Bei Rahisi Electronics
Senior Member
- Apr 4, 2025
- 197
- 584
- Thread starter
- #21
Nimemtumia nauli anakujaHebu jaribu kufanya mapenzi tujue kama ni kweli
Nimemtumia nauli anakujaHebu jaribu kufanya mapenzi tujue kama ni kweli
ApanaKwani kabla ya kwenda kwa mganga, ulivyokuwa unafanya mapenzi ulikufa?
Siku chache zijazo tutaona R I P kwenye I'd yako... Utaniachia charger yako mkuuNimemtumia nauli anakuja
Mwambie aje ..ila msifanye mapenzi fanyeni ngono...Hapa demu wangu anataka kuja geto saizi sijui nimjibuje
Wewe na mamaako wote hamjielewiWakuu mama yangu amenipeleka kwa mganga wa kienyeji baada kutoona Maendeleo licha ya kuwa na kazi nzuri masharti niliyopewa nisifanye Mapenzi mpka naoa nikifanya nitakufa hivi ni kweli
Wewe na mama yako mnahitaji spiritual deliveranceWakuu mama yangu amenipeleka kwa mganga wa kienyeji baada kutoona Maendeleo licha ya kuwa na kazi nzuri masharti niliyopewa nisifanye Mapenzi mpka naoa nikifanya nitakufa hivi ni kweli
Jamaa kwani wabamizwa mana yake nniUmri wako?? Mpk upelekwe kilingeni wengine tunajitosa wenyewe mix, ramli na bao afu narudi home,,
Wabamizwa cc Poor Brain DIVISHENI FOO
Huyo mganga ni tapeli mwenye akiliWakuu mama yangu amenipeleka kwa mganga wa kienyeji baada kutoona Maendeleo licha ya kuwa na kazi nzuri masharti niliyopewa nisifanye Mapenzi mpka naoa nikifanya nitakufa hivi ni kweli