Mama yake Zitto avamiwa

Mama yake Zitto avamiwa

GAzeti la Mtanzania linaripoti Mama mzazi wa zitto kabwe amevamiwa na majambazi.
Walikuwa wanataka computer na kiwekea kumbukumbu flash.
Kada wa CHADEMA atajwa kutambuliwa na mama huyo.Alikuwa miongoni wa majambazi waliomvamia.

Yaaaani, majambazi wa siku hizi za digital ya ajabu sana, yanaenda kumteka mtu ambaye yanafahamu kuwa anayafahamu, bado hayahangaiki kuficha uso au kuijficha. Haya yatakuwa ndio yanaanza kujifunza ujambazi, yale yaliyokubuhu, anayefahamika hawezi kujitokeza umwone wewe unayemfahamu; na ikitokea umemwona jua ndio mwisho wa maisha yako. Iweje jambazi anayefahamika ajianike wazi, kwanini aiwaache wale wasifahamika washughulike na hiyo deal.
 
Mkuu MOSSAD II , hawa vijana wa magamba wakimuona Ben Saanane Kwenye uzi wowote wanaanza kutapatapa, na bila kumuongelea Dr.W.Slaa naona hawapati posho, kutwa kumuongea na kuzusha mambo ya ajabu ajabu.

Uzuri ni watu walelawe wa kikundi kile kile, wanaongea yale yale.....tulishawafahamu wala hawatusumbui hapa jamvini na kukote kule....

Nadhani wote wana akili ya NEPI: Civics-F. English-F, B.Maths-F!! Their thinking capacities are sinking as days goes on!!!!!!!!
 
Maundumula,

Ungesoma gazeti la Mtanzania na kisha kusoma maelezo ya Dr.Slaa usingeuliza swali hilo.



Zitto anapendwa sana na viongozi wake wa chama yaani Mbowe Slaa na wengineo tatizo hafiti katika mfumo unaohitajika kuendelezwa. Ukweli hakuna Raisi aliyeweza kuiongoza Tanzania kwa mafanikio ukilinganisha na waliopita zaidi ya kikwete ila kautingisha mfumo ndio maana anachukiwa sana.
Tanzania tutabakia maskini mpaka pale mfumo utakapovunjwa kwani mfumo wa sasa unawatenga zaidi ya 50% ya wananchi wake.
Mfumo unatumia rasilimali za Taifa kwa kuzisafilisha kwenda Vatican na baadae kurudishwa kidogo kama msaada ila ukilenga kundi la wananchi na wengine kuminywa.
Mungu ni mkubwa kidogokidogo yataisha hata ikibidi kwa mtutu.
 
Last edited by a moderator:
KISA CHA MAMAZITTO KUVAMIWA NA TAFAKURI YANGU!
hizi ni siasa chafu zenye mikono na mtandao wa wanasiasawaliofilisika kisera kama wassira,mwigulu na nape na UTABIRI wao wa kuwaCDM itakufa kabla ya 2015 na hii ni sehemu ya mikakati yao dhaifu! Hasa baadaya mkakati wa Video ya Lwakatare kufanya vibaya sokoni(kuwa unaUKAKASIna umepoteza mvuto na kuanza kuwatafuna waliohusuka(polisi,usalama,ccm naserikali)
kwakuwa zitto na ***** na baadhi wa wanahabari nisehemu ya mkakati huu wa wanasiasa muflisi ni rahisi kujua kuwa hamnajipya hapa!
MAMBO YA MTUMAKINI KUTAFAKARI:-
Habari ya Mama Zitto imeandikwa na gazeti la MTANZANIApekee yake(mmiliki ni Rostam A,CEO-Ni Bashe) tujiulize ilikuwaje MAMA Zitto akamjulishamwandishe wa gazeti la Mtanzania tu!siasa chafu dhidi ya CDM!
Habari ya Mama Zitto imekihusisha moja kwa moja CDMMama Zitto kama vile Mama Zitto kutambua kuwa baadhi ya waliomvamia niwanachama wa CDM? siasa chafu dhidi ya CDM!
Kwanini habari ya Mama Zitto imehusisha matakwa ya Zittoya Urais na Uenyekiti wa CDM?siasa chafu dhidi ya CDM
Majibu ambayo mama zitto anadai kujibiwa na viongozi wajuu wa CDM yanatia shaka kwa watu makini na kwa mwanachama mwenye nia njema nachama chake!siasa chafu dhidi ya CDM!
Tunaviongozi wetu kweny CHAMA tawala na SERIKALIwanaamini kuwa ukitunga upuuzi na upumbavu dhidi ya chama au mtu binafsi hatakama hauna kichwa wala miguu WATANZANIA watauamini na kuukubali kwakuwa etiwanaamini kuwa watanzania si watu wa kutafakari na kupembua mambo kwakina,WATANZANIA tukae hii tabia!
 
Hii ni ishu aliyoitengeneza Dr Slaa kupitia vijana wake akina Lwesye kwa bahati mbaya alivyogunduliwa akaanzisha ID mpya haraka jina Barcelona na kutengeneza mchakato mzima jinsi move itakavyoenda mpaka mwisho.
Yote haya sio kwakuwa hapendi michango ya zitto katika kukuza chama hapana
Zitto anapendwa sana na viongozi wake wa chama yaani Mbowe Slaa na wengineo tatizo hafiti katika mfumo unaohitajika kuendelezwa. Ukweli hakuna Raisi aliyeweza kuiongoza Tanzania kwa mafanikio ukilinganisha na waliopita zaidi ya kikwete ila kautingisha mfumo ndio maana anachukiwa sana.
Tanzania tutabakia maskini mpaka pale mfumo utakapovunjwa kwani mfumo wa sasa unawatenga zaidi ya 50% ya wananchi wake.
Mfumo unatumia rasilimali za Taifa kwa kuzisafilisha kwenda Vatican na baadae kurudishwa kidogo kama msaada ila ukilenga kundi la wananchi na wengine kuminywa.
Mungu ni mkubwa kidogokidogo yataisha hata ikibidi kwa mtutu.
 
KISA CHA MAMAZITTO KUVAMIWA NA TAFAKURI YANGU!
hizi ni siasa chafu zenye mikono na mtandao wa wanasiasawaliofilisika kisera kama wassira,mwigulu na nape na UTABIRI wao wa kuwaCDM itakufa kabla ya 2015 na hii ni sehemu ya mikakati yao dhaifu! Hasa baadaya mkakati wa Video ya Lwakatare kufanya vibaya sokoni(kuwa unaUKAKASIna umepoteza mvuto na kuanza kuwatafuna waliohusuka(polisi,usalama,ccm naserikali)
kwakuwa zitto na ***** na baadhi wa wanahabari nisehemu ya mkakati huu wa wanasiasa muflisi ni rahisi kujua kuwa hamnajipya hapa!
MAMBO YA MTUMAKINI KUTAFAKARI:-
Habari ya Mama Zitto imeandikwa na gazeti la MTANZANIApekee yake(mmiliki ni Rostam A,CEO-Ni Bashe) tujiulize ilikuwaje MAMA Zitto akamjulishamwandishe wa gazeti la Mtanzania tu!siasa chafu dhidi ya CDM!
Habari ya Mama Zitto imekihusisha moja kwa moja CDMMama Zitto kama vile Mama Zitto kutambua kuwa baadhi ya waliomvamia niwanachama wa CDM? siasa chafu dhidi ya CDM!
Kwanini habari ya Mama Zitto imehusisha matakwa ya Zittoya Urais na Uenyekiti wa CDM?siasa chafu dhidi ya CDM
Majibu ambayo mama zitto anadai kujibiwa na viongozi wajuu wa CDM yanatia shaka kwa watu makini na kwa mwanachama mwenye nia njema nachama chake!siasa chafu dhidi ya CDM!
Tunaviongozi wetu kweny CHAMA tawala na SERIKALIwanaamini kuwa ukitunga upuuzi na upumbavu dhidi ya chama au mtu binafsi hatakama hauna kichwa wala miguu WATANZANIA watauamini na kuukubali kwakuwa etiwanaamini kuwa watanzania si watu wa kutafakari na kupembua mambo kwakina,WATANZANIA tukae hii tabia!

Hii ni ishu aliyoitengeneza Dr Slaa kupitia vijana wake akina Lwesye ila kwa bahati mbaya alivyogunduliwa akaanzisha ID mpya haraka jina Barcelona na kutengeneza mchakato mzima jinsi move itakavyoenda mpaka mwisho.
Yote haya sio kwakuwa hapendi michango ya zitto katika kukuza chama hapana
Zitto anapendwa sana na viongozi wake wa chama yaani Mbowe Slaa na wengineo tatizo hafiti katika mfumo unaohitajika kuendelezwa. Ukweli hakuna Raisi aliyeweza kuiongoza Tanzania kwa mafanikio ukilinganisha na waliopita zaidi ya kikwete ila kautingisha mfumo ndio maana anachukiwa sana.
Tanzania tutabakia maskini mpaka pale mfumo utakapovunjwa kwani mfumo wa sasa unawatenga zaidi ya 50% ya wananchi wake.
Mfumo unatumia rasilimali za Taifa kwa kuzisafilisha kwenda Vatican na baadae kurudishwa kidogo kama msaada ila ukilenga kundi la wananchi na wengine kuminywa.
Mungu ni mkubwa kidogokidogo yataisha kwani uonevu una mwisho.
 
Zitto anapendwa sana na viongozi wake wa chama yaani Mbowe Slaa na wengineo tatizo hafiti katika mfumo unaohitajika kuendelezwa. Ukweli hakuna Raisi aliyeweza kuiongoza Tanzania kwa mafanikio ukilinganisha na waliopita zaidi ya kikwete ila kautingisha mfumo ndio maana anachukiwa sana.
Tanzania tutabakia maskini mpaka pale mfumo utakapovunjwa kwani mfumo wa sasa unawatenga zaidi ya 50% ya wananchi wake.
Mfumo unatumia rasilimali za Taifa kwa kuzisafilisha kwenda Vatican na baadae kurudishwa kidogo kama msaada ila ukilenga kundi la wananchi na wengine kuminywa.
Mungu ni mkubwa kidogokidogo yataisha hata ikibidi kwa mtutu.

We umetoka wapi, mbona akili yako imechoka hivyo? Yaani Kikwete ataongozaje kwa mafanikio wakati hata hajui kwa nini Tanzania ni nchi maskini regardless ya natural resources kuliko hata Uingereza! Au na we ni KILAZA tu!!
 
kadiri chama changu cha CHADEMA kinavyozidi kuchafuliwa kwa mambo ya kutungwa na yacyokuwa na hata chembe ya ukweli,MOYO WANGU NDO KWANZA UNAZIDI KUKIPENDA CHAMA CHANGU CHA CHADEMA..
Dr.w.slaa,katibu wetu,labda kuna hatua gani mmechukua ama mmepanga kuchukua kuhusu hili gazeti la mtanzania coz kila cku limekua likiichafua CHADEMA kwa habari za uongo,mfano mzuri hii habari inayomuhusu mama yake zito..
 
Mfumo unatumia rasilimali za Taifa kwa kuzisafilisha kwenda Vatican na baadae kurudishwa kidogo kama msaada ila ukilenga kundi la wananchi na wengine kuminywa..
Nenda Loliondo ndo utajuwa kama ni vatican...Pole sana brainwashed.
 
We umetoka wapi, mbona akili yako imechoka hivyo? Yaani Kikwete ataongozaje kwa mafanikio wakati hata hajui kwa nini Tanzania ni nchi maskini regardless ya natural resources kuliko hata Uingereza! Au na we ni KILAZA tu!!

Hata wewe lazima ushangae raisi kusema hajui kwanini Tanzania ni maskini kwa kuwa utaratibu uliopo ni kupeleka maliasili zetu vatican kisha kurudishwa kama misaada kwakundi la watu wachache wengi wanabakia kupiga miayo tu unadhani angejibu nini? Angeongea ukweli huenda wangemdedisha.
 
15:35 - Zitto anapendwa sana na viongozi wake wa chama yaani Mbowe Slaa na wengineo tatizo hafiti katika mfumo unaohitajika kuendelezwa. Ukweli hakuna Raisi aliyeweza kuiongoza Tanzania kwa mafanikio ukilinganisha na waliopita zaidi ya kikwete ila kautingisha mfumo ndio maana anachukiwa sana.
Tanzania tutabakia maskini mpaka pale mfumo utakapovunjwa kwani mfumo wa sasa unawatenga zaidi ya 50% ya wananchi wake.
Mfumo unatumia rasilimali za Taifa kwa kuzisafilisha kwenda Vatican na baadae kurudishwa kidogo kama msaada ila ukilenga kundi la wananchi na wengine kuminywa. Mungu ni mkubwa kidogokidogo yataisha hata ikibidi kwa mtutu.
15:45 blah blah...
Zitto anapendwa sana na viongozi wake wa chama yaani Mbowe Slaa na wengineo tatizo hafiti katika mfumo unaohitajika kuendelezwa. Ukweli hakuna Raisi aliyeweza kuiongoza Tanzania kwa mafanikio ukilinganisha na waliopita zaidi ya kikwete ila kautingisha mfumo ndio maana anachukiwa sana.
Tanzania tutabakia maskini mpaka pale mfumo utakapovunjwa kwani mfumo wa sasa unawatenga zaidi ya 50% ya wananchi wake.
Mfumo unatumia rasilimali za Taifa kwa kuzisafilisha kwenda Vatican na baadae kurudishwa kidogo kama msaada ila ukilenga kundi la wananchi na wengine kuminywa. Mungu ni mkubwa kidogokidogo yataisha hata ikibidi kwa mtutu.
15:48 - blah blah...
Zitto anapendwa sana na viongozi wake wa chama yaani Mbowe Slaa na wengineo tatizo hafiti katika mfumo unaohitajika kuendelezwa. Ukweli hakuna Raisi aliyeweza kuiongoza Tanzania kwa mafanikio ukilinganisha na waliopita zaidi ya kikwete ila kautingisha mfumo ndio maana anachukiwa sana.
Tanzania tutabakia maskini mpaka pale mfumo utakapovunjwa kwani mfumo wa sasa unawatenga zaidi ya 50% ya wananchi wake.
Mfumo unatumia rasilimali za Taifa kwa kuzisafilisha kwenda Vatican na baadae kurudishwa kidogo kama msaada ila ukilenga kundi la wananchi na wengine kuminywa. Mungu ni mkubwa kidogokidogo yataisha kwani uonevu una mwisho.
Duh, tuna safari ndefu! Naona wafa maji wanataka wazame na Chadema! Nadhani mods wengi zaidi wanahitajika kwani mwaka huu wa 2013 ni balaa! Chadema ilitakiwa ife lakini wapi...it appears to have even more lives than a cat! Kaazi kweli kweli!
 
kadiri chama changu cha CHADEMA kinavyozidi kuchafuliwa kwa mambo ya kutungwa na yacyokuwa na hata chembe ya ukweli,MOYO WANGU NDO KWANZA UNAZIDI KUKIPENDA CHAMA CHANGU CHA CHADEMA..
Dr.w.slaa,katibu wetu,labda kuna hatua gani mmechukua ama mmepanga kuchukua kuhusu hili gazeti la mtanzania coz kila cku limekua likiichafua CHADEMA kwa habari za uongo,mfano mzuri hii habari inayomuhusu mama yake zito..

Sema kadili mfumo unatingishwa ndivyo presha inavyozidi kwako bila utakuwa unahisi kizunguzungu.
 
Duh, tuna safari ndefu! Naona wafa maji wanataka wazame na Chadema! Nadhani mods wengi zaidi wanahitajika kwani mwaka huu wa 2013 ni balaa! Chadema ilitakiwa ife lakini wapi...it appears to have even more lives than a cat! Kaazi kweli kweli!

Asante kwakuunganisha ili watu wasome vizuri na kuelewa blah blah hizo.
Mbegu uliyomezeshwa na kufundishwa hukooo na wakuu wenu inalitafuna taifa kidogokidogo, lakini hakika inawezekana kabisa kuwa muda mrefu utaifa wetu utabakia kwenye vitabu vya historia.
 
Ben Saanane napenda sana kaka unavyowajibu wazandiki ambao kazi yao kujaribu kudivert ukwel halisi humu,

Pia nimependa majibu ya Rais wangu Dr.W.Slaa ambayo yameondoa ukungu wote na kufifisha propaganda zote zenye lengo ovu humu.

Lastly: Maoni yangu binafsi namuomba kiongozi Zitto asome alama na nyakati, Amuache mama yetu mama Lulu abaki na heshima yake ambayo tumekuwa tukimpa kwani kwa uchunguzzi wangu binafsi inaonesha ni muendelezo ule ule wa sarakasi zenu ambazo hazijawahi kufanikiwa,

CHADEMA ni mpango wa Mungu na yeyote atakayesaliti na kuhujumu kamwe hatobaki salama.

Shard Kole@Tabora1
 
Last edited by a moderator:
Hata wewe lazima ushangae raisi kusema hajui kwanini Tanzania ni maskini kwa kuwa utaratibu uliopo ni kupeleka maliasili zetu vatican kisha kurudishwa kama misaada kwakundi la watu wachache wengi wanabakia kupiga miayo tu unadhani angejibu nini? Angeongea ukweli huenda wangemdedisha.

Kweli wewe ni tatizo kubwa kwa nchi hii!! Bora ungezaliwa ukiwa jongoo tu!!
 
KISA CHA MAMAZITTO KUVAMIWA NA TAFAKURI YANGU!
hizi ni siasa chafu zenye mikono na mtandao wa wanasiasawaliofilisika kisera kama wassira,mwigulu na nape na UTABIRI wao wa kuwaCDM itakufa kabla ya 2015 na hii ni sehemu ya mikakati yao dhaifu! Hasa baadaya mkakati wa Video ya Lwakatare kufanya vibaya sokoni(kuwa unaUKAKASIna umepoteza mvuto na kuanza kuwatafuna waliohusuka(polisi,usalama,ccm naserikali)
kwakuwa zitto na ***** na baadhi wa wanahabari nisehemu ya mkakati huu wa wanasiasa muflisi ni rahisi kujua kuwa hamnajipya hapa!
MAMBO YA MTUMAKINI KUTAFAKARI:-
Habari ya Mama Zitto imeandikwa na gazeti la MTANZANIApekee yake(mmiliki ni Rostam A,CEO-Ni Bashe) tujiulize ilikuwaje MAMA Zitto akamjulishamwandishe wa gazeti la Mtanzania tu!siasa chafu dhidi ya CDM!
Habari ya Mama Zitto imekihusisha moja kwa moja CDMMama Zitto kama vile Mama Zitto kutambua kuwa baadhi ya waliomvamia niwanachama wa CDM? siasa chafu dhidi ya CDM!
Kwanini habari ya Mama Zitto imehusisha matakwa ya Zittoya Urais na Uenyekiti wa CDM?siasa chafu dhidi ya CDM
Majibu ambayo mama zitto anadai kujibiwa na viongozi wajuu wa CDM yanatia shaka kwa watu makini na kwa mwanachama mwenye nia njema nachama chake!siasa chafu dhidi ya CDM!
Tunaviongozi wetu kweny CHAMA tawala na SERIKALIwanaamini kuwa ukitunga upuuzi na upumbavu dhidi ya chama au mtu binafsi hatakama hauna kichwa wala miguu WATANZANIA watauamini na kuukubali kwakuwa etiwanaamini kuwa watanzania si watu wa kutafakari na kupembua mambo kwakina,WATANZANIA tukae hii tabia!

chuki zenu dhidi ya hapo kwenye red ndio zilizowafanya muamue kufikiria kumuua, mbona mlijaribu kwa sumu pia mkashindwa??? ingekuwa mke wako au mama yako amefanyiwa haya ungeandika haya???? umemuuliza mama zitto akakwambia yeye ndio aliyeenda sinza akitokea tabata kwenda kuripoti???? tangu lini tanzania daima likaandika maovu ya chadema???? tangu lini chadema wamekubali madhaifu yao???na huko mwanza mlichomfanyia kilikuwa kitendo kidogo??? acheni roho mbaya, avheni husuda, acheni chuki..kama riziki ipo, ipo tu.
 
Ben Saanane napenda sana kaka unavyowajibu wazandiki ambao kazi yao kujaribu kudivert ukwel halisi humu,

Pia nimependa majibu ya Rais wangu Dr.W.Slaa ambayo yameondoa ukungu wote na kufifisha propaganda zote zenye lengo ovu humu.

Lastly: Maoni yangu binafsi namuomba kiongozi Zitto asome alama na nyakati, Amuache mama yetu mama Lulu abaki na heshima yake ambayo tumekuwa tukimpa kwani kwa uchunguzzi wangu binafsi inaonesha ni muendelezo ule ule wa sarakasi zenu ambazo hazijawahi kufanikiwa,

CHADEMA ni mpango wa Mungu na yeyote atakayesaliti na kuhujumu kamwe hatobaki salama.

Shard Kole@Tabora1

unajiparagua kweli kweli.
 
asante sana Dr W Slaa,nimefurahi sana kwa wewe binafsi kufanya ufuatiliaji wa karibu juu ya swala hili na kuleta majibu ambayo sasa yanaweza kuondoa ule ukungu ulikuwa ukituandama.
 
KISA CHA MAMAZITTO KUVAMIWA NA TAFAKURI YANGU!
hizi ni siasa chafu zenye mikono na mtandao wa wanasiasawaliofilisika kisera kama wassira,mwigulu na nape na UTABIRI wao wa kuwaCDM itakufa kabla ya 2015 na hii ni sehemu ya mikakati yao dhaifu! Hasa baadaya mkakati wa Video ya Lwakatare kufanya vibaya sokoni(kuwa unaUKAKASIna umepoteza mvuto na kuanza kuwatafuna waliohusuka(polisi,usalama,ccm naserikali)
kwakuwa zitto na ***** na baadhi wa wanahabari nisehemu ya mkakati huu wa wanasiasa muflisi ni rahisi kujua kuwa hamnajipya hapa!
MAMBO YA MTUMAKINI KUTAFAKARI:-
Habari ya Mama Zitto imeandikwa na gazeti la MTANZANIApekee yake(mmiliki ni Rostam A,CEO-Ni Bashe) tujiulize ilikuwaje MAMA Zitto akamjulishamwandishe wa gazeti la Mtanzania tu!siasa chafu dhidi ya CDM!
Habari ya Mama Zitto imekihusisha moja kwa moja CDMMama Zitto kama vile Mama Zitto kutambua kuwa baadhi ya waliomvamia niwanachama wa CDM? siasa chafu dhidi ya CDM!
Kwanini habari ya Mama Zitto imehusisha matakwa ya Zittoya Urais na Uenyekiti wa CDM?siasa chafu dhidi ya CDM
Majibu ambayo mama zitto anadai kujibiwa na viongozi wajuu wa CDM yanatia shaka kwa watu makini na kwa mwanachama mwenye nia njema nachama chake!siasa chafu dhidi ya CDM!
Tunaviongozi wetu kweny CHAMA tawala na SERIKALIwanaamini kuwa ukitunga upuuzi na upumbavu dhidi ya chama au mtu binafsi hatakama hauna kichwa wala miguu WATANZANIA watauamini na kuukubali kwakuwa etiwanaamini kuwa watanzania si watu wa kutafakari na kupembua mambo kwakina,WATANZANIA tukae hii tabia!

acha kutumika wewe, umekua sasa.jiheshimu..
MAELEZO YA MAMA ZITTO
Shida alikwenda kuripoti tukio hilo katika kituo cha polisi cha tabata na kufunguliwa jalada na. TAB/RB/2898/CCY/13 lakini aliambiwa kuwa tukio hilo ni kubwa kwa hiyo akaripoti kituo cha polisi cha Buguruni ambacho ni kikubwa. Alikwenda kuripoti kituo cha buguruni na kufunguliwa jalada no.BUG/RB/5153 LA KOSA LA KUTISHIA KUUA KWA BASTOLA.
Baada ya kutoka hapo polisi , Shida alimpigia simu katibu mkuu wa CHADEMA DR. WILIBROD SLAA na kumueleza juu ya tukio hilo, DR Slaa alimwambia kwamba aende kuripoti katika ofisi yao ya ulinzi na usalama makao makuu ya CHADEMA. Alipoenda ofisi ya ulinzi na usalama alimkuta Naibu mkurugenzi wa ulinzi na usalama aitwaye AHMED SABULA ambaye alimwambia Shida kwamba, wamepata habari juu ya tukio hilo na pia wanazo habari za yeye kupita mikoani kumnadi mwane Zitto Kabwe ili apate uenyekiti wa CHADEMA. Maneno hayo yalimkatisha tamaa, Akaamua kuondoka, lakini alipofika njiani alipigiwa simu na Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe ambaye alimfokea kwanini alikwenda kueleza tukio la kuvamiwa na vijana hapo makao makuu ya CHADEMA. Mama SHIDA shida alikosa la kusema na hatimaye akaanza kuamini kuwa vijana wale walitumwa na Mbowe ili kumtisha au kumdhuru
MAMA ZITTO amesema kuwa alipokuwa mwanza, hotelini aliwahi pia kuvamiwa na vijana wawili wa kiume ambao walijifanya wamepotea chumba.
 
Back
Top Bottom