Mama Samia Mungu yu Pamoja nawe adui yako unaye ndani kwako piga kazi

The Supreme Conqueror

JF-Expert Member
Feb 13, 2017
324
909
Angalizo Mods naomba huu uzi usiunganishwe na uzi mwingine tafadhali.

Juzi walikusifia Jana walikuchoka Leo wanakuzomea kesho watakufukuza lakini hao hao kesho kutwa watarudi tena kwako hivyo wazoee endelea kupiga kazi.

Walianza wanaojiita wanaojiita wanaharakati kupinga baadhi ya vipengele katika Mkataba huu wa BANDARI kwangu sikua na shida Sana sababu ni haki yao kuhoji matumizi sahihi ya rasilimali zao well kwakua ile tumeambiwa ni makubaliano Mkataba bado ninategemea Yale mapungufu yoote utayafanyia kazi katika Mkataba husika.

Mashaka yakaanza pale hao wanaojiita watetezi wa Bandari kuanzia kuingiza udini na ukanda katika Jambo muhimu la Kitaifa Kama hili na mbaya zaidi wakaanza kutumia Uhuru wao vibaya kwa kauli zisizo na staha hata kidogo.

Hali ikawa mbaya zaidi pale watetezi wa Bandari walipoanza kutoa vitisho kwa mamlaka nikajiuliza hii nguvu yote inayoumika katika makubaliano ambayo siyo Mkataba inatoka wapi.Sikutaka kuamini maneno ya mwanzo kuwa wanaopinga Mkataba wa Bandari ni wale wale wa karibu yake yaani wapo katika circle ya Amiri Jeshi Mkuu na kila siku wanamshauri Mambo mbalimbali,daah Mwanadamu ni wa kuogopwa Sana.

Sishangai sababu hata Mpendwa wetu JPM aliwahi kulalamikiwa kuchomekewa baadhi Watu/masuala nyeti kwa makusudi ili kuangusha Utawala wake pale alipoenda kinyume na maslahi ya Baadhi ya Watu katika system.

Nikapata mashaka sana ushabiki uliokuwa ukitumika kwa baadhi ya watetezi wa Bandari mbwembwe mahakamani kule mbeya kauli za vitisho kwa mamlaka nikaunganisha dot picha halisi nikaanza kuipata kuwa Kuna Watu kwa makusudi wameamua kumtengenezea Samia ajali ya Kisiasa na mbaya zaidi wengi wao ni miongoni mwa Watu wa karibu anaowaamini mnoo tena mnooo.

Nami kiaanza kuamini kuwa hili suala la Bandari halijaja kwa Bahati mbaya Kuna mawili

1.Mkataba ulisukwa ovyo makusudi ili kumuangusha Kisiasa kuelekea 2025

2.Mkataba ni Mzuri ukiondoa mapungufu machache yanayorekebishika Ila kwakua hauna maslahi kwao wameamua kuipa sifa mbaya kwa makusudi ili lengo lao litimie.
Kwanini nasema hivyo tukumbuke mpaka Sasa TICTS hawajapenda kutolewa Bandarini je Ni Nani anawafahamu wahusika Wakuu wa TICTS na miongoni mwao hakuna vigogo wanaohudumu serikalini? Na je hakuna miongoni mwao wenye nafasi nyeti hata katika Uongozi wa awamu hii ya Mama Samia? Na je Kama wapo na wanaona kabisa maslahi yao kupitia kampuni yao ya TICTS yanaenda kutamatishwa rasmi unadhani hawawezi kufanya usaliti kwa makusudi hata kwa kuzusha uongo unaofanan na ukweli?

Kama JPM aliwahi kulalamika waziwazi tena wengi tunamfahamu kwa hulka yake ya ukali sembuse kwa huyu Mama? Siungi mkono Mkataba mbovu lazma tulinde maslahi lakini kabla ya yote lazma tuujue ukweli halisi tusije tukaona tunamkomoa Samia sababu mwekezaji ni mwarabu halafu tukarudi kule kule JPM alipokuwa anatutoa kumbuka.

Sasa mashaka yangu yamekua maradufu baada ya Jana kuona waraka wa baraza la Maaskofu Tanzania (TEC)nilijiuliza maswali kadhaa:

1.RC ina Mamlaka ya kusimamia rasilimali zetu na kushurutisha mamlaka kamili iliyowekwa na Wananchi wenye dini na wasio na dini je walikua wanazungumza kwa niaba ya Waumini wao au Nani nyuma ya pazia? Na Kama ni kwa niaba ya Waumini wao yaani wakatoliki kwanini wawe na tamko lenye amri kwa Mamlaka iliyopo Kikatiba wakati Katiba yetu haitambui mamlaka yao juu ya Serikali ya JMT?

2.RC wanapokea ruzuku kila mwaka toka serikalini kwa Mkataba wa Siri ambao hawataki huwekwe wazi wakati shule na hospitali zao Wananchi wanatozwa gharama Kubwa na kamwe TEC hawajawai kulizungumzia hili Wala kulitolea ufafanuzi sababu Ina maslahi kwao?

3.kwanini Padri Kitima na TEC yake anayoijua yeye analazimisha Mkataba kufutwa badala ya kurekebishwa penye kasoro ili kuuboresha kwa maslahi mapana ya Taifa letu sababu kila uchwao tunatafuta wawekezaji kwa Maendeleo ya Nchi yetu nani yupo nyuma ya hili?

4.Kwanini hawa Maaskofu wasingetumia haki yao Kikatiba Kama Watanzania wwngine Kuukosoa/kuupinga Mkataba wa Bandari badala ya kujivika vyeo vya kidini ambavyo kwa namna moja ama nyingine italeta mtafaruku katika Jamii ambayo Serikali yake haina dini kwa mujibu wa Katiba na pengine kuzua hatari mbaya zaidi kwa Wananchi ambao Wana dini na badala ya kuwaunganisha Watanzania itaendelea kuwagawa zaidi kwani ikitokea Mkataba mwingine Watu wakitaka kuupinga watatumia kofia ya dini ambayo haina Afya kwa Mustakabali wa Taifa letu naona wanarudia makosa ya wale mashehe wa mbeya na mwanza wakati mjadala ulipoanza hakuna kuleta Udini na Ukanda kwa maslahi ya Taifa la sivyo tutajua mnatetea maslahi yenu na waliowatuma.

Mwisho niseme tu kwa Haya machache ukweli umeshajulikana Pamoja na mapungufu ya Mkataba lakini Kuna Watu kwa makusudi Wana Jambo lao na haya yanayoendelea Nchini hayapo kwa Bahati mbaya Kuna Jambo.
suala lolote linalohusu maslahi mapana ya Taifa tuepuke kuingiza udini,ukabila,ukanda,rangi wala jinsia ni Mambo ya hatari yanayoweza kuleta machafuko ndani ya Taifa.

MAMA SAMIA MIMI NAKUOMBEA KWA MWENYEZI AKUTANGULIE KATIKA SAFARI YAKO NANAKUFIKISHE SALAMA SALIMINI UKABIDHI KIJITI KWA MWINGINE,MUNGU IBARIKI TANZANIA🇹🇿
 
Hakuna muwekezaji hao ni wapigaji walioamuwa kupitia kwenye IGA kila mtu apewa chake sasa IGA imebuma warudishe tu mzigo wa watu hakuna namna maana hakuna anayeona faida za huo mkataba wa kimagumashi. Kwanza tuliambiwa ni makubaliano tu kwanini tusiachane nayo kama makubaliano hayo yanataka kuligawa taifa. Kwanza waliosaini huu mkataba ni wahujumu uchumi kwanini wanataka kugawa Bandari zetu. TEC wameshasema na huo ndo mwisho wa huo mkataba.
 
Mtoa mada jiulize pia haya;
1. Kwa unyeti wa suala zima la uwekezaji bandarini, wananchi walihusishwa kwa kiasi gani? Rejea mikataba ya petroli na gesi iliyopelekwa bungeni kwa hati ya dharura, nini kimetupata wananchi? Je, wananchi wanaopinga walikuwa na unified VOICE? Walipokwenda mahakamani mkawafanyaje? Walipotaka kuandamana, polisi wakawaahidi nini? TEC hawajaenda mahakamani, TEC hawajaitisha maandamano, wamewasilisha tu SAUTI YA WENGI kwenye waraka wenye kurasa chache.
2. Hivi toka JPM afariki, DPW pekee ndo wamekuwa wawekezaji wa kwanza kuja kuwekeza Tanzania? Kama sivyo, iweje tuanze kubadili baadhi ya sheria zetu ili tu ku-favour uwekezaji wa DPW? Huoni kama kuna kitu hakiko sawa?
3. Kama mkataba au makubaliano au whatsoever wanavyouita, ungekuwa na faida kwetu, hawa hawa CCM ndo wangezunguka nchi nzima kuudalalia? Kama unaweza tetea mkataba unaoenda kuwaumiza wananchi wako, unakuwa umesimamia upande gani?
4. KAMA HAYA NI MAKUBALIANO TU (NON-BINDING), NA MAJORITY WAMEGOMA KUYAELEWA BAADHI YA MASHARTI YA MWEKEZAJI, WHY ASIAMBIWE AWEKE FAVOURABLE TERMS? AU AACHE KABISA KUWEKEKEZA?
 
Angalizo Mods naomba huu uzi usiunganishwe na uzi mwingine tafadhali.

Juzi walikusifia Jana walikuchoka Leo wanakuzomea kesho watakufukuza lakini hao hao kesho kutwa watarudi tena kwako hivyo wazoee endelea kupiga kazi.

Walianza wanaojiita wanaojiita wanaharakati kupinga baadhi ya vipengele katika Mkataba huu wa BANDARI kwangu sikua na shida Sana sababu ni haki yao kuhoji matumizi sahihi ya rasilimali zao well kwakua ile tumeambiwa ni makubaliano Mkataba bado ninategemea Yale mapungufu yoote utayafanyia kazi katika Mkataba husika.

Mashaka yakaanza pale hao wanaojiita watetezi wa Bandari kuanzia kuingiza udini na ukanda katika Jambo muhimu la Kitaifa Kama hili na mbaya zaidi wakaanza kutumia Uhuru wao vibaya kwa kauli zisizo na staha hata kidogo.

Hali ikawa mbaya zaidi pale watetezi wa Bandari walipoanza kutoa vitisho kwa mamlaka nikajiuliza hii nguvu yote inayoumika katika makubaliano ambayo siyo Mkataba inatoka wapi.Sikutaka kuamini maneno ya mwanzo kuwa wanaopinga Mkataba wa Bandari ni wale wale wa karibu yake yaani wapo katika circle ya Amiri Jeshi Mkuu na kila siku wanamshauri Mambo mbalimbali,daah Mwanadamu ni wa kuogopwa Sana.

Sishangai sababu hata Mpendwa wetu JPM aliwahi kulalamikiwa kuchomekewa baadhi Watu/masuala nyeti kwa makusudi ili kuangusha Utawala wake pale alipoenda kinyume na maslahi ya Baadhi ya Watu katika system.

Nikapata mashaka sana ushabiki uliokuwa ukitumika kwa baadhi ya watetezi wa Bandari mbwembwe mahakamani kule mbeya kauli za vitisho kwa mamlaka nikaunganisha dot picha halisi nikaanza kuipata kuwa Kuna Watu kwa makusudi wameamua kumtengenezea Samia ajali ya Kisiasa na mbaya zaidi wengi wao ni miongoni mwa Watu wa karibu anaowaamini mnoo tena mnooo.

Nami kiaanza kuamini kuwa hili suala la Bandari halijaja kwa Bahati mbaya Kuna mawili

1.Mkataba ulisukwa ovyo makusudi ili kumuangusha Kisiasa kuelekea 2025

2.Mkataba ni Mzuri ukiondoa mapungufu machache yanayorekebishika Ila kwakua hauna maslahi kwao wameamua kuipa sifa mbaya kwa makusudi ili lengo lao litimie.
Kwanini nasema hivyo tukumbuke mpaka Sasa TICTS hawajapenda kutolewa Bandarini je Ni Nani anawafahamu wahusika Wakuu wa TICTS na miongoni mwao hakuna vigogo wanaohudumu serikalini? Na je hakuna miongoni mwao wenye nafasi nyeti hata katika Uongozi wa awamu hii ya Mama Samia? Na je Kama wapo na wanaona kabisa maslahi yao kupitia kampuni yao ya TICTS yanaenda kutamatishwa rasmi unadhani hawawezi kufanya usaliti kwa makusudi hata kwa kuzusha uongo unaofanan na ukweli?

Kama JPM aliwahi kulalamika waziwazi tena wengi tunamfahamu kwa hulka yake ya ukali sembuse kwa huyu Mama? Siungi mkono Mkataba mbovu lazma tulinde maslahi lakini kabla ya yote lazma tuujue ukweli halisi tusije tukaona tunamkomoa Samia sababu mwekezaji ni mwarabu halafu tukarudi kule kule JPM alipokuwa anatutoa kumbuka.

Sasa mashaka yangu yamekua maradufu baada ya Jana kuona waraka wa baraza la Maaskofu Tanzania (TEC)nilijiuliza maswali kadhaa:

1.RC ina Mamlaka ya kusimamia rasilimali zetu na kushurutisha mamlaka kamili iliyowekwa na Wananchi wenye dini na wasio na dini je walikua wanazungumza kwa niaba ya Waumini wao au Nani nyuma ya pazia? Na Kama ni kwa niaba ya Waumini wao yaani wakatoliki kwanini wawe na tamko lenye amri kwa Mamlaka iliyopo Kikatiba wakati Katiba yetu haitambui mamlaka yao juu ya Serikali ya JMT?

2.RC wanapokea ruzuku kila mwaka toka serikalini kwa Mkataba wa Siri ambao hawataki huwekwe wazi wakati shule na hospitali zao Wananchi wanatozwa gharama Kubwa na kamwe TEC hawajawai kulizungumzia hili Wala kulitolea ufafanuzi sababu Ina maslahi kwao?

3.kwanini Padri Kitima na TEC yake anayoijua yeye analazimisha Mkataba kufutwa badala ya kurekebishwa penye kasoro ili kuuboresha kwa maslahi mapana ya Taifa letu sababu kila uchwao tunatafuta wawekezaji kwa Maendeleo ya Nchi yetu nani yupo nyuma ya hili?

4.Kwanini hawa Maaskofu wasingetumia haki yao Kikatiba Kama Watanzania wwngine Kuukosoa/kuupinga Mkataba wa Bandari badala ya kujivika vyeo vya kidini ambavyo kwa namna moja ama nyingine italeta mtafaruku katika Jamii ambayo Serikali yake haina dini kwa mujibu wa Katiba na pengine kuzua hatari mbaya zaidi kwa Wananchi ambao Wana dini na badala ya kuwaunganisha Watanzania itaendelea kuwagawa zaidi kwani ikitokea Mkataba mwingine Watu wakitaka kuupinga watatumia kofia ya dini ambayo haina Afya kwa Mustakabali wa Taifa letu naona wanarudia makosa ya wale mashehe wa mbeya na mwanza wakati mjadala ulipoanza hakuna kuleta Udini na Ukanda kwa maslahi ya Taifa la sivyo tutajua mnatetea maslahi yenu na waliowatuma.

Mwisho niseme tu kwa Haya machache ukweli umeshajulikana Pamoja na mapungufu ya Mkataba lakini Kuna Watu kwa makusudi Wana Jambo lao na haya yanayoendelea Nchini hayapo kwa Bahati mbaya Kuna Jambo.
suala lolote linalohusu maslahi mapana ya Taifa tuepuke kuingiza udini,ukabila,ukanda,rangi wala jinsia ni Mambo ya hatari yanayoweza kuleta machafuko ndani ya Taifa.

MAMA SAMIA MIMI NAKUOMBEA KWA MWENYEZI AKUTANGULIE KATIKA SAFARI YAKO NANAKUFIKISHE SALAMA SALIMINI UKABIDHI KIJITI KWA MWINGINE,MUNGU IBARIKI TANZANIA🇹🇿

Wametoka kwenye kupinga na kukosoa ....wamefika Kwenye kushurutisha na kuagiza na kuonya...
Very obviously Wana "Jambo Lao"..
Let's wait and see
 
Angalizo Mods naomba huu uzi usiunganishwe na uzi mwingine tafadhali.

Juzi walikusifia Jana walikuchoka Leo wanakuzomea kesho watakufukuza lakini hao hao kesho kutwa watarudi tena kwako hivyo wazoee endelea kupiga kazi.

Walianza wanaojiita wanaojiita wanaharakati kupinga baadhi ya vipengele katika Mkataba huu wa BANDARI kwangu sikua na shida Sana sababu ni haki yao kuhoji matumizi sahihi ya rasilimali zao well kwakua ile tumeambiwa ni makubaliano Mkataba bado ninategemea Yale mapungufu yoote utayafanyia kazi katika Mkataba husika.

Mashaka yakaanza pale hao wanaojiita watetezi wa Bandari kuanzia kuingiza udini na ukanda katika Jambo muhimu la Kitaifa Kama hili na mbaya zaidi wakaanza kutumia Uhuru wao vibaya kwa kauli zisizo na staha hata kidogo.

Hali ikawa mbaya zaidi pale watetezi wa Bandari walipoanza kutoa vitisho kwa mamlaka nikajiuliza hii nguvu yote inayoumika katika makubaliano ambayo siyo Mkataba inatoka wapi.Sikutaka kuamini maneno ya mwanzo kuwa wanaopinga Mkataba wa Bandari ni wale wale wa karibu yake yaani wapo katika circle ya Amiri Jeshi Mkuu na kila siku wanamshauri Mambo mbalimbali,daah Mwanadamu ni wa kuogopwa Sana.

Sishangai sababu hata Mpendwa wetu JPM aliwahi kulalamikiwa kuchomekewa baadhi Watu/masuala nyeti kwa makusudi ili kuangusha Utawala wake pale alipoenda kinyume na maslahi ya Baadhi ya Watu katika system.

Nikapata mashaka sana ushabiki uliokuwa ukitumika kwa baadhi ya watetezi wa Bandari mbwembwe mahakamani kule mbeya kauli za vitisho kwa mamlaka nikaunganisha dot picha halisi nikaanza kuipata kuwa Kuna Watu kwa makusudi wameamua kumtengenezea Samia ajali ya Kisiasa na mbaya zaidi wengi wao ni miongoni mwa Watu wa karibu anaowaamini mnoo tena mnooo.

Nami kiaanza kuamini kuwa hili suala la Bandari halijaja kwa Bahati mbaya Kuna mawili

1.Mkataba ulisukwa ovyo makusudi ili kumuangusha Kisiasa kuelekea 2025

2.Mkataba ni Mzuri ukiondoa mapungufu machache yanayorekebishika Ila kwakua hauna maslahi kwao wameamua kuipa sifa mbaya kwa makusudi ili lengo lao litimie.
Kwanini nasema hivyo tukumbuke mpaka Sasa TICTS hawajapenda kutolewa Bandarini je Ni Nani anawafahamu wahusika Wakuu wa TICTS na miongoni mwao hakuna vigogo wanaohudumu serikalini? Na je hakuna miongoni mwao wenye nafasi nyeti hata katika Uongozi wa awamu hii ya Mama Samia? Na je Kama wapo na wanaona kabisa maslahi yao kupitia kampuni yao ya TICTS yanaenda kutamatishwa rasmi unadhani hawawezi kufanya usaliti kwa makusudi hata kwa kuzusha uongo unaofanan na ukweli?

Kama JPM aliwahi kulalamika waziwazi tena wengi tunamfahamu kwa hulka yake ya ukali sembuse kwa huyu Mama? Siungi mkono Mkataba mbovu lazma tulinde maslahi lakini kabla ya yote lazma tuujue ukweli halisi tusije tukaona tunamkomoa Samia sababu mwekezaji ni mwarabu halafu tukarudi kule kule JPM alipokuwa anatutoa kumbuka.

Sasa mashaka yangu yamekua maradufu baada ya Jana kuona waraka wa baraza la Maaskofu Tanzania (TEC)nilijiuliza maswali kadhaa:

1.RC ina Mamlaka ya kusimamia rasilimali zetu na kushurutisha mamlaka kamili iliyowekwa na Wananchi wenye dini na wasio na dini je walikua wanazungumza kwa niaba ya Waumini wao au Nani nyuma ya pazia? Na Kama ni kwa niaba ya Waumini wao yaani wakatoliki kwanini wawe na tamko lenye amri kwa Mamlaka iliyopo Kikatiba wakati Katiba yetu haitambui mamlaka yao juu ya Serikali ya JMT?

2.RC wanapokea ruzuku kila mwaka toka serikalini kwa Mkataba wa Siri ambao hawataki huwekwe wazi wakati shule na hospitali zao Wananchi wanatozwa gharama Kubwa na kamwe TEC hawajawai kulizungumzia hili Wala kulitolea ufafanuzi sababu Ina maslahi kwao?

3.kwanini Padri Kitima na TEC yake anayoijua yeye analazimisha Mkataba kufutwa badala ya kurekebishwa penye kasoro ili kuuboresha kwa maslahi mapana ya Taifa letu sababu kila uchwao tunatafuta wawekezaji kwa Maendeleo ya Nchi yetu nani yupo nyuma ya hili?

4.Kwanini hawa Maaskofu wasingetumia haki yao Kikatiba Kama Watanzania wwngine Kuukosoa/kuupinga Mkataba wa Bandari badala ya kujivika vyeo vya kidini ambavyo kwa namna moja ama nyingine italeta mtafaruku katika Jamii ambayo Serikali yake haina dini kwa mujibu wa Katiba na pengine kuzua hatari mbaya zaidi kwa Wananchi ambao Wana dini na badala ya kuwaunganisha Watanzania itaendelea kuwagawa zaidi kwani ikitokea Mkataba mwingine Watu wakitaka kuupinga watatumia kofia ya dini ambayo haina Afya kwa Mustakabali wa Taifa letu naona wanarudia makosa ya wale mashehe wa mbeya na mwanza wakati mjadala ulipoanza hakuna kuleta Udini na Ukanda kwa maslahi ya Taifa la sivyo tutajua mnatetea maslahi yenu na waliowatuma.

Mwisho niseme tu kwa Haya machache ukweli umeshajulikana Pamoja na mapungufu ya Mkataba lakini Kuna Watu kwa makusudi Wana Jambo lao na haya yanayoendelea Nchini hayapo kwa Bahati mbaya Kuna Jambo.
suala lolote linalohusu maslahi mapana ya Taifa tuepuke kuingiza udini,ukabila,ukanda,rangi wala jinsia ni Mambo ya hatari yanayoweza kuleta machafuko ndani ya Taifa.

MAMA SAMIA MIMI NAKUOMBEA KWA MWENYEZI AKUTANGULIE KATIKA SAFARI YAKO NANAKUFIKISHE SALAMA SALIMINI UKABIDHI KIJITI KWA MWINGINE,MUNGU IBARIKI TANZANIA
2.Mkataba ni Mzuri ukiondoa mapungufu machache yanayorekebishika Ila kwakua

Akili yako mbovu. Unasema kabisa mkataba una mapungufu. Hayo mapungufu hayana madhara kwa nchi?

Kwanini asaini mkataba wenye mapungufu?

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Mkataba unajieleza wenyewe. Sasa unapoleta habari za TICTS, ni kujidanganya. Hata hao TICTS walipokuwepo bandarini walihojiwa pamoja na kutoona mkataba wao. Uzuri hakujawahi kukosekana na propaganda tetezi kwa ufisadi. Pengine hili limefikia hapa kutokana na ubovu wa wazi uliomo kwenye mkataba wenyewe, na njia ulizopitishwa. Hata Richmond yenyewe iliangusha serikali kwa kuwa siasa za Bunge za kipindi hicho ziliruhusu.
Uzuri wa historia huwa inachuja pumba na mchele. Utafika wakati mtapotea humu jukwaani japo kwa akaunti hizi mnazotumia sasa. Na pengine historia hiyo hiyo itasababisha hata aliyevujisha mkataba tukamjua na kumpa maua yake.
 
Back
Top Bottom