Fab
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 757
- 14
Huyu anafaa kwenda kupiga tafu Msondo Ngoma irudu katika hadhi ya zamani
hehheee hii kali...
Huyu anafaa kwenda kupiga tafu Msondo Ngoma irudu katika hadhi ya zamani
Source: Daily News, 2/12/2010
Yupi ni housegirl wao nikatoe posa?....sijui ni huyo wa tatu toka kushoto?...imagine kuoa ikulu hata kama ni HG
Hivi family friend, Shekh Yahya alikuwepo kutoa ulinzi?
Source: Daily News, 2/12/2010
MMMhhhh!!!! Mheshimiwa anaonyesha jinsi anavyojali familia ila ingekuwa vizuri chini ya picha tukapewa ka intro kidogo ka waliomo kwenye hiyo picha,naona watu wanahangaika kuguess nani HG, Mlinzi or family
Hay akifanya Obana... Rais ana upendo, anajumuika, mtu wa watu, family man... na sifa zote atapata... akifanya Rais wa TZ Ooh msanii... tujenge tabia ya ku-appreciate vyetu jamani...
Naona kama JK amepungua? Sijui ni macho yangu?
Huyu anafaa kwenda kupiga tafu Msondo Ngoma irudu katika hadhi ya zamani
Utakufa nacho kijiba cha roho, mwili unao unakonda kwa roho mbaya yako!!
Naona kama JK amepungua? Sijui ni macho yangu?
husudaWajameeni kila nikitazama hiyo picha jicho langu linatua sana kwa huyu dada mwenye gauni lenye rangi za blue/zambarau na nyeusi upande wa kulia, Hivi kuna nini kati yetu? maana kila nikikwepesha wapi linarudi pale pale.
Mkuu HG ni yule anaonekana kavaa koti la pink, skirt nyeusi na kasuka nywele za kiswahili kabisa. Tena anaonekana katoka umatumbini.
Hay akifanya Obana... Rais ana upendo, anajumuika, mtu wa watu, family man... na sifa zote atapata... akifanya Rais wa TZ Ooh msanii... tujenge tabia ya ku-appreciate vyetu jamani...
I can't deny the hypothesis. Ijapokuwa hivyo macho hayana pazia.husuda