msakaa jr
JF-Expert Member
- May 18, 2017
- 6,871
- 7,111
Inasikitisha sana mkuuAcha kuongea ujinga wewe kampuni ya African Queen mgeni wake alishashambuliwa na mambo hapo,hata Tanzania Specialist….
Hao wanaosema hakuna wanafaidika na hiyo sehemu lakin ukweli ni kwamba Mamba Chemka wapo..
Lini matukio haya yalitokea