzee Six,na mara ya mwisho ni hivi majuzi kwenye uteuzi wa mgombea uspika atakaesimama kwa niaba ya ccm kila mtu aliona/kusoma jitihada za kinana,membe,chiligati kujaribu kumnusuru Sitta atetea kiti chake huku LOWASSA na genge lake wakimsimamia Spika wa sasa na kuhakikisha SITTA harudi tena,sasa KINANA anakuwaje mtu wa LOWASSA?

Ni kweli unayosema, katika CC kundi la wajumbe wa Zanzibar wakiongozwa na Kificho na Kheri walikuwa wamenunuliwa na Mafisadi na walikuwa hawamtaki SITA.

Actually, wajumbe wa Zanzibar njaa inawaponza wako mifukoni mwa mafisadi
 
Kwa mwenedndo huu: Mkama + Kinana + Nape + Nchimbi (Ms)+ Zagkhia.......matandao JK full. One important thing: I can see Lowasa being Screwed F-u-cked to the level!

Hii ndiyo Timu Rahisi kweli kwa CHADEMA kushika Dola 2015.
 
Nawasalimu wanaJF.kuna taarifa isiyokuwa rasmi kuwa Nape nnauye anaweza kuwa katibu mwenezi wa ccm,kama taarifa hizi ni za kweli basi hizi zitakuwa jitihada maalum za ccm kuhakikisha wanarudisha hadhi ya chama mbele ya vijana(kujivua gamba) kwani vijana ndio wapiga kura wajao.
Je kwa maoni yako unadhani Nape ana mvuto kwa vijana kiasi cha kubadilisha sura ya ccm kwa jamii haswa vijana?

Never interrupt your enemy when he is making a mistake....By Napoleon Bonarpate


 
bagbo akamatwa..................wacha nipoze machungu huku............aljazeera anaonyeshwa.......mi nawatch online hapa......
 
bagbo akamatwa..................wacha nipoze machungu huku............aljazeera anaonyeshwa.......mi nawatch online hapa......

Thread title : Mambo mazito CCM Dodoma: Watajivua gamba?
Edson contribution : bagbo akamatwa

huku ni kujenga ama kubomoa. mi-threads ya Gbagbo imejaa kwenye international forum, huyu jamaa hajaiona. Naomba mod ondoa hiyo post pamoja na hii yangu ili wadau waendelee na makamba, sory magamba.
 
Wadauu eeeh mbona kimya, dodoma kunaendelea nini?
Hawa jamaa inaonekana siasa za makundi zinawamaliza, yaani wanatimiliza usemi wa baba wa taifa, mtu akianza kula nyama ya mtu ataacha kamwe. Makundi, majungu, fitina, uchochezi, wizi vinawachakachua hata hao wenyewe. Aiseee hawa jamaa wanatia kweli huruma, wakimaliza inabidi tuwapeleke kwa babu wakapate kikombe angalau viwili. :mmph:
 
Nitaongeza kinachoendelea kwenye first post ili iwe rahisi watu kunielewa
 
Sasa hivi kuna Press Conference, tutafahamu yote muda si mrefu
 
Mugumu tunakuomba uanzishe thread nyingine later kesho mod wataunganisha na hii

HII thread imekuwa ndefu inachosha kwa wale wanaotumia MOBILE
 
Back
Top Bottom