Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,550
- 3,092
Dr.W.Slaa,
Kwanini unasema mama Zitto ametoa sh 30,000 mbona hutaji na wengine wametoa sh ngapi?
Huoni kama hii haijakaa vizuri , pengine una malengo ya kumharibia mama wa watu sifa mbele ya chama chake na jamii?
Kwanini unasema mama Zitto ametoa sh 30,000 mbona hutaji na wengine wametoa sh ngapi?
Huoni kama hii haijakaa vizuri , pengine una malengo ya kumharibia mama wa watu sifa mbele ya chama chake na jamii?