Mama yake Zitto avamiwa

Mama yake Zitto avamiwa

Dr.W.Slaa,

Kwanini unasema mama Zitto ametoa sh 30,000 mbona hutaji na wengine wametoa sh ngapi?

Huoni kama hii haijakaa vizuri , pengine una malengo ya kumharibia mama wa watu sifa mbele ya chama chake na jamii?
 
Dr.W.Slaa,

Kwanini unasema mama Zitto ametoa sh 30,000 mbona hutaji na wengine wametoa sh ngapi?

Huoni kama hii haijakaa vizuri , pengine una malengo ya kumharibia mama wa watu sifa mbele ya chama chake na jamii?

Maundumula,

Ungesoma gazeti la Mtanzania na kisha kusoma maelezo ya Dr.Slaa usingeuliza swali hilo.
 
Last edited by a moderator:
Dr.W.Slaa,

Kwanini unasema mama Zitto ametoa sh 30,000 mbona hutaji na wengine wametoa sh ngapi?

Huoni kama hii haijakaa vizuri , pengine una malengo ya kumharibia mama wa watu sifa mbele ya chama chake na jamii?

Atamharibia!!!? zaidi ya alivyojiharibia mwenyewe kwa kukubali kutumiwa kuandaa hii tamthilia ya kitoto,ambayo
haitazaa matunda waliyoyakusudia!!
 
Atampaje pole na wakati hawafahamiani?

Mimi nilijua Ben Saanane na Zitto wote wana mamlaka za juu ndani ya chama?!.

Basi kuna haja kwa chama kuandaa kama ka team building weekend na angalau ka Party waende South Beach wakafahamiane.
 
Ha ha ha ha, kuwe na faya eksitingwisha na yale magari ya faya yenye maji
Just in case kukawa na eksiplosheni

Mimi nilijua Ben Saanane na Zitto wote wana mamlaka za juu ndani ya chama?!.

Basi kuna haja kwa chama kuandaa kama ka team building weekend na angalau ka Party waende South Beach wakafahamiane.
 
Ha ha ha ha, kuwe na faya eksitingwisha na yale magari ya faya yenye maji
Just in case kukawa na eksiplosheni

Tumeambiwa na Wenje kwamba serikali ya 2015 Zitto ni waziri wa fedha na huyu Ben Saanane ni naibu wake sasa pale ofisini watakaa vipi? mimi wakitaka na event organizer I will hook them up :biggrin:
 
Inaonekana BEN SAANANE anawatoa jasho sana, eehh? Kila mkilala mnamuota yeye!!

Mkuu MOSSAD II , hawa vijana wa magamba wakimuona Ben Saanane Kwenye uzi wowote wanaanza kutapatapa, na bila kumuongelea Dr.W.Slaa naona hawapati posho, kutwa kumuongea na kuzusha mambo ya ajabu ajabu.

Uzuri ni watu walelawe wa kikundi kile kile, wanaongea yale yale.....tulishawafahamu wala hawatusumbui hapa jamvini na kukote kule....
 
Last edited by a moderator:
Silence :shut-mouth: is the best answer for any kind of 'provocation'
Mwerevu hasemi kila alijualo bali hujua kila alisemalo.
 
Tumeambiwa na Wenje kwamba serikali ya 2015 Zitto ni waziri wa fedha na huyu Ben Saanane ni naibu wake sasa pale ofisini watakaa vipi? mimi wakitaka na event organizer I will hook them up :biggrin:
Kumbe huwa tunajibishana na mtoto, kwa hii post ndio nimeshakufahamu....
 
Hook them kabla ya 2015, wakiwa mawaziri ofisi moja!!!
Watakuwa wanajadiliana kwa bluututhi

Tumeambiwa na Wenje kwamba serikali ya 2015 Zitto ni waziri wa fedha na huyu Ben Saanane ni naibu wake sasa pale ofisini watakaa vipi? mimi wakitaka na event organizer I will hook them up :biggrin:
 
Back
Top Bottom