Mama yake Zitto avamiwa

Mama yake Zitto avamiwa

mimi nachoshangaa kwanini huyu ben saanane alisema hakuna mtu anaeitwa sabula pale chadema,kwenye moja ya post zake hapa.yawezekana hivi visa wanafanyiana wao kwa wao hawa mahasimu kina yericko nyerere,saanane,shadcole dhidi ya zito bila chama chao kujua.

Umekurupuka,Katika ile post nilikataa kumfahamu mtu anayeitwa 'SaGula'
 
Zitto ni janga katika chama, mimi natumia ID yangu halisi na kila siku huwa napenda kumpa ushauri wa bure ndugu yangu Zitto aachane na siasa za unafiki, kujikweza, kujipendekeza na uroho wa madaraka. Mimi sina kadi ya chama chochote ila napenda harakati za CDM, nakwazika na mtu anayetaka kuichafua. Sasa tutakimbilia wapi CDM ikifa?. Badala ya Zitto kufuata ushauri wangu, amebaki kuni-follow kwenye social networks.
 
chadema wawe makini ccm wameona 2015 imekarbia wanatumia kila njia kuwavuruga...
Mkuu, CHADEMA kipo makini zaidi ya sana, tunatambua kutakuwa na thamthilia nyingi nyingi tu, ila kwa kuwa CDM ipo makini hakuna itakaofanikiwa...
Chedema kwanzia viongozi hadi wanachama na wapenzi wake wa chama wapo smart sana.

Dr. alishamaliza, CDM kiko makini kuliko hata Usalama wa Taifa,CCM, na serikali yake..

Ogopa sana hii kauli na Ushadi ni kuwarecord Usalama wa Taifa wakipanga njama za mashahidi fake kwenye kesi ya kamanda Lwakatale...
 
Kutanguliza mapenzi mbele hata ukiwa msomi ima muelewa wa mambo kiasi gani utaongea au kuandika kimapenzimapenzi. MMJ haujasoma maelezo ya Barcelona au ndio kutanguliza mahaba ukajitoa ufahamu wako? HEBU TWAOMBA MAELEZO YAKO KWENYE COMENT YA BARCELONA MMJ.

Bacelona ameandika kile anachojua au alichosikia au anachohisi...hivyo hiyo ni tahadhari tu kwa chama they can take it or leave it......
Huwezi ukawa unajadili kila komenti na tetesi ya mtu hapa jamvini...mwanakijiji amechagua kumzungumzia Dr.Slaa kwa nafasi yake katika chama na pia ni verified user hapa JF...na kingine evidences alizowakilisha jamvini..
Who is bacelona by the way?
 
Bacelona ameandika kile anachojua au alichosikia au anachohisi...hivyo hiyo ni tahadhari tu kwa chama they can take it or leave it......
Huwezi ukawa unajadili kila komenti na tetesi ya mtu hapa jamvini...mwanakijiji amechagua kumzungumzia Dr.Slaa kwa nafasi yake katika chama na pia ni verified user hapa JF...na kingine evidences alizowakilisha jamvini..
Who is bacelona by the way?

Slaa au mbowe.
 
gazeti la mtanzania kila kukicha ni zitto....yani limekuwa nyenzo muhimu ya kuonyesha umma kuwa zitto apendwi na viongozi wa juu wa chadema..
yani ni bora gazeti la Uhuru. ...ila gazeti la Mtanzania wajue kuwa watanzania ni werevu na wala sio wapumbavu kama wazaniavyo
 
gazeti la mtanzania kila kukicha ni zitto....yani limekuwa nyenzo muhimu ya kuonyesha umma kuwa zitto apendwi na viongozi wa juu wa chadema..
yani ni bora gazeti la Uhuru. ...ila gazeti la Mtanzania wajue kuwa watanzania ni werevu na wala sio wapumbavu kama wazaniavyo

Zitto anapendwa sana na viongozi wake wa chama yaani Mbowe Slaa na wengineo tatizo hafiti katika mfumo unaohitajika kuendelezwa. Ukweli hakuna Raisi aliyeweza kuiongoza Tanzania kwa mafanikio ukilinganisha na waliopita zaidi ya kikwete ila kautingisha mfumo ndio maana anachukiwa sana.
Tanzania tutabakia maskini mpaka pale mfumo utakapovunjwa kwani mfumo wa sasa unawatenga zaidi ya 50% ya wananchi wake.
Mfumo unatumia rasilimali za Taifa kwa kuzisafilisha kwenda Vatican na baadae kurudishwa kidogo kama msaada ila ukilenga kundi la wananchi na wengine kuminywa.
Mungu ni mkubwa kidogokidogo yataisha hata ikibidi kwa mtutu.
 
:yo::nono::tape2::dizzy::A S angel::high5::A S-heart-2:😛layball::bange::caked::lalala::censored::-*:-*:-*:lying::eyeroll1::banplease::smile-big::smile-big::crying:

Nimesoma post zote katika hii thread nimegundua kuwa wengi wenu mume loose your heads
 
:yo::nono::tape2::dizzy::A S angel::high5::A S-heart-2:😛layball::bange::caked::lalala::censored::-*:-*:-*:lying::eyeroll1::banplease::smile-big::smile-big::crying:

Nimesoma post zote katika hii thread nimegundua kuwa wengi wenu mume loose your heads

Mpaka kipenzi chaka Slaa? Unaonekana kama uko sahihi kiasi.
 
Sasa mama wa zito ana nini mpaka atake kufanyiwa unyama kwanza huyu mama si mlemavu,huyu ni malando pasipo shaka make yeye ndiye kapewa jukum la kumchafua zito.

Hilo jukumu amepewa na baba yako?
 
Back
Top Bottom