Tatizo kubwa la hii habati la mama wa kamanda wetu ni kuhusishwa na siasa na gazeti la mafisadi. Na jinsi ZZK alivyotoa maelezo yake , kwa watu wenye akili maelezo ya ZZK yamezua maswali mengi kuliko majibu.
Naomba kanusho la mama ZZK kupitia kwa ZZK kuwa maelezo ya gazeti la Mtanzania sio yake.
Ila kama ni ya mama ZZK basi kuna matatizo makubwa sana kati ya familia ya ZZK na chama. Na kama sio ya kwake kwa mujibu wa Dr wote tukubali kuwa CCM imetumia mbinu zake tena kutuchanganya. Ila mpaka ZZK au mama yake atakapokuja kuyakataa maelezo yale.
Asante Dr P Slaa kwa maelezo mazuri na yanoyojitosheleza, tutakukumbuka daima kwa utumishi unaotukuka na heshima uliyoipatia chadema kwa kufanya kazi bila tamaa ya cheo.