Mara kibao tu ....wewe umeona lini mama kapewa live TBC kwenye ziara za kawaida ???
Mara kibao tu ....wewe umeona lini mama kapewa live TBC kwenye ziara za kawaida ???
Apatikane vipi, kwani alikuwa amepotea na ulinzi wote ule?Kwani amepatikana?
Amina!
Amina!
Nikawaida“Ni kawaida ya mwanadamu kukaguliwa kaguliwa, mara mafua mara homa mara chochote”. Samia Suluhu.
Wenye akili tumekuelewa mama ila sidhani kama MATAGA wamekuelewa.
kwani ameonekana 😳😳😳 ?Kwani alipotea??
Amefunga Kwaresma na kuiombea nchi, subili utamuona siku ya Pasaka.
ShangazYaani Tundu lissu, Mnyika, salum mwalim, Gwarugwa plus Faru John utegemee kupata taarifa reliable kweliiiiiiiiiiiiiiiiii du chadema majanga matupu. Hongera Halima &co kwa kujitambua, hata hivyo mmepoteza muda wenu sana huko
Watanzania tunashida, Huyu mama anashindwa kuwaeleza watu wake waliomchagua na kumuamini kwamba Rais wao ana hali gani. Badala yake anaeleza kwa mafumbo kweli? Eti tushikane. Halafu sisi tunamshangilia.Mkuu wala usisikilize hizi mitandao nakwambiaje mwamba yupo fresh kabisa.
Wanune kwa lipi?BAVICHA wamenuna
Hakuna anayemshangilia watu wana connect dotsWatanzania tunashida, Huyu mama anasshindwa kuwaeleza watu wake waliomchagua na kumuamini kwamba Raisi wao anahali gami. Badala yake anaeleza kwa mafumbo kweli? Eti tushikane. Halafu sisi tunamshangilia.
sijaona mahali akimshukuru Mhe. Rais kwenye hotuba yake, angalau kumtaja tu.