Naona kama JK amepungua? Sijui ni macho yangu?
Source: Daily News, 2/12/2010
Hah hah hah, we noma mzee.Huyu anafaa kwenda kupiga tafu Msondo Ngoma irudu katika hadhi ya zamani
Naona kama JK amepungua? Sijui ni macho yangu?
Yupi ni housegirl wao nikatoe posa?....sijui ni huyo wa tatu toka kushoto?...imagine kuoa ikulu hata kama ni HG
Naona kama JK amepungua? Sijui ni macho yangu?
Naona kama JK amepungua? Sijui ni macho yangu?
Alichofanya ni kizuri, mzazi anatakiwa awe entertainer
Hay akifanya Obana... Rais ana upendo, anajumuika, mtu wa watu, family man... na sifa zote atapata... akifanya Rais wa TZ Ooh msanii... tujenge tabia ya ku-appreciate vyetu jamani...