hatari lakini salama
Senior Member
- Nov 24, 2013
- 131
- 18
Kujitambua kunaweza kukufanya kila siku uonekane shujaa!. Mimi sina ugomvi na wachaga lakini ninachokifahamu juu ya hawa ndugu zangu:- 1. Wachaga wanajua kuinuana, 2. Wajua kutumia furasa zilizopo. HOJA yangu ni kwamba kutokana na utamaduni wa kuinuana ndo utakuta kila baa ya mchawga haiwezi kuuza maji ya kampuni nyingine yeyote ispokua kilimanjaro tu, pia kila ifikapo saa 2:00 usiku ni shelia kuweka itv kuangalia taalifa ya habari, jingine matangazo ya vfo radio one wanakufa wakina kimaro tu!. KHOFU YANGU kutokana na kasumba hizo kunauwekano hawa wanaotimuliwa wanaingilia maslahi ya watu ndo sababu huwezi kuskia MSALITI, MUHAINI kutoka katika familia ya hawa ndugu zetu. Ni hoja nyepesi yenye fikra kubwa. chukua hatua!!!......