i411
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 906
- 290
sasa first lady wetu anakuja kwa kasi kila siku kwani yupo mahali anafanya kakitu cha maendeleo au anatoa hoja za hapa na pale na anapata kuwekwe kwenye vyombo vya habari. Kama anakampango cha kuwa naisi wa kwanza mwanamke vile, akiendelea na spidi hii lolote lawezekana