mambo 10 ambayo wanawake wanawazidi wanaume

mambo 10 ambayo wanawake wanawazidi wanaume

1. Wana Nguo Nyingi Kuliko
Wanaume.
2. Wanafahamu Nani Ni Baba Halisi
Wa Watoto Wao.
3. Ni Wepesi Kupenda Na Wakipenda
Hupenda Kweli.

4. Wanaoga Mara Nyingi Zaidi Kwa
Siku.
5. Wana Huruma Sana Ingawa Mara
Nyingi Huwa Inawaponza.
6. Wana Uwezo Wa Kubadilisha
Tabia Ya Mwanaume Muda Wowote.
7. Wana Uwezo Wa Kuishi Na
Kupendeza Bila Kuwa Na Kazi Wala
Biashara Yoyote(Akili Kumkichwa).
8. Kwao Nywele Na Kucha Ndo Vitu
Vya Kwanza Kufikiria Wakitaka
Kutoka.
9. Wana Uwezo Wa Ku-Pretend Kwa
Muda Mrefu Zaidi Hasa Kwenye
Mapenzi.
10. Nipe Nyingine Unayodhani
Nimeisahau....!

Hapo kwenye red tu ndo mepapenda¡¡¡
 
Hayo mambo10 yanamhusu hata huyu?
2012041910480500002130640000339172.jpg
 

Attachments

  • bi kiro.jpg
    bi kiro.jpg
    3.3 KB · Views: 82
  • Thanks
Reactions: amu
hapa naunga mkono:
2. Wanafahamu Nani Ni Baba Halisi
Wa Watoto Wao.
3. Ni Wepesi Kupenda Na Wakipenda
Hupenda Kweli.
 
hapa naunga mkono:<br />
<font color="red">2. Wanafahamu Nani Ni Baba Halisi<br />
Wa Watoto Wao.<br />
3. Ni Wepesi Kupenda Na Wakipenda<br />
Hupenda Kweli.<br />
</font>
Hahaha,katika zote umeona hzo 2 tu?
 
Wabahili na watumiaji pale wakipenda ie Anaeza kukwambia sina hata 100 lakini anaeza kukupa hata Laki 5 kwa akiba zake
 
Wabahili na watumiaji pale wakipenda ie Anaeza kukwambia sina hata 100 lakini anaeza kukupa hata Laki 5 kwa akiba zake

Afu wana roho ngumu kisenzi !
Sometimes kama mwanaume umekwama hujaacha "kodi/posho ya meza" wako radhi mmbonji na nenge ilhali wamesunda hata laki!
 
Wana hisia za haraka kuliko wanaume. Kama ni kitu cha huzuni machozi yanawatoka haraka sana, kama ni cha kufurahisha watacheka kwanza.
 
Wanakawia kufika kileleni ambapo wanaume wana uwezo wa kufika mara wanapotaka, iwe mapema au wakawie, wanaamua wenyewe. Kwa mwanamke hafiki haraka hata kama anataka afike haraka. Na ukifika wakati huo, hana uwezo wa ku hold, inabidi kitu kitoke tu wakati huo.
 
Back
Top Bottom