Tujiulize hizi ID mpya zinazoleta mashambulizi na kukichafua CHADEMA na viongozi wake kwenye thread hii zina malengo gani hasa?
Tatizo kubwa la hii habati la mama wa kamanda wetu ni kuhusishwa na siasa na gazeti la mafisadi. Na jinsi ZZK alivyotoa maelezo yake , kwa watu wenye akili maelezo ya ZZK yamezua maswali mengi kuliko majibu.
Naomba kanusho la mama ZZK kupitia kwa ZZK kuwa maelezo ya gazeti la Mtanzania sio yake.
Ila kama ni ya mama ZZK basi kuna matatizo makubwa sana kati ya familia ya ZZK na chama. Na kama sio ya kwake kwa mujibu wa Dr wote tukubali kuwa CCM imetumia mbinu zake tena kutuchanganya. Ila mpaka ZZK au mama yake atakapokuja kuyakataa maelezo yale.
Asante Dr P Slaa kwa maelezo mazuri na yanoyojitosheleza, tutakukumbuka daima kwa utumishi unaotukuka na heshima uliyoipatia chadema kwa kufanya kazi bila tamaa ya cheo.
HIvi chadema mtajaribu ku-preempty matukio mpaka lini? Na hili nalo? Jamani oneni aibu, matukio haya sasa yamezidi chukueni maamuzi mageumu ndani ya chama badala ya. Kukingia kifua mambo ambayo yako hadharani kiasi hiki
mrembo, kama umekosa kazi nenda kauze mwili wako. hapa watu wanajadili issues. zitto anapaswa kutafakari yanayomtokea badala ya kukimbilia kuwatetea wahalifu. ipo siku atajuta
Du, wewe nadhani unataka kuua watu kwa njaa. Hujui kuna watu wameajiriwa kupitia mitandao kukitetea chama chao
mimi nachoshangaa kwanini huyu ben saanane alisema hakuna mtu anaeitwa sabula pale chadema,kwenye moja ya post zake hapa.yawezekana hivi visa wanafanyiana wao kwa wao hawa mahasimu kina yericko nyerere,saanane,shadcole dhidi ya zito bila chama chao kujua.Bila kusahau ID mpya ambazo zimekuja ku pre empty mjadala na ikiwepo ya Barcelona ambaye naamini ni kiongozi wa juu yaani kama si 1 probably wa pili fullstop.
nadhani umekosea ni mateke ya cdm kufa sasa kabla ya 2015 kama alivyo sema mzee wassira
mungu wa ugaidi
Kamuulize mama yake zitto aliyetamka maneno hayo
mimi nachoshangaa kwanini huyu ben saanane alisema hakuna mtu anaeitwa sabula pale chadema,kwenye moja ya post zake hapa.yawezekana hivi visa wanafanyiana wao kwa wao hawa mahasimu kina yericko nyerere,saanane,shadcole dhidi ya zito bila chama chao kujua.
Shida Binti Salum Mama yake Zitto ni mwanamke ambaye mimi nilimuheshimu sana kama wanawake majasiri wenye utashi wa kupenda nchi yao lakini Shida na mwanawe Zitto looh kumbe ni magaidi wa kidemokrasia,kitu gani wanacholingia ni hao TISS hata kama Shida umenunuliwa nyumba dubai kama watu mitaani wanavyosema lakini usijivue nguo tafadhali hili dili limekuchafua forever dear
Sceptic tank contents....!
hivi wewe ni binadamu wa kawaida au ni shetani.....gaidi ni lwakatare na ludovick nadhani na wewe ni miongoni mwao kutokana na maneno yako haya
Hoja zako ni dhaifu mno, watu wenye akili zao wamekupuuza, nyie ndio mnaoifanya chadema ionekane ni ya wauwaji, watesaji na magaidi. Kama kweli ww ni mwanachadema real huwezi kuwa na ujasiri wa kuandika huu uchafu wako hapa...more than three pages unamshambulia mtu uliyemvamia na kutaka kumdhalilisha.look at you..
Me ninashaka sana na katibu mkUu na mwenyekiti maana hawa hawapendi kukosolewa na pia wao ni miungu watu so kila mmoja wawafuate wao sina imani na chama cha kikanda chama cha ki gaidi juzi wametaja list yao eti ya mawaziri duh 99 percent wakristo alafu wanasema sio wadini nyamayao hawa