babumapunda
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 4,644
- 3,314
- Thread starter
- #41
Wanakawia kufika kileleni ambapo wanaume wana uwezo wa kufika mara wanapotaka, iwe mapema au wakawie, wanaamua wenyewe. Kwa mwanamke hafiki haraka hata kama anataka afike haraka. Na ukifika wakati huo, hana uwezo wa ku hold, inabidi kitu kitoke tu wakati huo.
nisaidie scientfic proof on dis