Mama yake Zitto avamiwa

ila huu mtindo wa kutumia jina "ZITTO" kuzoofisha CHADEMA .. unakera na kutia hasira sana .. maana issue nyingi sana zinazoonekana zinaweza kuichafua CHADEMA jina ZITTO lazima lijitokeze sasa mimi kuna maswali ya msingi huwa najiuliza

1.walio nyuma ya huu mpango "wanajijua " wanahisi Jina ZITTO lina impact sana kwenye Hili vuguvugu la MABADILIKO ambapo wananchi walio wengi wamechosha na MAISHA MAGUMU na wako tayari kwa mabadiliko..? kwa maana nyingine wanahisi kutumia jina zitto nakuonekana ni mtu ambaye anaonewa na ndani ya chadema kunaweza kubadili upepo wa kisiasa kwa kutumia influence ya zitto kwenye jamii..?

2.Je ZITTO anaushawishi wa kiasi hicho kiasi cha wao kuamini wanaweza wakaibomoa CHADEMA na kuteketeza harakati za MABADILIKO ambazo kwa vyovyote vile hakuna anaweza kuzizuia ukizingatia WANANCHI wameshachoka na haya maisha MABOVU. kutuimia jina zitto.?

huu ni mtazamo wangu binafsi bado huwa na uamini sana kutokana na kuunganisha matukio inaonekana ZITTO ana mtazamo na msimamo tofauti na viongozi wengi wa chadema jambo ambalo hakatazwi ila Huo MTAZAMO na MSIMAMO wake unaonekana kutoungwa mkono na viongozi walio wengi na ndio huwa unatumiwa kama kete ya kutengeneza migogoro kati yake na viongozi wengine ...
Binafsi naamini kama zitto anataendela na misamo yake hasa ila ya one man army sidhani kama atafika mbali

hili na kuvamiwa kwa mama yake si jambo zuri na binafsi natoa pole sana kwake
ila kulihusisha na CHAMA naona sasa NI KUKICHAFUA CHAMA ....
NINACHO AMINI KWA SASA MABADILIKO NI LAZIMA KWA HIKI KIZAZI NA KINACHOKUJA ..
yangu ni hayo
Mkuu, nguvu ya zitto ndani ya cdm usipime, kama huamini basi muulize dr slaa
 
bacelona is offline
bacelona
Today 14:38
#289 Report Post
bacelona's Avatar
Junior Member Array

Join Date : 24th April 2013
Posts : 5


Rep Power : 302

Likes Received
6
Likes Given
0

Default Re: Kilichopo nyuma ya uvamizi wa Mama Zitto ni hiki - CHADEMA chukueni hatua!

naona mkuu umeamua kufungua ID kwa ajili ya pre empting.
Join Date : 8th April 2013
Posts : 853
Rep Power : 473
Likes Received108
Likes Given36
 
tatizo lenu mnajua CHADEMA ni DR.Slaa na Mbowe, CHADEMA ni ya UMMA...
 
Siasa maji taka eti ametoa wapi pesa za kuzunguka mikoa yote kumnadi Zitto,? hivi anategemea kunadiwa na mama yake? Usalama wa taifa kwa kutengeneza move juu ya move, hii si wangesubiri uchaguzi wa ndani ukianza? wameshachemka mapema sana aise!

Mama Lulu,Tunakuheshimu sana tunakupenda ila fanya yako na sisi vijana tufanye yetu, ....
Usikubali kuwa mnafiki kwa kushinikizwa au kulaghaiwa kwa vijiposho vya muda mfupi
 
bungeni wewe ni kada wa hatari,mambo ya makao makuu ya CHADEMA UMEYAPATA WAPI.kuweni makini na propaganda zenu,tukio la uhalifu ni tukio la uharifu tu,so mambo ya siasa hapo yana toka wapi,hivi sumu ya mwakyembe aliyokuwa anairatibu ni nani kama sio CCM na serikali ya JK,VIPI AJARI WALIYOKUWA WANATAKA KUMTENGENEZEA MWAKYEMBE,vipi tindikali ya KUBENEA,vipi kuvamiwa kwa ofisi za mwanahalisi,vipi mambo ya DR ULIMBOKA kaka ccm ni waovu ila MUNGU yupo atawaumbua tu mchana kweupe
 
Last edited by a moderator:
Only fools can believe this rubbish by mtanzania tabloid!!!!

Watanzania amkeni! Acheni kumeza kila uchafu unaotoka ccm na vyombo vyake.
 
Usikubali kuwa mnafiki kwa kushinikizwa au kulaghaiwa kwa vijiposho vya muda mfupi

Join Date : 22nd February 2013
Posts : 1,039
Rep Power : 516
Likes Received81
Likes Given10

Unatisha muda mfupi Post kibao, naona mnalipwa kwa wingi wa posts, poleni sana magamba
 

"Nilijua kuwa ninakufa, sikuona haja ya kubishana nao sana, nikamwita dereva wangu, Mtana, alete simu yangu niliyokuwa nikiichaji chumbani na flash ili niwapatie, wakati akielekea kuvichukua aliwaona walivyokuwa wameniwekea bastola, akakimbia moja kwa moja chumbani akajifungia na kuanza kupiga kelele, wakatoka haraka wakakimbia," alisema.

Alipoulizwa iwapo hawakupata upinzani wowote kutoka kwa mlinzi aliyekuwa getini au majirani walishtushwa na kelele za dereva wake, alisema wakati wanatoka geti lilikuwa wazi na mlinzi alikuwa akiosha gari nje, hivyo ilikuwa rahisi kutoka na gari lao na kutokomea.

Alisema anaweza kuwatambua watu hao akiwaona na kwamba mmoja wao si mgeni machoni mwake, kwa sababu aliwahi kumuona mkoani Tanga katika moja shughuli za chama hicho.

alimfikishia taarifa Kaimu Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chadema, Ahmed Sagula, lakini katika hatua ambayo hakuitegemea, naye alimhoji mahali anakopata fedha za kuzunguka mikoani kumnadi Zitto, kabla ya kumuahidi kushughulikia malalamiko yake.


1. Kama mweli walihitaji Laptop, hivi wasingeipata bila hata ya kutumia Bastora?
2. Gaidi hata siku moja hakupi nafasi ya kumwita mtu mwingine, ni kimya kimya unawekewa mtutu na wewe
mwenyewe pamoja nao unatangua chumbani kuonyesha na kutoa wananchokitaka.
3. Kwa nini mlizi aache gate wazi?

Tumia akili zaidi kutafakari sentensi moja moja

1. Dereva ni shahidi kwa pili kwamba alimwona huyo kada wa chama alitoa bastora
2. Tayari Kaimu Mkurungezi wa Usalama wa Taifa yumo kwenye kesi hii
3. Mlinzi naye pia ni shahidi wa tatu katika gwalide la utambuzi
4. Yule kada wa CDM aliyetambuliwa lazima atakuwa mwananchama kweli na atasema ukweli kwamba alitumwa na Kaimu Mkurungezi wa ulinzi na usalama.

Kesi ni ya Ughaidi - inakituhumu chama cha demokrasia na maendeleo. inaweza kuunganihswa na ile ya kwanza ili kupata vitu kamili.

Yetu macho -- Tanzania oyeeeeeeeeee!!!

My Take: Kulikuwa hakuna haja ya kuanzisha vyama vingi kama kweli hatukuwa na nia ya dhati ya kushindana kwa hoja:
 
CHADEMA Bila ZITTO inawezekana!! kuna VICHWA kibao, ZITTO alikuwa zamani enzi za EPPA na RADAR, sio sasa!!
 
shida mnahukumu mleta habari badala ya kuihukumu habari yenyewe.........huu ni mchezo wa kuwakamata vijana wa Chadema waliowarekodi wakina Sinbard Mwanga katika harakati za kutunga ushahidi kesi ya Lwakatare , wait you shall see....

Baada ya kutoka hapo polisi , Shida alimpigia simu katibu mkuu wa CHADEMA DR. WILIBROD SLAA na kumueleza juu ya tukio hilo, DR Slaa alimwambia kwamba aende kuripoti katika ofisi yao ya ulinzi na usalama makao makuu ya CHADEMA. Alipoenda ofisi ya ulinzi na usalama alimkuta Naibu mkurugenzi wa ulinzi na usalama aitwaye AHMED SABULA ambaye alimwambia Shida kwamba, wamepata habari juu ya tukio hilo na pia wanazo habari za yeye kupita mikoani kumnadi mwane Zitto Kabwe ili apate uenyekiti wa CHADEMA. Maneno hayo yalimkatisha tamaa, Akaamua kuondoka, lakini alipofika njiani alipigiwa simu na Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe ambaye alimfokea kwanini alikwenda kueleza tukio la kuvamiwa na vijana hapo makao makuu ya CHADEMA. Mama SHIDA shida alikosa la kusema na hatimaye akaanza kuamini kuwa vijana wale walitumwa na Mbowe ili kumtisha au kumdhuru.
 
Join Date : 22nd February 2013
Posts : 1,039
Rep Power : 516
Likes Received81
Likes Given10

Unatisha muda mfupi Post kibao, naona mnalipwa kwa wingi wa posts, poleni sana magamba
Baada ya bi kidude kufariki sasa umeamua kushinda humu jf. Maana akiwa hai ulikuwa unapata mkate kupitia matamasha yake na kujibaraguza kwa kupiga picha na akina lady j dee
 
Huyu mama na mwanae wote Chama Cha Mafisadi tu, sijui wanangoja nini huku?! hawa chokochoko hawakuanza leo!! timua tu!!

kumbe chadema ni chama cha chamafisadi.well said kama wanajikopesha bila utaratibu tufanyeje
 
Huyu mama anasema aliwahi kuvamiwa akiwa mwanza,halafu swali lingine linalonifanya nifikkri ni kwa nini mwenyekiti alimfokea yule mama alipokwenda kupeleka malalamiko ya kuvamiwa makao makuu ya chma.
 

Kutokana na habari iliyoandikwa na gazeti la Mtanzania la leo kuhusumajambazi kumvamia Mama Shida Salum na maelezo yake ambayo ameyatoa ni kamaifuatavyo;

i. Lengo kuu ni kuwa Polisi watamkamata Hemed Sabula, ambaye CHADEMA walimtumia kumrekodi Afisa usalama wa Taifa ambaye alikuwaanaanda ushahidi feki wa kumhusisha Lwakatare na ugaidi ……na tayari Polisiwameelekezwa kufanya hivyo kesho .

ii. Usalama wa Taifa , wameamua kulipiza kisasi kwaCHADEMA baada ya kurekodiwa na wanataka kujua walirekodi nini na hichowalichorekodi kipo wapi, hivyo Sabula atateswa sana ili aseme aliwezajekuwarekodi

iii. Zoka Jack , alifanya mawasiliano na ambaowalihusika katika kuandaa na kuandika habari hiyo na mwandishi alikuwaakielekezwa kila kitu, na ndio maana hajawahoji polisi kama suala hilo likokwenye uchungiuzi ama laa , na leo au kesho polisi watatoa tamko kuhusiana nasuala hilo na kuwa wanaendelea na uchunguzi na watamkamata Sabula, swaliatakaloulizwa ni kuwa mbona yeye aliuliza swali kama walivyofanya majambazi haowa kutungwa

iv. Sabula mawasiliano yake ya simu yamefanyiwa kazina baahati mbaya ameonekana kuwa hakumuuliza mama Zitto swali hilo la kuwaanatoa wapi fedha za kuzunguka nchi nzima ,ila alimuuliza juu ya kamaanawafahamu watu hao ama kama alishawahi kuwaona naye akamwambia atarudi kwakebaadae na hakuna ushahidi wa kimawasiliano kama alirejea tena kwake na badalayake akaenda kuongea na vyobo vya habari.

v. Kuhusu kwamba kijana mmoja ni mtu kutoka Tanga ,yupo kijana mmoja anaandaliwa anaitwa Khalid atakamatwa kwa hatua za baadae ,na huyu tayari ameshaandaliwa kimkakati.

Nawashauri CHADEMA wafanye yafuatayo kwa hatua za sasa;

a. Hakikisheni kuwa kuanzia leo mnaweka mawakili wenu kwaajili ya kuhakikisha kuwa Sabula haendi polisi peke yake ili asiteswe

b. Hakikishenikuwa mikanda mliyowarekodi watu wa usalama inawekwa mahali salama kwaniinatafutwa kwa gharama kubwa sana ili iweze kuandaliwa majibu.

c. Wapo watuambao mpaka sasa wanaweza kupoteza kazi kutokana na sakata hili , jiandaenikuwatetea …..

Naishia hapo kwa leo.

naona mmeanza ku pre-empty mambo kama kawaida yenu..wewe umefungua id leo saa 8 kwa ajili ya kupost huu uzushi wako..watanzania hawadanganyiki, nia na dhamira zenu ni ovu
 
Back
Top Bottom